Yaani ndio zenyewe kabisa. Sio yeboyebo
Watanzania sehemu nyingi wanauza fake sema kwa sababu ni duka kubwa wewe akili yako yakutuma OG kumbe ni ile ile ya machinga. Kuna maduka ambayo ukinunua kitu una uhakika hiki safi kama wool worth sema bei yake sasa....Quality inatofautiana kaka izo ulizonunua azitoboi mwezi
Hakunaga keshoKesho sio mbali
Akiweka kapicha unitag, nikute nalala.Unatumia kitochi mkuu?umeshindwa PATA kapicha ka Teva?
weka na hiyo picha ya Insta mkuu
hii ndio dukan 250,000?