Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,641
- 4,457
Hello
Natumaini mnaendelea vyema na harakati za kutafuta maisha nimeona leo niwaibie siri jinsi hii biashara ya sandals na viatu inaweza kukutajirisha kwa haraka.
Historia
Mimi kwa majina ya kuzaliwa naitwa Innocent kirumbuyo nimezaliwa Kilimanjaro katika hospital marubeneti miaka mingi iliyopita huko nyuma.
Mwaka 2012 nilimaliza elimu yangu ya sekondari katika shule ya sekondari Siha
Baada ya kumaliza elimu yangu ya sekondari nilingia mtaani kutafuta maisha ndipo nilipo jisogeza paka kwenye jiji la miamba Mwanza alimaarufu rock City
Nilipofika tu Mwanza nilianza na biashara ya kuuza viatu vya kike simple zile bei ndogo nilifanya ile biashara kwa kipindi cha miezi miwili tu.
Nikabadili biashara na kuanza kuuza simu za mkononi nilifanya biashara ya simu kwa mwaka moja tu
Kwa mara nyingine tena nikabadili tena biashara nakuanza kuuza viatu na sandals biashara ya viatu na sandals ndio ninafanya paka muda huu ni biashara nzuri sana ambayo ukiwa nayo makini unaweza kutajirika na kusahau umasikini kabisa
Unajua kwanini nakuambia hivyo hii biashara nimeifanya kwa miaka 7 ni biashara nzuri sana naitambua vizuri
Inachangamoto ila siyo kubwa sana kama za biashara nyingine ambazo nimefanya.
Uzuri hii biashara cha kwanza kuna faida kubwa sana na inamzunguko mkubwa sana
Unaweza kupata paka 60 elfu kwa katoni moja tu ata zaidi na hii katoni moja unaweza kuuza kwa siku au wiki inategemea sana mzunguko wako.
Karibu kwenye biashara ya viatu.
Tunakaribisha maswali maoni nipo hapa kutolea kila kitu ufafanuzi kwa kadiri navyoelewa.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Natumaini mnaendelea vyema na harakati za kutafuta maisha nimeona leo niwaibie siri jinsi hii biashara ya sandals na viatu inaweza kukutajirisha kwa haraka.
Historia
Mimi kwa majina ya kuzaliwa naitwa Innocent kirumbuyo nimezaliwa Kilimanjaro katika hospital marubeneti miaka mingi iliyopita huko nyuma.
Mwaka 2012 nilimaliza elimu yangu ya sekondari katika shule ya sekondari Siha
Baada ya kumaliza elimu yangu ya sekondari nilingia mtaani kutafuta maisha ndipo nilipo jisogeza paka kwenye jiji la miamba Mwanza alimaarufu rock City
Nilipofika tu Mwanza nilianza na biashara ya kuuza viatu vya kike simple zile bei ndogo nilifanya ile biashara kwa kipindi cha miezi miwili tu.
Nikabadili biashara na kuanza kuuza simu za mkononi nilifanya biashara ya simu kwa mwaka moja tu
Kwa mara nyingine tena nikabadili tena biashara nakuanza kuuza viatu na sandals biashara ya viatu na sandals ndio ninafanya paka muda huu ni biashara nzuri sana ambayo ukiwa nayo makini unaweza kutajirika na kusahau umasikini kabisa
Unajua kwanini nakuambia hivyo hii biashara nimeifanya kwa miaka 7 ni biashara nzuri sana naitambua vizuri
Inachangamoto ila siyo kubwa sana kama za biashara nyingine ambazo nimefanya.
Uzuri hii biashara cha kwanza kuna faida kubwa sana na inamzunguko mkubwa sana
Unaweza kupata paka 60 elfu kwa katoni moja tu ata zaidi na hii katoni moja unaweza kuuza kwa siku au wiki inategemea sana mzunguko wako.
Karibu kwenye biashara ya viatu.
Tunakaribisha maswali maoni nipo hapa kutolea kila kitu ufafanuzi kwa kadiri navyoelewa.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app