Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

Working capital kama wakati unafunga hesabu zako jioni itakuwa in form of float basi ni rahisi zaidi, lakini kama utakuwa na hard cash nyingi nadhani utaangalia usalama wa ofisi yako kama unaweza kutunza ndani ama vinginevyo itabidi uzibebe pamoja na POS zako.

Kama uko jirani na branch ambayo inafanya kazi 24hrs (kwa maeneo ya mjini) basi ni vema uka-deposit ukishafunga ofisi kuhakikisha usalama lakini pia itakurahisishia kesho kuanza kazi ukiwa na float asubuhi maana nature ya transaction nyingi ni za kuweka zaidi.

Angalizo:
Pia inabidi kuwa makini sana na wateja wanaokuja mida ya mwisho mwisho kabla ya kufunga, baadhi wanaweza kuwa wezi wanakuvizia kwa hiyo anakuja na cash nyingi then anaweka M-pesa kama haijatosha ataweka na NMB, tigo na airtel ili ahakikishe amekuacha na cash ili wakikuvamia wachukue cash zao bila tabu.
Kuna classmate wangu mmoja kigamboni wadogo zake wawili walikula shaba getini kwao kabisa! Wajuba wakabeba million 4
 
Yah, kiukweli ni biashara yenye risk nyingi sana na faida yake ni ndogo ukilinganisha na biashara zingine ukiweka mtaji huo huo.

Pia tofauti na kuongeza mtaji (kama mahitaji ni makubwa), there is little you can do to boost the profit, yaani ni biashara ambayo imagine inahitaji wateja wenyewe waongeze rate ya kufanya transactions ili we upate 'matokeo'.

Ndio maana nashauri kama mtu ana other options na ni anayetaka kugrow in business hii biashara sio ideal kwa kweli.
Hii biashara nilishasemaga ni ya watu wavivu kufikiri! Kuna mtu alininanga ila nilikuwa nishampa ukweli!

Its useles ku risk million 10 kwa mwezi mzima kwa returns za 1.5M ambayo ni makadirio ya juu sana unaweza pata chini ya hapo! Kuna kupigwa risasi na sahizi Magufuli hayupo maana ujambazi utakuwa nje nje! Kuna chumaulete pia! Its surely a risky bet
 
Hii biashara nilishasemaga ni ya watu wavivu kufikiri! Kuna mtu alininanga ila nilikuwa nishampa ukweli!

Its useles ku risk million 10 kwa mwezi mzima kwa returns za 1.5M ambayo ni makadirio ya juu sana unaweza pata chini ya hapo! Kuna kupigwa risasi na sahizi Magufuli hayupo maana ujambazi utakuwa nje nje! Kuna chumaulete pia! Its surely a risky bet
Kabisa, unless uwe na mtaji mkubwa wa kuifanya kama hizi 'mini bank' ambapo unaweza kuajiri watu wenye taaluma ya fedha (cert/diploma au bachelor) na kudeploy security ambayo itapunguza risk.

Hata hivyo hizi kwa asili ni huduma na si biashara, hata bank hazitegemei hizi transactions kujiendesha ndio maana wana engage mawakala na wao wanajikita zaidi kwenye corporate banking, kwa hiyo bado profit margin ni ndogo ukilinganisha na mtaji huo huo ukiwekeza kwenye biashara zingine.
 
Kabisa, unless uwe na mtaji mkubwa wa kuifanya kama hizi 'mini bank' ambapo unaweza kuajiri watu wenye taaluma ya fedha (cert/diploma au bachelor) na kudeploy security ambayo itapunguza risk.

Hata hivyo hizi kwa asili ni huduma na si biashara, hata bank hazitegemei hizi transactions kujiendesha ndio maana wana engage mawakala na wao wanajikita zaidi kwenye corporate banking, kwa hiyo bado profit margin ni ndogo ukilinganisha na mtaji huo huo ukiwekeza kwenye biashara zingine.
Yah bora kutafta chaka jingine ambalo kwa million 5 waweza pata returns hizo ndani ya week tu au siku 10!
 
Hii biashara nilishasemaga ni ya watu wavivu kufikiri! Kuna mtu alininanga ila nilikuwa nishampa ukweli!

Its useles ku risk million 10 kwa mwezi mzima kwa returns za 1.5M ambayo ni makadirio ya juu sana unaweza pata chini ya hapo! Kuna kupigwa risasi na sahizi Magufuli hayupo maana ujambazi utakuwa nje nje! Kuna chumaulete pia! Its surely a risky bet
Pia nimegundua watu wengi huwa hawafanyi analysis kabla ya kuingia kwenye business, wengi huiga tu kwa kuona fulani anafanya.

Mfano, watu wengi anapotoa pesa kama mteja kwenye let's say M-pesa kiasi cha laki 1 na kukatwa 3,650/= anahisi pesa yote ile inaenda kwa wakala, kisha anaangalia movement ya wateja... anaona jamaa anapiga pesa hatari [emoji23][emoji23]

Ila kiuhalisia katika ile 3,650/= ya kutolea, wakala anabaki na tshs. 460/= na hapo bado haijakatwa kodi 10%. Sasa ndio hizo uzidundulize hadi mwisho wa mwezi uje utoe gharama ya kulipa operator(s), hujalipa kodi ya pango, umeme, ulinzi nk. unabaki na kiasi kidogo sana kwa kweli.
 
Pia nimegundua watu wengi huwa hawafanyi analysis kabla ya kuingia kwenye business, wengi huiga tu kwa kuona fulani anafanya.

Mfano, watu wengi anapotoa pesa kama mteja kwenye let's say M-pesa kiasi cha laki 1 na kukatwa 3,650/= anahisi pesa yote ile inaenda kwa wakala, kisha anaangalia movement ya wateja... anaona jamaa anapiga pesa hatari [emoji23][emoji23]

Ila kiuhalisia katika ile 3,650/= ya kutolea, wakala anabaki na tshs. 460/= na hapo bado haijakatwa kodi 10%. Sasa ndio hizo uzidundulize hadi mwisho wa mwezi uje utoe gharama ya kulipa operator(s), hujalipa kodi ya pango, umeme, ulinzi nk. unabaki na kiasi kidogo sana kwa kweli.
Duh! Mbona ni shida sasa
 
Pia nimegundua watu wengi huwa hawafanyi analysis kabla ya kuingia kwenye business, wengi huiga tu kwa kuona fulani anafanya.

Mfano, watu wengi anapotoa pesa kama mteja kwenye let's say M-pesa kiasi cha laki 1 na kukatwa 3,650/= anahisi pesa yote ile inaenda kwa wakala, kisha anaangalia movement ya wateja... anaona jamaa anapiga pesa hatari [emoji23][emoji23]

Ila kiuhalisia katika ile 3,650/= ya kutolea, wakala anabaki na tshs. 460/= na hapo bado haijakatwa kodi 10%. Sasa ndio hizo uzidundulize hadi mwisho wa mwezi uje utoe gharama ya kulipa operator(s), hujalipa kodi ya pango, umeme, ulinzi nk. unabaki na kiasi kidogo sana kwa kweli.
Kwa hesabu hizi ni kwamba kwenye transaction ya milioni moja (1,000,000) unapata 4,600 kabla ya hiyo kodi ya asilimia 10, ambapo ukikatwa na yenyewe unapata kama 4,160....so ili uondoke na commission (faida) ya 20k kwa siku ni ufanye miamala ya shilingi milioni tano taslimu (5,000,000)....sijui nipo sahihi
 
Kwa hesabu hizi ni kwamba kwenye transaction ya milioni moja (1,000,000) unapata 4,600 kabla ya hiyo kodi ya asilimia 10, ambapo ukikatwa na yenyewe unapata kama 4,160....so ili uondoke na commission (faida) ya 20k kwa siku ni ufanye miamala ya shilingi milioni tano taslimu (5,000,000)....sijui nipo sahihi
Ukifanya muamala mmoja wa milioni moja wa kutoa commission ni kama elfu 2, kuweka ni 1,500/=. In short miamala mikubwa kamisheni inapungua sana, ukipata miamala midogo midogo ndio inalipa zaidi.

Mfano, ukimuwekea mteja mmoja milioni moja kamisheni ni 1,500/= ila ukiwawekea wateja kumi wa laki moja moja utapata kamisheni zaidi ya elfu 4.
 
Ukifanya muamala mmoja wa milioni moja wa kutoa commission ni kama elfu 2, kuweka ni 1,500/=. In short miamala mikubwa kamisheni inapungua sana, ukipata miamala midogo midogo ndio inalipa zaidi.

Mfano, ukimuwekea mteja mmoja milioni moja kamisheni ni 1,500/= ila ukiwawekea wateja kumi wa laki moja moja utapata kamisheni zaidi ya elfu 4.
Kama ni hivi biashara hii ni nzuri kwa sehemu kama sokon inalipa.ila kama ninkweli anayosema huyo wa comment ya juu kwamba muamala wa milion moja unapata 460 basi hii biashara ni taka taka.
 
Ukifanya muamala mmoja wa milioni moja wa kutoa commission ni kama elfu 2, kuweka ni 1,500/=. In short miamala mikubwa kamisheni inapungua sana, ukipata miamala midogo midogo ndio inalipa zaidi.

Mfano, ukimuwekea mteja mmoja milioni moja kamisheni ni 1,500/= ila ukiwawekea wateja kumi wa laki moja moja utapata kamisheni zaidi ya elfu 4.
Ofcoz naelewa hivyo pia ila nilipigia kwa miamala ya kilo kilo ambayo ndo ilikua sample yetu na kwa upande mmoja au mwingine ndio faida ambayo ni maximum kwa wastani wa kawaida
 
Kama ni hivi biashara hii ni nzuri kwa sehemu kama sokon inalipa.ila kama ninkweli anayosema huyo wa comment ya juu kwamba muamala wa milion moja unapata 460 basi hii biashara ni taka taka.
Sio mia nne sitini mkuu ni elfu nne na mia sita tena ni kwa miamala kumi ya laki laki na hapo kabla ya asilimia kumi ya kodi mbapo utabakiwa na elfu nne na mia moja sitini kama faida
 
Kama ni hivi biashara hii ni nzuri kwa sehemu kama sokon inalipa.ila kama ninkweli anayosema huyo wa comment ya juu kwamba muamala wa milion moja unapata 460 basi hii biashara ni taka taka.
Yah, ukiwa kwenye eneo lenye mzunguko mkubwa unapata faida. Problem ni risk zinazo ambatana na biashara hii na pia ukijaribu kufanya comparison ya mtaji huo huo ukiwekeza kwenye aina nyingine ya biashara faida yake itakuwaje.

Otherwise, kama mtu hana option nyingine ama anafanya biashara hii kama nyongeza kwenye biashara yake nyingine pia ni nzuri zaidi sabab gharama mfano za pango, umeme, mlinzi na pengine operator zinakuwa covered na biashara kuu.
 
Ofcoz naelewa hivyo pia ila nilipigia kwa miamala ya kilo kilo ambayo ndo ilikua sample yetu na kwa upande mmoja au mwingine ndio faida ambayo ni maximum kwa wastani wa kawaida
Yah ni sahihi kabisa mkuu.
 
Back
Top Bottom