Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Wanawake ukiwa kabidhi biashara wataiba sana kuna siku nilikwenda kwa mama mdogo maili moja kibaha akanituma nikamuwekee kama milioni moja benki walikuwa na duka la hardware nilivyorudi nikaweka risiti mezani baba mdogo alivyorudi akaikuta risiti akaniuliza hii ya nini nikamjibu nimetumwa kumbe anaficha hela kwenda kuangalia kuna milioni 16 wakaitoa zote lawama zikahamia kwangu sikurudi tena mpaka leo
:A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek:!!!!
Aisee kazi ipo kweli... kumbe biashara zina faida sana basi tu wanawake wanaturudisha nyuma sana!
Ila mi nadhani tatizo ni mawasiliano mabovu na kutowekana sawa kati ya mume na mwenye mume! Mwanaume akiwa muwazi kwa mkewe na akamweleza nini malengo ya biashara, profit and loss katika biashara itakuwa vyema sana!
Lakini pamoja na hayo kuna wanawake ni wapumbavu sana! wanakuwa kama vile wametumwa kutoka kwao kwenda kuiba kwa mwanaume! wao wanachoangalia ni kuiba na kupelekea kwao tu! wengine wako radhi wajenge makwao hukooo lakini wabomoe familia waliyoifuata... huu ni ujinga mkubwa sana!