Biashara za Kitanzania ni za ajabu sana

Ni kawaida kwa maduka ya posta, masaki, oysterbay and the like. Jeans quality iliyonyooka uliyozoea kununua wewe kwa tshs elfu 40 huko utauziwa laki na themanini kuendelea na zinanunuliwa kama kawa.
 
Labda umeuziwa tevez 😂😂😂😂 hakuna teva og ya 20k
 
Utapeli ni moja ya Tunu kwenye nchi hii.

USIKASIRIKE MKUU.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Ujuwe kuna tatizo kubwa la wafanyabiashara hasa la uaminifu na hili linaweza kuzuia biashara kuwa huru na kuleta mashaka sana kwa wateja
Mimi ninaimani tukirejasha uaminifu kwa mfanyabiashara na wateja wake utakuwa ndio mwarubaini tu.
 
Niliona kiatu kikali mno online.

Kuagiza , nilichoka mwenyewe.

Hizo picha wanazopost online sijui wanazifanyaje aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…