Biashara yoyote ili ikue na kukomaa inahitaji ulinzi Mkali sana

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
Biashara is a hard game, very risk. Kuanzia usimamizi unahitaji ulinzi, wafanyakazi wote wanahitaji ULINZI ili wafanye kazi.

Uli usiibiwe unahitaji ulinzi.

Mapato na matumizi unahitaji ulizni hasa. Al in all tafuta mfumo thabiti wa kulinda biashara ikue na ikuletee faida.

 
Ni kweli. Na kwenye biashara hakikisha wafanyakazi hawaelewani. Kuna kampuni mjini Dar niligundua kuanzia yule wa juu hadi mlinzi wanashirikiana kuiba tena yule anayeaminiwa zaidi na boss wa pale ndo kiongozi wa uovu. Wafanyakazi wakiwa kitu kimoja watakufilisi.
 
Mbogo ni mwizi siku zote wizi ni asiri ya mtanzania halisi.
 
Wahindi ndo wanaweza hii game
 
Confuse them without them knowing.
wakijua watakupiga tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…