Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

Punguza kujielezea sana, wewe fanya biashara.
 
Madini haya
 
Aisee mtaji usikupe shida, waza ni eneo gani tu. Kama ni mjini utahitaji mtaji mkubwa kiasi kweli angalau 10 mil ili uwe comfortable. Vinginevyo anza na iliyopo ili ujue kama unahitaji kuongeza au vipi. Changamoto zingine zimesha ongelewa.
Lain ya till ya tigo naipataje, npo iringa mufindi
 
Lain ya till ya tigo naipataje, npo iringa mufindi
Nenda Tigo shop yoyote hapo Mafinga, watakupa mwongozo. Au unataka line ya kumvua mtu? Ukishindwa kabisa nenda Iringa mjini. Tigo shop iko mkabala na ile stendi ya zamani.
 
Hata mimi jengo lipo hatua za mwisho. Sidhani kama nitabadilisha matumizi. Nitajitahidi tu kuchukua tahadharu dhidi yaa matapeli na hayo majambazi. No way out.
Endelea kusubiria maoni y watu wakati watu wanapiga pesa. Hakuna bznes isiyo n risk mdau. Kinacho takiwa ni kuangalia jinsi gani y kupunguza tu.
The 4
 
Saw poll94ezzteeztee
 
Part kubwa ya huu uzi ulijibiwa na watu ambao hawapo kwenye game, mtaji wa million 10 kwa uwakala wa mpesa, tigo pesa na hizo bank ni kukurupuka, biashara hii unashauriwa kuanza kidogo ukipma upepo then unatanua misuli mbele baada ya kuelewa mzunguko.
 
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
TANGAZO

Kwa wahitaji wa laini za uwakala zenye majina yao natengengeza hizo kwa muda muchache inakamilika ndani ya masaa 24.

Laini zinatengenezwa ni kama zifuatazo:

NB malipo ni baada ya kazi[emoji736][emoji736]
Inahitajika kiasi Gani Cha pesa kwa Kila laini moja
 
Mkuu tunakupataje Kwa laini za uwakala wa tigopesa na HALOPESA hizo ndiyo Bado cjapata mkuu
 
Hii biashara nilwahi kufanya, baada ya Covid kuingia mambo yakibadilika kiasi fulani, na baada ya tozo za miamala kuongezwa ndio kabisaa, binafsi nashauri kama unafanya hiyo biashara uwe na biashara ingne hapo hapo
Unaweza kuweka biashara gani nyingine kwenye fremu kama hiyo inayoshughulika na miamala ya simu na benki na usisumbuliwe kuhusu leseni ya hizo bidhaa nyingine?
 
Hivi kwa nini makampuni ya simu yanawasajili mawakala ambao ufanya biashara ya miamala popote pale pasipo hata kuwa na leseni ya kufanya biashara hiyo kutoka kwenye mamlaka husika? Nionavyo kwa kufanya hivyo kunadhoofisha biashara ya wale wafanya biashara wengine waliolipia leseni za biashara hiyo huku wakiingia gharama nyingine za kukodi eneo la biashara, n.k.
 
Maana pia ni Wakala Mkuu wa CRDB yupo kariakoo
HIvi kuwa wakala mkuu wa mtandao mfano Tigo ni hadi uwe na mtaji kiasi? Na pia kuwa wakala mkuu wa NMB au CRDB ni hadi uwe na mtaji wa kiasi gani?
 
Wewe uonavyo hicho kiasi kidogo cha kuanza nacho kinatakiwa kuwa kiasi gani?
 
Naomba wazo lingine ukiachana na hii ya uwakala Mzee
 
NI kwel hata mm nlshaifanya , mm nlchojfunza hapa NI tahadhar , location na mtaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…