Biashara yangu imedorora sana, hali hii ni kwangu tu au wote?

Sasa hivi tunanywea bia kwenye vibaa vyetu vya uchochoroni.

Tumekuwa wapoleeee...
Hahaaaa mtu anakunywa bia moja two hours kweli mumenyooka bar kweupe yani kila RAIA anaisoma number kwa style yake biashara zimedoda. Ama kweli kufa kufaana
 
Hahaaaa mtu anakunywa bia moja two hours kweli mumenyooka bar kweupe yani kila RAIA anaisoma number kwa style yake biashara zimedoda. Ama kweli kufa kufaana
Yaani ukienda bar, Maji ya uhai kwa sana.

Home napo friji lipo leupe. Unajaza vitu vya siku mbili tatu tu. Friji limejaa maji ya kunywa.

Serious, hali ni tete sana.
 
Yaani ukienda bar, Maji ya uhai kwa sana.

Home napo friji lipo leupe. Unajaza vitu vya siku mbili tatu tu. Friji limejaa maji ya kunywa.

Serious, hali ni tete sana.
Yani watu watia huruma mno sasa anayetegemea biashara tu na sasa watu hawanunui unnessesary goods sijui wata survive vipi. Soko ya vyakula vtu vimeshuka kiasi ila wanunuzi napo wakubahatisha. Kweli kuisoma number si mchezo
 
Yani watu watia huruma mno sasa anayetegemea biashara tu na sasa watu hawanunui unnessesary goods sijui wata survive vipi. Soko ya vyakula vtu vimeshuka kiasi ila wanunuzi napo wakubahatisha. Kweli kuisoma number si mchezo
Sasa hivi nyanya, kabeji, hoho tunapanda kwenye bustani hapa nyumbani. Maua tupa kule.

Hii inasaidia kupunguza gharama
 
Hahaaaa mtu anakunywa bia moja two hours kweli mumenyooka bar kweupe yani kila RAIA anaisoma number kwa style yake biashara zimedoda. Ama kweli kufa kufaana
Nilikuwa kwa siku na wastani wa kuuza masanduku 7 hadi 8 haijalishi ni weekend ama siku za kazi. Sasa hivi nikamaliza masanduku matatu nashukuru Mungu.

Naombeni msaada wa kutatua tatizo.Nipo serious.
 
Mkuu namaanisha biashara za vyakula zina nafuu kidogo kwa kutoka kwani ni lazima watu wale hata kama ni mlo 1 ukilinganisha na bidhaa kama nguo, vifaa vya ujenzi wakati wa kufunga mkanda.


inaonekana wewe sio mfanyabiashara unataka kumpoteza mwenzako.

afungue biashara ya chakula inamaanisha ni mtaji mpya unatakiwa. new location. new idea new customers. unajua garama za vitu vyote hivyoo. naukumbuke hata kwenye chakula demand imepungua.
 

Sasa akishakoma wewe ndio utakaemlishia familia yake?
 
Una akili Sana, unajua kuangalia
 
Kwa wale wanao mtegemea Mwenyezi mungu huwa hawawazi kuyumba kwa biashara,ila wale wanaoenda kwa waganga ili wafanye biashara,kazi ikiyumba wanakuwa na wasiwasi labda wamekosea mashariti
Hii mpya yeuwiiiiiiiiiiiiiiieeeeeee
 
Biashara yangu inayumba siku hadi siku.

Sitaki kumtupia lawama anko Magu moja kwa moja ila ukweli hali sio nzuri
Nilikuwa na uwezo wa kulala mpaka na faida ya laki tano kwa siku kwenye kabiashara kangu kakuungaunga ila nowdays nikilala na laki faida nashukuru sana

Mzee achia hela uraiani pleasee tutarudisha watoto kayumba muda si mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…