Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Kwa Kariakoo naona rejareja ndo sana uza 3500
Jumla inaweza kuwa chini ya hapo maybe?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunanunua 3200 kwa Mchina, Sisi tunauza 3500Kwa kariakoo naona rejareja ndo sana uza 3500
Jumla inaweza kuwa chini ya hapo maybe?!
Sija pingana naye ila nimetoa changamoto iliyopo kwenye biashara ya vitu vya dukani.Kwanini biashara ningumu uki mshirikina Mungu? Jamaa ameleta Idea nzuri sana sasa ww hutaki kumtanguluza Mungu tena!?[emoji44]
Mkuu unachokiamini ndio hicho ila siyo ukweli kuwa biashara ya viatu bila ushirikina aufanyi mimi naamini naweza kuja mkoa wowote ata hapo mbeyaShida biashara ya vitu vya dukani imeshamiri ushirikina sana. Hasa mkoa wa Mbeya bila ushirikina hufanyi biashara labda uwe unasali sana, bahati mbaya biashara na sala ni ngumu sana kwenda pamoja.
Mkuu upo mkoa ganiNaanzaje sasa na kama viatu navipatia wap??
Upo mkoa ganiMonama huko frem ambazo ziko ktk mzunguko mzuri ni bei gani .
Na mtaji niwe na kiasi gani.
Asante
MemoriesMku soko gani
Asante sanawazo zuri sana hilo
Hivyo viatu belo unachukulia wapi?Ushauri kuhusu eneo unapaswa utafute eneo ambalo linapita watu wengi .
Kama vile stand kwasababu maeneo ya stand ndani mengi yamejaa wewe weka goli lako barabara ya kuelekea stand au sokoni ni rahisi sana kupata ayo maeneo kuliko sokoni ndani au stand ndani ukiweka vitu vikali utashanga mwenyewe watu wanaishia kwako tu
Mtaji
Kuhusu swala la mtaji ni wewe mwenyewe na uwezo wako. Ila kama ata unamtaji wa laki mbili usiweke laki mbili yote weka ata laki ikizidi sana laki na nusu kusoma kwanza biashara usiweke pesa yote
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Acha basi!! Jamaa amependa kushare idea ili na wengine wanufaike!Ukiona unaitwa kwenye fursa ujue wewe ndiye fursa......
Lango moja
Huyu ata asikupe shida ni mwazilishi wa ule uzi unaitwa makapuku forumAcha basi!!
Jamaa amependa kushare idea ili na wengine wanufaike!
Mkuu kumbe upo shinyanga vip mkuu biashara yako ya nguo za ndani uliokua unafuata Uganda na dar inaendeleajeNimetamani kuanza na viatu vya kike vya mtumba naomba connection Nipo Shinyanga mkuu kuja Rock City ni Jirani.
Ipo inaendelea MkuuMkuu kumbe upo shinyanga vip mkuu biashara yako ya nguo za ndani uliokua unafuata Uganda na dar inaendeleaje
Mchina anauza kuanzia pcs ngapi?Tunanunua 3200 kwa Mchina, Sisi tunauza 3500
Wanauza kwa carton sio kwa pisi moja moja, ukinunua kwa machinga nje ni bora maana utaweka fleva tofauti tofauti, wao dukani wananunua 3200 zikiwa kwenye carton, halafu nje wanauza 3500Mchina anauza kuanzia pcs ngapi?