Biashara ya viazi mviringo

Biashara ya viazi mviringo

Duh milion mbili?
Kwa mchanganuo gani huo chief..ifuatayo ni rafu yngu kwa uzoefu wangu mdogo naomba nisahihishwe nitakapokuwa nimekosea..
:-Kukodi shamba heka moja 100,000- 120,000
:-kulima 60,000
:- mbegu viroba vitano kimoja 50,000 =25000
:-Mbolea yakupandia DAP mfuko wa kilo 25 =35000 + keni mfuko wakilo 25= 22,000 jumla mbolea yakupandua inagharimu 57000
:-Wapandaji 40,000
:- MASTA KINGA kilo moja 18,000
:-mbolea yamaji 10,000
:-sumu 10,000
-palizi nakupandishia udongo :40,000
-: HESABU KUU INANIPA 600,000
hizo bei za dawa zipo sawa, lakini kumbuka Mastakinga kilo moja utapiga wiki mbili au tatu itakua imeisha, kwa eka moja unahitaji walau kilo nne na nusu. Viazi vinaenda hadi miezi 4
 
Duh milion mbili?
Kwa mchanganuo gani huo chief..ifuatayo ni rafu yngu kwa uzoefu wangu mdogo naomba nisahihishwe nitakapokuwa nimekosea..
:-Kukodi shamba heka moja 100,000- 120,000
:-kulima 60,000
:- mbegu viroba vitano kimoja 50,000 =25000
:-Mbolea yakupandia DAP mfuko wa kilo 25 =35000 + keni mfuko wakilo 25= 22,000 jumla mbolea yakupandua inagharimu 57000
:-Wapandaji 40,000
:- MASTA KINGA kilo moja 18,000
:-mbolea yamaji 10,000
:-sumu 10,000
-palizi nakupandishia udongo :40,000
-: HESABU KUU INANIPA 600,000
Hujaweka mbolea ya kukuzia Mkuu,! Alafu hyo DAP kilo ulizoweka hazitoshi kulima ekari 1
 
Habari, Naombeni kujua mwenye kujua viazi mviringo kwa kipindi hichi vinauzwa bei zipi mikoa njombe na mbeya mzigo kwenda Dar!
 
Habari, Naombeni kujua mwenye kujua viazi mviringo kwa kipindi hichi vinauzwa bei zipi mikoa njombe na mbeya mzigo kwenda Dar!
UMALILA MBEYA Kwa bei ya shambani kwasasa wachuuzi wananunua 25,000/= kwakipeto cha debe 5 sawa na 5,000/= kwa debe moja.
Wakulima wanalalamika kuwa bei hiyo ipo chini wengi wameamua kuviacha kwa muda humo humo shambani kusikiliziia bei kama itapanda panda,kama itaendelea kubaki hapo hapo bora waviache waje wauze mbegu..
kwahiyo kama unataka uje ujaze mzigo chapu nakusepa njoo na ofa japo ya elf 30 kwakipeto cha debe 5 sawa na elf 6 kwa debe
 
Naombeni kujua bei ya viazi kwa sasa wapendwa, na viazi pendwa kwa wana dar es salaam ni kutoka mkoa gani?
 
Hapana mkuu usafiri hujaweka apo mara nyingi huwa wanaitaji advance siyo zaidi ya lak 3 kwenye usafiri, izoo gharama zingine za usafiri unalipa baada yaa mauzo kufanya ata dalali analipwa baada yaa mzigo kuuzwa.

Bei huwa zina range kati yaa 26,000-32,000 kutegemeana na wapi na aina ya kiazi iyo bei ni guniaa ad liko ndani yaa gari, au kwa maana nyingine umelipa wapakiaji,ushuru, na gunia na kambaa.
habari mkuu
mimi pia nahitaji kuanza hii biashara lkn niliplan kutoa mbeya kuleta Mwanza naomba kujua yafuatayo

umesema usafiri unalipa advance ( na kwa Dar unaanza na laki 3 probably kwa kuwa malori yanakuwa yanarudi bila mzigo) vipi bei kamili ya usafiri ni ngapi? na kama una fahamu bei ya usafiri kuja Mwanza

na kama unashare na mzoefu ni zipi ni Changamoto za kutegemea

naomba kama unalolote la Kushare naomba unisaidie
 
Kwa Tanga mkuu sikushauri hasa ukizingatia viazi vnavyopatikana kwa wingi sasa ni kutoka Mbeya,viazi ambavyo havivumilii shida atleast ingekuwa vya Njombe, pia Tanga sasa wanapata toka Rombo,kwa ushauri zaidi nipm nina uzoef wa miak 4 na ishu hizo. NB:una moyo wa kufanya biashara za kuoza.

Biashara Kuoza au Mali Kuoza. Kuna kipindi iliniangusha sana biashara ya viazi.​

 
Back
Top Bottom