Duh milion mbili?
Kwa mchanganuo gani huo chief..ifuatayo ni rafu yngu kwa uzoefu wangu mdogo naomba nisahihishwe nitakapokuwa nimekosea..
:-Kukodi shamba heka moja 100,000- 120,000
:-kulima 60,000
:- mbegu viroba vitano kimoja 50,000 =25000
:-Mbolea yakupandia DAP mfuko wa kilo 25 =35000 + keni mfuko wakilo 25= 22,000 jumla mbolea yakupandua inagharimu 57000
:-Wapandaji 40,000
:- MASTA KINGA kilo moja 18,000
:-mbolea yamaji 10,000
:-sumu 10,000
-palizi nakupandishia udongo :40,000
-: HESABU KUU INANIPA 600,000