Biashara za mitandao (kuunganishana) zinavyowaliza first year vyuoni

Biashara za mitandao (kuunganishana) zinavyowaliza first year vyuoni

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Habari, karibu ndugu msomaji Leo tutaangazia kwa uchache namna biashara za kuunganishana ( biashara za mitandaoni kama wanavyoziita wao)
Hizi sio zile zakuuza bidhaa online kama wafanyavyo Al-Baba, Amazon, E-bay au jumia Bali hizi nizamifumo ya kuunganishana na zitakuwa pyramid in shape yani nikijiunga Mimi nakushawishi na wewe unajiunga chini yangu.

Kwa baadhi ya nchi ni haziruhusiwi na niharamu, kama ilivyo kwa michezo ya kubahatisha, na hata matangazo yake hayaruhusiwi kutangazwa katika vitengo vya matangazo ya mitandao mikubwa kama Facebook ads na google AdWords.

Unachotakiwa kufanya nikujiunga na kisha kutafuta watu wakujiunga chini yako na Mara nyingi kiasi cha kujiunga huwa nikikubwa hadi kufikia 600,000+

Ukishajiunga unaanza kuhangaika kutafuta watu wakuwaunganisha na kuwadanganya kama ulivyo danganganywa. Simaanishi kuwa ni utapeli Bali ni mfumo mgumu na unaoumiza na unaendeshwa kwa uongo yani nilazima udanganye ili upate wafuasi mfano " nimejiunga Nina wiki mbili maisha yangu yamebadilika kabisa na hapo umevaa suti yakuazima na hujui Utakuta nini maana siwashachomoka na na Laki zako haha!

Sasa hawa jamaa wamejikita sana vyuoni na kuwasubiri wale mwaka wakwanza ili kuwaingiza mkenge na kuwaacha wakilia.
Ushawishi mkubwa hutumika kuwadanganya Bila kueleza wazi ugumu wa mfumo.

Watakwambia baada ya mwezi utanunua gari. Haha!

Na mengineyo mengi kukutamanisha. Ukisha jiunga sasa ndio utaanza kuonja joto yajiwe.

Wito kwa watanzania
Anayekushawishi kujiunga na kitu chochote mwambie akwambie madhara yake tuu faida utazipata kwa kutafuta taarifa zingine wewe mwenyewe.

Namshukuru sana padri simplis wa france, maana Mimi nilishawishiwa kidogo niingie mkenge lakini Huyu father alinieleza hii ni black market na anayefanikiwa ni yule wa mwanzo( jaribu kuchora pyramid utaelewa nachoeleza)

Wito kwa serikali.

Hizi biashara zinapaswa kuundiwa bodi ya udhibiti kama ilivyo betting Tena pengine yenye nguvu zaidi

Onyo Kwako usisikie maneno kuwa " Nina project nahitaji watu 20 wanafanya nao kazi hahaha! Au kuna project sijui ikishirikiana na nmb

Fanya real business utafanikiwa
Kwaheri
Share ujumbe kwa watu wako wanguvu.
 
Nilikoswa koswa na forever living nikiwa first year boom tu lilichelewa na lilipokuja likawa na mambo mengi ndo ikawa pona yangu, sijakaa Sawa nikakoswa koswa na Qnet tena, hyo sasa ilikuwa ni best lucky from God mana nilijiandaa kuuza kiwanja daah, mpak Leo hzo mambo sitak hata kuzisikia
 
Nilikoswa koswa na forever living nikiwa first year boom tu lilichelewa na lilipokuja likawa na mambo mengi ndo ikawa pona yangu, sijakaa Sawa nikakoswa koswa na Qnet tena, hyo sasa ilikuwa ni best lucky from God mana nilijiandaa kuuza kiwanja daah, mpak Leo hzo mambo sitak hata kuzisikia
Mbona serikali inawasajili na wana operate kisheria? Mi wale jamaa wa mikocheni opposite na KFC walitaka kuniingiza cha kike thro my friend from Asia huwa najiuliza govt haijui?
 
Kunaa jamaa angu nusu aniingize king q net alinipa had crown nitest kumbe sio yake et mambo ya qnet leo hii anauza mifuko yaaan yule jamaa stamsahau
Mkuu unaweza kuelezea zaidi kuhusu Qnet? Kuna mtoto wa sister anawasumbua sana wazazi wake wajiunge na entrance fee ni 5m.

Baba ya mtoto(shemeji yangu) kaniuliza kama naijua na wanapataje pesa bahati mbaya sina ninalolijua kuhusu hiyo biashara. Wasiwasi wa shemeji yangu ni kwamba huo ni utapeli na mwanaye anashauriwa vibaya na kutumiwa na hao wenye biashara

Ajabu ni kwamba my sister anaelekea kuingia king maana ameanza ku side na mtoto kumshawishi baba yake wajaribu kum support binti aingie labda ni kweli kuna faida

Nilichokiona na kuwashauri ni kwamba hata wao wazazi hawajaelewa hiyo biashara inaendaje na watapataje faida? Kwahiyo wakikishe wanaelewa kwanza kabda ya kuingiza pesa yoyote huko
 
Mkuu unaweza kuelezea zaidi kuhusu Qnet? Kuna mtoto wa sister anawasumbua sana wazazi wake wajiunge na entrance fee ni 5m.

Baba ya mtoto(shemeji yangu) kaniuliza kama naijua na wanapataje pesa bahati mbaya sina ninalolijua kuhusu hiyo biashara. Wasiwasi wa shemeji yangu ni kwamba huo ni utapeli na mwanaye anashauriwa vibaya na kutumiwa na hao wenye biashara

Ajabu ni kwamba my sister anaelekea kuingia king maana ameanza ku side na mtoto kumshawishi baba yake wajaribu kum support binti aingie labda ni kweli kuna faida

Nilichokiona na kuwashauri ni kwamba hata wao wazazi hawajaelewa hiyo biashara inaendaje na watapataje faida? Kwahiyo wakikishe wanaelewa kwanza kabda ya kuingiza pesa yoyote huko
Hiyo ni kama chen hapo mtoto kakosa wa kumuunga ili nayeye aneemeke, hivyo anawatumia wazazi kama chambo wakijiunga tu yeye nae ataanza kupata kifuta jasho kupitia wazazi, shughuli inabaki kwa wazazi nao watafute watu wajiunge ili na wao waweze kupata kifuta jasho....
 
Hawa forever living mpaka leo sijawapatia kundi la kuwaweka, walimrubuni dada mmoja akajiunga nao na katika kutapatapa akataka aniweke na mimi ila inashindikana.

Akampata kijana mmoja akamlaghai kisha akamuunganisha kwa bahati mbaya zaidi huyo dada aliacha chuo akiwa mwaka wa pili na huyo kijana aliacha akiwa mwaka wa kwanza kwa lengo la kupanua wigo wa biashara nchi nzima wakati walikuwa wakijinasibu kuwa ni online business.

Ngoja nisiseme mengi ila Mungu awasaidie sana!
Nilikoswa koswa na forever living nikiwa first year boom tu lilichelewa na lilipokuja likawa na mambo mengi ndo ikawa pona yangu, sijakaa Sawa nikakoswa koswa na Qnet tena, hyo sasa ilikuwa ni best lucky from God mana nilijiandaa kuuza kiwanja daah, mpak Leo hzo mambo sitak hata kuzisikia
 
Back
Top Bottom