Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Habari, karibu ndugu msomaji Leo tutaangazia kwa uchache namna biashara za kuunganishana ( biashara za mitandaoni kama wanavyoziita wao)
Hizi sio zile zakuuza bidhaa online kama wafanyavyo Al-Baba, Amazon, E-bay au jumia Bali hizi nizamifumo ya kuunganishana na zitakuwa pyramid in shape yani nikijiunga Mimi nakushawishi na wewe unajiunga chini yangu.
Kwa baadhi ya nchi ni haziruhusiwi na niharamu, kama ilivyo kwa michezo ya kubahatisha, na hata matangazo yake hayaruhusiwi kutangazwa katika vitengo vya matangazo ya mitandao mikubwa kama Facebook ads na google AdWords.
Unachotakiwa kufanya nikujiunga na kisha kutafuta watu wakujiunga chini yako na Mara nyingi kiasi cha kujiunga huwa nikikubwa hadi kufikia 600,000+
Ukishajiunga unaanza kuhangaika kutafuta watu wakuwaunganisha na kuwadanganya kama ulivyo danganganywa. Simaanishi kuwa ni utapeli Bali ni mfumo mgumu na unaoumiza na unaendeshwa kwa uongo yani nilazima udanganye ili upate wafuasi mfano " nimejiunga Nina wiki mbili maisha yangu yamebadilika kabisa na hapo umevaa suti yakuazima na hujui Utakuta nini maana siwashachomoka na na Laki zako haha!
Sasa hawa jamaa wamejikita sana vyuoni na kuwasubiri wale mwaka wakwanza ili kuwaingiza mkenge na kuwaacha wakilia.
Ushawishi mkubwa hutumika kuwadanganya Bila kueleza wazi ugumu wa mfumo.
Watakwambia baada ya mwezi utanunua gari. Haha!
Na mengineyo mengi kukutamanisha. Ukisha jiunga sasa ndio utaanza kuonja joto yajiwe.
Wito kwa watanzania
Anayekushawishi kujiunga na kitu chochote mwambie akwambie madhara yake tuu faida utazipata kwa kutafuta taarifa zingine wewe mwenyewe.
Namshukuru sana padri simplis wa france, maana Mimi nilishawishiwa kidogo niingie mkenge lakini Huyu father alinieleza hii ni black market na anayefanikiwa ni yule wa mwanzo( jaribu kuchora pyramid utaelewa nachoeleza)
Wito kwa serikali.
Hizi biashara zinapaswa kuundiwa bodi ya udhibiti kama ilivyo betting Tena pengine yenye nguvu zaidi
Onyo Kwako usisikie maneno kuwa " Nina project nahitaji watu 20 wanafanya nao kazi hahaha! Au kuna project sijui ikishirikiana na nmb
Fanya real business utafanikiwa
Kwaheri
Share ujumbe kwa watu wako wanguvu.
Hizi sio zile zakuuza bidhaa online kama wafanyavyo Al-Baba, Amazon, E-bay au jumia Bali hizi nizamifumo ya kuunganishana na zitakuwa pyramid in shape yani nikijiunga Mimi nakushawishi na wewe unajiunga chini yangu.
Kwa baadhi ya nchi ni haziruhusiwi na niharamu, kama ilivyo kwa michezo ya kubahatisha, na hata matangazo yake hayaruhusiwi kutangazwa katika vitengo vya matangazo ya mitandao mikubwa kama Facebook ads na google AdWords.
Unachotakiwa kufanya nikujiunga na kisha kutafuta watu wakujiunga chini yako na Mara nyingi kiasi cha kujiunga huwa nikikubwa hadi kufikia 600,000+
Ukishajiunga unaanza kuhangaika kutafuta watu wakuwaunganisha na kuwadanganya kama ulivyo danganganywa. Simaanishi kuwa ni utapeli Bali ni mfumo mgumu na unaoumiza na unaendeshwa kwa uongo yani nilazima udanganye ili upate wafuasi mfano " nimejiunga Nina wiki mbili maisha yangu yamebadilika kabisa na hapo umevaa suti yakuazima na hujui Utakuta nini maana siwashachomoka na na Laki zako haha!
Sasa hawa jamaa wamejikita sana vyuoni na kuwasubiri wale mwaka wakwanza ili kuwaingiza mkenge na kuwaacha wakilia.
Ushawishi mkubwa hutumika kuwadanganya Bila kueleza wazi ugumu wa mfumo.
Watakwambia baada ya mwezi utanunua gari. Haha!
Na mengineyo mengi kukutamanisha. Ukisha jiunga sasa ndio utaanza kuonja joto yajiwe.
Wito kwa watanzania
Anayekushawishi kujiunga na kitu chochote mwambie akwambie madhara yake tuu faida utazipata kwa kutafuta taarifa zingine wewe mwenyewe.
Namshukuru sana padri simplis wa france, maana Mimi nilishawishiwa kidogo niingie mkenge lakini Huyu father alinieleza hii ni black market na anayefanikiwa ni yule wa mwanzo( jaribu kuchora pyramid utaelewa nachoeleza)
Wito kwa serikali.
Hizi biashara zinapaswa kuundiwa bodi ya udhibiti kama ilivyo betting Tena pengine yenye nguvu zaidi
Onyo Kwako usisikie maneno kuwa " Nina project nahitaji watu 20 wanafanya nao kazi hahaha! Au kuna project sijui ikishirikiana na nmb
Fanya real business utafanikiwa
Kwaheri
Share ujumbe kwa watu wako wanguvu.