everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,027
Mahusiano ya kifamilia yasiyo thabiti yanasababisha hii hali.Kukosa mipango katika biashara.
Ila kwa upande mwingine ni uzembe wetu sisi wenyewe wanawake,unakuta bajeti ndogo tu ya nyumbani ya chakula inakushinda unakuta unaifanyia ufisadi hii inapelekea mwanaume kutokuwa na imani na mkewe.
Pili mwanamke kutokuwa na hamu ya kujifunza,au hata kujua tu mume wake anafanya kazi gani na ni wapi,yeye huridhika tu ile hali ya kuletewa,hii hupelekea kwa mwanaume kuona ni sawa tu hamna haja ya kufahamishwa chochote.
Ila kwa upande mwingine ni uzembe wetu sisi wenyewe wanawake,unakuta bajeti ndogo tu ya nyumbani ya chakula inakushinda unakuta unaifanyia ufisadi hii inapelekea mwanaume kutokuwa na imani na mkewe.
Pili mwanamke kutokuwa na hamu ya kujifunza,au hata kujua tu mume wake anafanya kazi gani na ni wapi,yeye huridhika tu ile hali ya kuletewa,hii hupelekea kwa mwanaume kuona ni sawa tu hamna haja ya kufahamishwa chochote.