Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

Habari naomba kujua kamisheni za uwakala mkuu WA tigopesa mpesa AirtelMoney na Halotel kwa anayejua msaada tafadhali.
 
Habari naomba kujua kamisheni za uwakala mkuu WA tigopesa mpesa AirtelMoney na Halotel kwa anayejua msaada tafadhali.
Kamisheni inategemea na kiwango chako cha mtaji, na pia mzunguko wako. Mtaji ukiwa mkubwa, na mzunguko pia ukiwa mkubwa, na kamisheni nayo inakuwa kubwa.

Kwa hiyo jitahidi utafute eneo lililo changamka! Halafu uwe na mtaji wa kutosha.
 
Kamisheni inategemea na kiwango chako cha mtaji, na pia mzunguko wako. Mtaji ukiwa mkubwa, na mzunguko pia ukiwa mkubwa, na kamisheni nayo inakuwa kubwa.

Kwa hiyo jitahidi utafute eneo lililo changamka! Halafu uwe na mtaji wa kutosha.
Ahsante ila nilitaka kujua rank za kamisheni zake na hizi za uwakala WA kawaida zinatofautiana kiwango gani.
 
Paundwe Wizara ya wajasiriamali na ubunifu
 
Habari naomba kujua kamisheni za uwakala mkuu WA tigopesa mpesa AirtelMoney na Halotel kwa anayejua msaada tafadhali.
Tigo 0.05% mpesa 0.1% below 2m above that 2,500. Airtel 0.1% halotel 0.15% ya ulichomiwekea wakala akatumia kumuhudumia mteja. Asipohudumia ni fraud hulipwi

Sent from my V2207 using JamiiForums mobile app
 
TANGAZO

Kwa wahitaji wa laini za uwakala zenye majina yao natengengeza hizo kwa muda muchache inakamilika ndani ya masaa 24.

Laini zinatengenezwa ni kama zifuatazo:

NB malipo ni baada ya kazi[emoji736][emoji736]
Gharama ni kiasi gani?
 
Bro naomba tuwasiliane private
Kwaiyo unaweza kupata leseni
Manispaa au halmashauri bila kupita TRA?
 
Kwani we ni nani? Anae sajili laini izo za uwakala maana m navyo jua laini inatengenezwa duka la mitandao usika
 
PM mi kwa anayehitaji uwakala wa Azam Pesa
 
Wewe ndiye mpuuzi, unakuwaje na mtaji wote huo halafu unapata faida laki 5 wakati yupo mwenye m3 anapata zaidi ya 500k
 
Unatakiwa kuwa na akili timamu, mengine hayana shida.
 
Dogo unalialia sana, wenzako tushaibiwa na mamilion lakini tunakomaa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…