TensorFlow
JF-Expert Member
- Feb 11, 2020
- 993
- 1,286
Nafikiria kufungua duka la kuuza vifaa vya ujenzi, nalenga vitu 3: cement, nondo, na mabati. Hii biashara nafikiria kuifungua hapahapa Dar.
Wazoefu nipeni ushauri natakiwa kuzingatia vitu gani?
Wazoefu nipeni ushauri natakiwa kuzingatia vitu gani?