TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 930
- 1,290
- Thread starter
- #21
Sijakuelewa mkuu hebu fafanua kidogo.Ukipewa tenda ya kuwasilisha mzigo dukani Dar utaweza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewa mkuu hebu fafanua kidogo.Ukipewa tenda ya kuwasilisha mzigo dukani Dar utaweza?
yanabanduka waweza kuta bei elfu kumi machimbo,unakuja kuuza kumi tano kikibanduka malalamiko kibaoDuuh kumbe yanazingua eehe...!! Quality mbovuuu
mkuu mabovu hayo me nina mwaka mmoja hii biashara nina kesi kibao za kubanduka viatu kwa wateja hata mwezi havifikishi,sio vya buku tatu tu mpaka elfu kumi na tano mwendo kubanduka tu,halafu mteja ukishamuuzia atavaa hicho kiatu mpaka kwenye mvua,nimeachana navyo sahizi nachukua vya kimasai na vile vya dukani vya bei kuanzia elfu 20 kwa jumla haya ya bei chini mabovu unaweza kuchukua pc 10 hujauza tu pc tatu zinaachia ukirudisha wanakataaKiatu ushaona kinauzwa 3000 alafu unataka kisibanduke? la kuhusu kubanduka ni kweli itategemea unavaaje...ukiwa mtumiaji wa hivyo viatu inatakiwa ile stand ya viatu kwa hesabu za chini isipungue pea 30 yani nikimaanisha kiatu ukikivaa leo kukirudia ni mpaka mwezi ujao..Trust ME Mtaani lazima upendeze hata kama ni midosho ila utang'aa tu.
Kikubwa mjini umaridadi...Brands waachiwe kina nick minaj.
Kwa upande wa biashara hayo maviatu mazuri sana kuuza ki ufupi ukiwa na mtaji Ni biashara nzuri sana ya kuongeza mtaji kisha kutafuta biashara nyingine..
Sema mwamba unajua tumia fursa....kuonyesha chimbo gharama 5000 Aisee maisha yametupa akili ya ubunifu mkubwa sana.
nakubaliana na wewe mkuu...Sema kwa kuanzia mtu ambae hajawahi ffanya biashara ni biashara nzuri sana kwani haihitaji mtaji mkubwa...Lawama za wateja pia ni nzuri kwa ambao hawajawahi kuanza biashara wanatakiwa wawe na customer care nzuri.mkuu mabovu hayo me nina mwaka mmoja hii biashara nina kesi kibao za kubanduka viatu kwa wateja hata mwezi havifikishi,sio vya buku tatu tu mpaka elfu kumi na tano mwendo kubanduka tu,halafu mteja ukishamuuzia atavaa hicho kiatu mpaka kwenye mvua,nimeachana navyo sahizi nachukua vya kimasai na vile vya dukani vya bei kuanzia elfu 20 kwa jumla haya ya bei chini mabovu unaweza kuchukua pc 10 hujauza tu pc tatu zinaachia ukirudisha wanakataa
Inaonekana ujui hii biashara,wanawake wote unaowaona kaa kwenye stend ya bus asilimia 90%wanavaa viatu kuanzia 3500 mpaka 7000 kwa julma,hivyo unavyosema wewe unanunua 20kwa jumla labda wanavaa wa masaki kwa maana utawauzia kuanzia 25 na kuendelea, na hivyo kwa mtaani haviuziiki maana hata mimi nafanya hiyo biashara na ninamuda tu,wateja kila fashion ikiingia nawpaelekeaa na wala wajalalamika kwa namna yoyote ile kutokana wanajua bei yaviatu,kila siku wateja wangu wanazidi kuongeza pea kwa mujibu wa fashion.mchina anauza sana kila siku kutokana na hiyo bei, yote kwa yote wanaotaka kufanya hii biashara wafanye kwa maana inafaida,mkuu mabovu hayo me nina mwaka mmoja hii biashara nina kesi kibao za kubanduka viatu kwa wateja hata mwezi havifikishi,sio vya buku tatu tu mpaka elfu kumi na tano mwendo kubanduka tu,halafu mteja ukishamuuzia atavaa hicho kiatu mpaka kwenye mvua,nimeachana navyo sahizi nachukua vya kimasai na vile vya dukani vya bei kuanzia elfu 20 kwa jumla haya ya bei chini mabovu unaweza kuchukua pc 10 hujauza tu pc tatu zinaachia ukirudisha wanakataa
kweli mkuu vinauzika hata mimi nimeuza sananakubaliana na wewe mkuu...Sema kwa kuanzia mtu ambae hajawahi ffanya biashara ni biashara nzuri sana kwani haihitaji mtaji mkubwa...Lawama za wateja pia ni nzuri kwa ambao hawajawahi kuanza biashara wanatakiwa wawe na customer care nzuri.
ki ufupi hayo maviatu ni mabovu yanafaa kwa kufanyia biashara sio kuyatumiaa kwa mtu mpenda viatu vya kudumu
sikatai kama havina hela ila vinabanduka sana hasa sisi tunaokopesha vikibanduka jiandae kufikia hela yako kama umekopesha hulipwi hakuna hela kwenye vitu vibovuInaonekana ujui hii biashara,wanawake wote unaowaona kaa kwenye stend ya bus asilimia 90%wanavaa viatu kuanzia 3500 mpaka 7000 kwa julma,hivyo unavyosema wewe unanunua 20kwa jumla labda wanavaa wa masaki kwa maana utawauzia kuanzia 25 na kuendelea, na hivyo kwa mtaani haviuziiki maana hata mimi nafanya hiyo biashara na ninamuda tu,wateja kila fashion ikiingia nawpaelekeaa na wala wajalalamika kwa namna yoyote ile kutokana wanajua bei yaviatu,kila siku wateja wangu wanazidi kuongeza pea kwa mujibu wa fashion.mchina anauza sana kila siku kutokana na hiyo bei, yote kwa yote wanaotaka kufanya hii biashara wafanye kwa maana inafaida,View attachment 1138746View attachment 1138747View attachment 1138748View attachment 1138749View attachment 1138750View attachment 1138751View attachment 1138753View attachment 1138757View attachment 1138758View attachment 1138759
Hata Kama yanabanduka lkn akina Dada wanayavaa sanaaaa....Machimbo yakishatajwa humu mpaka ramani kupitia Uzi mmoja hivi unaitwa wafanyabiashara was mikoani mnaochukua mizigo kkoo,halafu hayo maviatu yanabanduka
kumbee mnavipenda eehHata Kama yanabanduka lkn akina Dada wanayavaa sanaaaa....
SI Ni Bei rahisikumbee mnavipenda eeh