Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,107
- 1,012
Mnaziba barabara za wapita njia mmeambia ondoeni bidhaa zenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ushirikina sana. Hasa mkoa wa MbeyaShida biashara ya vitu vya dukani imeshamiri ushirikina sana. Hasa mkoa wa Mbeya bila ushirikina hufanyi biashara labda uwe unasali sana, bahati mbaya biashara na sala ni ngumu sana kwenda pamoja.
Mkuu mimi nipo mwanza pia, natafuta mtu wa kuniuzia viatu ni mpenzi mkubwa wa viatu kaka kama itakupendeza ni PM baadhi baadhi pengine naweza kukuungisha hasa hasa vya ofisini / official
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Mkuu unaweza nipatia mawasiliano naitaji muongozo kwenye hii fursa 🙏Hello
Natumaini mnaendelea vyema na harakati za kutafuta maisha nimeona leo niwaibie siri jinsi hii biashara ya sandals na viatu inaweza kukutajirisha kwa haraka.
Historia
Mimi kwa majina ya kuzaliwa naitwa Innocent kirumbuyo nimezaliwa Kilimanjaro katika hospital marubeneti miaka mingi iliyopita huko nyuma.
Moshi sehemu gani mkuu wanauza viatu Kwa Bei poa .? Na je ni mkoa gani viatu vya mtumba huuzwa Kwa Bei nafuuHongera sana boss alafu moshi kuna mtumba mzuri sana tofauti na mikoa mingine usiache frem tafuta eneo jingine weka mtu mwingine mwambie ata kwa siku akupe 5000 au wewe utaona akupe ngapi kulingana na kasi ya biashara
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Moshi maimoria bei poa sana alafu viatu vizuriMoshi sehemu gani mkuu wanauza viatu Kwa Bei poa .? Na je ni mkoa gani viatu vya mtumba huuzwa Kwa Bei nafuu
0768480963Mkuu unaweza nipatia mawasiliano naitaji muongozo kwenye hii fursa [emoji120]
[emoji3][emoji3][emoji3]Mnaziba barabara za wapita njia mmeambia ondoeni bidhaa zenu
Mwanza naskia ni pana fursa nzuri sana hususan kwa watu wenye mitaji midogo, laki nne nafanya kazi vizuri[emoji3][emoji3][emoji3]
mkuu ntakuchek na mm pia whatsapp0768480963
Ndio boss vizuri kabisa kwasababu ili jiji garama za maisha zipo chini sanaMwanza naskia ni pana fursa nzuri sana hususan kwa watu wenye mitaji midogo, laki nne nafanya kazi vizuri
Karibu bossmkuu ntakuchek na mm pia whatsapp
Asante sana na karibu ukapate mafanikioNipo mbioni kuanzisha uzi umenyooka
[emoji23][emoji23][emoji23]asante sana nlikua natafuta comment kama hii ya kunitia moyo
Umeongea Jambo Zuriwanakata karume ila duu ni bei juu me nilitoka arusha nikavifata dar nilijuta kwanza inatakiwa sa 10 usiku umeshafika viatu viko moshi tena bei ni nzur kuliko dar japo mzigo wanachukua dar na nairobi
Umerudi sasa vipi mishe zako?Uzi wa siku nyingi sana kumbe bado upo kuna watu mlinitafta inbox niwape ushauri wa viatu .ACOUNT yng ilipata shida zaid ya mwaka ckuwa Jf nilikua napita tu