Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

Shida biashara ya vitu vya dukani imeshamiri ushirikina sana. Hasa mkoa wa Mbeya bila ushirikina hufanyi biashara labda uwe unasali sana, bahati mbaya biashara na sala ni ngumu sana kwenda pamoja.
Mkuu unachokiamini ndio hicho ila siyo ukweli kuwa biashara ya viatu bila ushirikina aufanyi mimi naamini naweza kuja mkoa wowote ata hapo mbeya

Na nikafanya biashara vizuri bila kutumia ushirikina na nikapata mafanikio makubwa biashara ina sheria zake za ukuwaji

Fata sheria tu mengine achana nayo nakuakikishia uchawi wa biashara ni mali nzuri huduma nzuri na bei nzuri hapo akuna uchawi
 
Ushauri kuhusu eneo unapaswa utafute eneo ambalo linapita watu wengi .

Kama vile stand kwasababu maeneo ya stand ndani mengi yamejaa wewe weka goli lako barabara ya kuelekea stand au sokoni ni rahisi sana kupata ayo maeneo kuliko sokoni ndani au stand ndani ukiweka vitu vikali utashanga mwenyewe watu wanaishia kwako tu

Mtaji

Kuhusu swala la mtaji ni wewe mwenyewe na uwezo wako. Ila kama ata unamtaji wa laki mbili usiweke laki mbili yote weka ata laki ikizidi sana laki na nusu kusoma kwanza biashara usiweke pesa yote

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hivyo viatu belo unachukulia wapi?

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Mchina anauza kuanzia pcs ngapi?
Wanauza kwa carton sio kwa pisi moja moja, ukinunua kwa machinga nje ni bora maana utaweka fleva tofauti tofauti, wao dukani wananunua 3200 zikiwa kwenye carton, halafu nje wanauza 3500
 
Back
Top Bottom