Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mishe ziko poaUmerudi sasa vipi mishe zako?
Utajiri uliojificha kwenye viatu vya mtumba [emoji3531]Uzi wa siku nyingi sana kumbe bado upo kuna watu mlinitafta inbox niwape ushauri wa viatu .ACOUNT yng ilipata shida zaid ya mwaka ckuwa Jf nilikua napita tu
SoC 2022 - Jinsi biashara ya viatu inavyonitoa mavumbini naomba kura yako boss[emoji1545]
Nataka nifanye kitu.
Hatari kabisaMnaziba barabara za wapita njia mmeambia ondoeni bidhaa zenu
Mkuu naomba namba yakoMapambano yanaendelea.
Wale wa mikoani mnaweza kuagiza kwa bei nafuu kabisa
Karibuni sanaView attachment 1722342
Kirumbuyo samahani sana,,,naomba nikutafute,popote ulipo kama utaona msg yangu, ni yangu ni 0765743113Nauza kwenye fremu mimi ila kupanga barabara inalipa sana kwasababu ata ukiuza laki moja auwezi kuwaza kwasababu inakuwa umeepuka cost kubwa sana kama kodi za serikali fremu n.k
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Naomba no yako mkuu
Niambie bossMkuu naomba unichekíe kama utabahatiba kuona msg yang,no yangu ni 0765743113
Hongera mkuu,ila usiachie fremu,serikali zetu zinageukageuka,utaambiwa marfuku kupanga vitu chini!Viatu vinalipa kweli kama una mtaj hata wa m1 baada ya mwaka unaweza kuwa na mtaj mkubwa sana .me nina biashara nyigine lkn baada ya vyuma kukaza. niliweka kimeza nje ya frem nikaanza na mtaji wa elf 70 nafata moshi naleta arusha vya mtumba. kuna kiatu unanunua elfu 5 kikiwa kichafu ukiosha unauza elf 20, kwa sasa mpaka natamani nihachie frem nibaki nje maana sikosi faida elfu 20 mpaka 30 kwa siku.View attachment 1583207View attachment 1583208View attachment 1583210View attachment 1583211View attachment 1583214View attachment 1583216