Queen official
Member
- Apr 12, 2021
- 6
- 1
Uzi wa Kwanza ushaanza biashara. Hata salamuuuu.
haya swali....wewe ni mkulima au unauzia ukiwa wapi?
Kama una mzigo mkubwa...anza taratibu kwa kufunga ktk pkt ndogondogo ili uanze kutengeneza wateja na kujitangaza zaidi na baada ya muda utaweza kupata connection ya mzigo mkubwa....
Mkuu naomba unitajie bei ya kila kiungo Kwa kilo kwa bei ya jumla. AsanteHabari,
Ninabiashara ya viungo vya chakula (spices) Iric, mdalasini, pilipili manga, karafuu , nauza kwa kilo nawezaje kupata soko lakuuza bidhaa hizi?
Zaidi soma: Wateja wapo wengi, Ongeza thamani ya kitu unachotaka kukiuza kabla hujakitangaza kukiuza
Mkuu naomba unitajie bei ya kila kiungo Kwa kilo Kwa bei ya jumla. Asante
Ni nzuri hasa ukipata sokoHii biashara imenipa mafanikim makubwa sana ukiiona unaweza kuiyalau naifanya adi muda huu nipo soko la mawenz morogoro
Upo mkoa gani mkuu.Ni nzuri hasa ukipata soko
TangaUpo mkoa gani mkuu
Kama hutojali kilo moja kwa kila bidhaa unauza bei gani au ni pm hizo bei zake mkuuTANGA
Hii biashara imenipa mafanikim makubwa sana ukiiona unaweza kuiyalau naifanya adi muda huu nipo soko la mawenzi Morogoro.