Biashara ya Vanilla, Tshs 850,000 kwa kilo; Kuna nini nyuma ya tangazo hili?

Biashara ya Vanilla, Tshs 850,000 kwa kilo; Kuna nini nyuma ya tangazo hili?

Vanilla isha pasua watu huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wale wakaza fuvu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-984784984.gif
 
Usisahau kumpiga kofi moja la kichwa ili kumuweka sawa ht kama n bimkubwa
Mdogo wangu sasa ndio alikuwa anataka kuweka 20 yule nampiga kofi, me nlikuwa sijui sasa kwenye stori na bimkubwa ndio akaniambia hiyo mipango nikawastopisha kwa lekcha moja matata sana.... Ujue vanilla tatizo lipo kwenye pollination mzee kila ua ili lioteshe kile kidude kama arage bich lazima lifanyiwe polination manually na lazima iwe asubuh sana, jua likitoka kama maua hayajafanyiwa pollination yanaanguka, inabidi usubiri mpaka mwaka mwingine, ni mtiti bwana mkubwa.... Nikipata time ntakuja kuwaeleza watu wajue namna ilivyo shughuli pevu
 
Mdogo wangu sasa ndio alikuwa anataka kuweka 20 yule nampiga kofi, me nlikuwa sijui sasa kwenye stori na bimkubwa ndio akaniambia hiyo mipango nikawastopisha kwa lekcha moja matata sana.... Ujue vanilla tatizo lipo kwenye pollination mzee kila ua ili lioteshe kile kidude kama arage bich lazima lifanyiwe polination manually na lazima iwe asubuh sana, jua likitoka kama maua hayajafanyiwa pollination yanaanguka, inabidi usubiri mpaka mwaka mwingine, ni mtiti bwana mkubwa.... Nikipata time ntakuja kuwaeleza watu wajue namna ilivyo shughuli pevu
Aisee ni noma
 
Wapigwe Tu Tumechoka
Bwana Bure Hayupo Ndugu Zangu Tuchape Kazi Huku Tukimtanguliza Mungu Mbele
By Mzilankende Mnyago Wa Chettle
 
Huyu Mkondya sasa kaibuka na nguruwe badala ya Vanilla na wajinga wamempa hela. Vilio vimeanza tayari
 
Nisiwachoshe bure nitaandika kifupi sana. Kuna tangazo limepata airtime kubwa kwenye ITV kuhusu Vanilla International inayo promote kilimo cha vanilla wilayani Njombe. Bottom line ni bei ya soko ya kilo moja kuwa ni Tsh 850,000.

Wasiwasi wangu:
1. Kama faida ni kubwa hivyo kwa nini wasilime wenyewe kwa vile wanajuwa soko lilipo?

2. Ile methali ya kizuri chajiuza, na kibaya chajitembeza, je ina apply hapa?

3. Kuna watu wanalima vanilla Mkoa wa Kagera wanadai kuwa hata mteja wa kumuuzia kilo moja kwa Tsh 50,000 hawampati.

4. Kwa nini wanatangaza "faida" tu mfano bei nzuri na hawatangazi "changamoto" zinazoendana na biashara hii?

5. Naiona kama DESI watu wanaweza kupigwa hela hapa.

Wajuzi tufahamisheni
Yametimia.
 
Nisiwachoshe bure nitaandika kifupi sana. Kuna tangazo limepata airtime kubwa kwenye ITV kuhusu Vanilla International inayo promote kilimo cha vanilla wilayani Njombe. Bottom line ni bei ya soko ya kilo moja kuwa ni Tsh 850,000.

Wasiwasi wangu:
1. Kama faida ni kubwa hivyo kwa nini wasilime wenyewe kwa vile wanajuwa soko lilipo?

2. Ile methali ya kizuri chajiuza, na kibaya chajitembeza, je ina apply hapa?

3. Kuna watu wanalima vanilla Mkoa wa Kagera wanadai kuwa hata mteja wa kumuuzia kilo moja kwa Tsh 50,000 hawampati.

4. Kwa nini wanatangaza "faida" tu mfano bei nzuri na hawatangazi "changamoto" zinazoendana na biashara hii?

5. Naiona kama DESI watu wanaweza kupigwa hela hapa.

Wajuzi tufahamisheni
Lilikuwa ni suala la muda tu. Yule tapeli Simon Mkondya hatimaye ananyea debe;-
Screenshot_20241107_083221_Samsung Internet.jpg
 
Back
Top Bottom