Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

Shida biashara ya vitu vya dukani imeshamiri ushirikina sana. Hasa mkoa wa Mbeya bila ushirikina hufanyi biashara labda uwe unasali sana, bahati mbaya biashara na sala ni ngumu sana kwenda pamoja.
ushirikina sana. Hasa mkoa wa Mbeya


Thibitisha hata Kwa story
 
Hello

Natumaini mnaendelea vyema na harakati za kutafuta maisha nimeona leo niwaibie siri jinsi hii biashara ya sandals na viatu inaweza kukutajirisha kwa haraka.

Historia
Mimi kwa majina ya kuzaliwa naitwa Innocent kirumbuyo nimezaliwa Kilimanjaro katika hospital marubeneti miaka mingi iliyopita huko nyuma.
Mkuu unaweza nipatia mawasiliano naitaji muongozo kwenye hii fursa 🙏
 
Hongera sana boss alafu moshi kuna mtumba mzuri sana tofauti na mikoa mingine usiache frem tafuta eneo jingine weka mtu mwingine mwambie ata kwa siku akupe 5000 au wewe utaona akupe ngapi kulingana na kasi ya biashara

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Moshi sehemu gani mkuu wanauza viatu Kwa Bei poa .? Na je ni mkoa gani viatu vya mtumba huuzwa Kwa Bei nafuu
 
Uzi wa siku nyingi sana kumbe bado upo kuna watu mlinitafta inbox niwape ushauri wa viatu .ACOUNT yng ilipata shida zaid ya mwaka ckuwa Jf nilikua napita tu
 
Uzi wa siku nyingi sana kumbe bado upo kuna watu mlinitafta inbox niwape ushauri wa viatu .ACOUNT yng ilipata shida zaid ya mwaka ckuwa Jf nilikua napita tu
Umerudi sasa vipi mishe zako?
 
Back
Top Bottom