Nshonzi
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 3,057
- 1,882
Ni wa aina yoyote kulingana na hicho kiasi ndugu yangu maana maisha ni kusaidiana maarifaMradi mkubwa au mdogo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wa aina yoyote kulingana na hicho kiasi ndugu yangu maana maisha ni kusaidiana maarifaMradi mkubwa au mdogo??
Mi nakushaur kwanza anza kufanya utafit wa biashara eneo husika halaf maarifa mengin tutaelekezan hapa... Siku hizi biashara nyingne haswa za mitaj mikubwa hazielewekNi wa aina yoyote kulingana na hicho kiasi ndugu yangu maana maisha ni kusaidiana maarifa
Yaani nilikuwa nime plan biashara ya juice ya miwa kufungua sehemu ya kuuzia hasa mitaa ya shule ya uhuru karibu na stand maana naamini kwa 4m naweza pata mashine na pangoMi nakushaur kwanza anza kufanya utafit wa biashara eneo husika halaf maarifa mengin tutaelekezan hapa... Siku hizi biashara nyingne haswa za mitaj mikubwa hazielewek
Ni kweli kabsa mkuu, hata hiyo ni sawa uko sahih kbsa..Kama umefanya uchunguz anza tu...inalipa hyo biasharaYaani nilikuwa nime plan biashara ya juice ya miwa kufungua sehemu ya kuuzia hasa mitaa ya shule ya uhuru karibu na stand maana naamini kwa 4m naweza pata mashine na pango
Asante sana mkuu wacha nijaribu kamaliNi kweli kabsa mkuu, hata hiyo ni sawa uko sahih kbsa..Kama umefanya uchunguz anza tu...inalipa hyo biashara
Usiseme kamali...nenda na moyo wa kujiamini kuwa utashinda, biashara zina changamoto yake lakn zinatatulika na kila siku unajifunza mapya..Asante sana mkuu wacha nijaribu kamali
Mungu akubarikiUsiseme kamali...nenda na moyo wa kujiamini kuwa utashinda, biashara zina changamoto yake lakn zinatatulika na kila siku unajifunza mapya..
KILA LA HERI MKUU
Pamoja na wew ndugu akusimamie kwenye biashara yako! Utimize malengo yakoMungu akubariki
AminaPamoja na wew ndugu akusimamie kwenye biashara yako! Utimize malengo yako
Mkuu nashukuru kwa mada hii na mamb ya msing uliyoyaongeaPamoja na wew ndugu akusimamie kwenye biashara yako! Utimize malengo yako
Kitu kingine kipi sasa c ufanyie kazi hayo aliyokushauri kwanzaTunaomba utushauri na kitu kingine aisee maana naona una mawazo mazuri zaidi
Wazo zuri uongezee na bites, mfano sambusa, maandazi, bagia , keki nk.Yaani nilikuwa nime plan biashara ya juice ya miwa kufungua sehemu ya kuuzia hasa mitaa ya shule ya uhuru karibu na stand maana naamini kwa 4m naweza pata mashine na pango
Mfungulie duka la matunda.Naomba ushauri nina mdogo wangu kamaliza shule na ajira ndio kama ujuavyo ni shida nami nimejikongoja nimepata angalau 4milioni je ni mradi gani naweza mfungulia?pls
HAPA KUNA BIASHARA ZA 10-50 we una milioni 4,si uanzishe kama hizi mara 400?Naomba ushauri nina mdogo wangu kamaliza shule na ajira ndio kama ujuavyo ni shida nami nimejikongoja nimepata angalau 4milioni je ni mradi gani naweza mfungulia?pls