Biashara yangu inaniingizia faida ya Tsh. 200,000 kila mwezi; Je, Niiache niende chuo?

Biashara inayokuingizia faida ya laki 2 ni ndogo sana
 
Aniulize mimi ni shahidi, mwaka wa nne huu naiskia ajira kwenye bomba, afadhali yake aliyewaza mapema, maana si wengine nataman zile ada na pocket money ziwe mtaji kwa sasa... Lakin ndio ivo haiwezekan, imebaki degree jina tuu nothing special.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama still biashara inakulipa fanya kwanza biashara zen jiimalishe mwenyewe kwa kila kitu kinachokuzunguka zen kabla hujaanza kusona mtafute mtu ukae nae kwny biashara umuone km anifit , akiifit biashara sasa hapo unaweza kumuachia biashara zen ukaendelea na masomo kama kawaida bila wasi wasi coz kuna maisha baada ya kumaliza chuo tena ya msoto coz ajila adimu xana mtaani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea point mkuu sometm ukikaa ukitafakar mdaa uliotumia kusoma mpka chuo umemaliza na bado pengine ujapat kaz unaona ni bora huo mdaa ulio utumia chuo ungekua umejiajir au unapamban ungekua mbali sana ijapokuwa elimu ni muhimu ila kwa tz ytu bado sanaa
Na ambaye ajafika uko anatamani sana na pengine anaweza kuona kama unampigia propagand ila ni true hakuna jipyaa tena wenyew ndo wanatupa elimu ya ujasiriamali
Mm naona angepambna biashara yake iwe zaidi ya hapo kusoma hata online ama open universty
 
Stori kibaaaao hujaandika hata ni biashara gani!
 
UKO SAHIHI SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…