Biashara za Mo ngumu mpaka ameamua kuwa wakala wa bidhaa za wenzake sasa

Biashara za Mo ngumu mpaka ameamua kuwa wakala wa bidhaa za wenzake sasa

Bidhaa fake na za kiwango cha chini ndicho kinachomuangusha.
Mo B29 c&p from original 29
Mo match box c&p from Tinga
Mo ni kama mchina anakopi adidas anaandika addadis
images-4.jpeg
 
Ukiacha Mo extra ni bidhaa gani inafanya vizuri sokoni kwa sasa? Baada ya hali kuwa ngumu ameamua kuwa wakala wa....
1. Boxer, bajaji
2. Betri
3. Nyembe za Dorcco.
Kinachosikitisha zaidi huenda uwakilishi wake kwenye bidhaa hizo pia ukawa mgumu, kama ubora utabadilishwa.

My take. mo ajiri wabunifu na utengeneze bidhaa bora mbona soko lipo? Achana na mambo ya kuiga iga.
Wewe ni mbumbumbu wa Biashara, kaa kimya ufundishwe.

Kuwa na royalty au franchise au wengine huita exclusive dealer kwa makampuni au bidhaa zinzozalishwa na wengine ni fursa kubwa sana kibiashara.

Kwa mfano MoDewji ni wakala wa Boxer motorcycles kwa nchi zaidi ya 20 zilizopo kusini mwa jangwa la Sahara.

Ila wew unamuona kama kashindwa biashara. Pole mburura
 
Mo anahitaji kuboresha mbinu zake ili aweze kushindana vyema sokoni. Kila bidhaa unayozungumzia (Boxer, bajaji, betri, nyembe za Dorcco) ina soko lake, lakini kama ubora utaathirika, hiyo itawaathiri wateja na mauzo.


Kama unavyosema, ufahamu wa soko na ufanisi wa bidhaa ni muhimu sana. Kujenga timu ya wabunifu na kutengeneza bidhaa bora kutasaidia sana katika kubaki na ushindani. Mambo ya kuiga yanaweza kuwa na faida ya muda mfupi, lakini katika soko la sasa lenye ushindani mkubwa, ubora ni kila kitu.


Ni wazo zuri kwa Mo kujielekeza kwenye ubunifu ili kutengeneza bidhaa zinazovutia na ambazo zinaendana na mahitaji halisi ya soko.
Asante sana kwa kuongezea
 
Una kiwanda hata cha sabuni? Au unasubiria kununuliwa sabuni ukaogea maji ya chumvi ikadunda hasira zikamrudia Mo...
 
Ukiacha Mo extra ni bidhaa gani inafanya vizuri sokoni kwa sasa? Baada ya hali kuwa ngumu ameamua kuwa wakala wa....
1. Boxer, bajaji
2. Betri
3. Nyembe za Dorcco.
Kinachosikitisha zaidi huenda uwakilishi wake kwenye bidhaa hizo pia ukawa mgumu, kama ubora utabadilishwa.

My take. mo ajiri wabunifu na utengeneze bidhaa bora mbona soko lipo? Achana na mambo ya kuiga iga.
Sema tu jamaa ni mjanja mjanja sana. Ni mtumiaji mzuri wa fursa ya kununua mashamba ya zamani ya serikali/wananchi mfano mashamba ya mkonge na chai, halafu anaenda kuyakopea mkopo mkubwa benki! Na pesa inapelekwa sehemu nyingine, badala ya kuyaendeleza hayo mashamba.
 
Sawa vitu vyake fake blah blah je wewe unaweza fanya kama yeye kutengeneza Ivo vitu feki na kuziweka sokoni na kushawishi watanzania na nchi za jiran zinazotumia biadhaa zake?

Mjini ni shule Kila kitu ni fursa kiwe fake ama original
 
Back
Top Bottom