Biashara zinazolipa mipakani Tanzania na Zambia

Biashara zinazolipa mipakani Tanzania na Zambia

Jinsi ya kusafirisha Karanga kutoka Mkoa wa Mbeya tumia posta wao tani moja ni Tsh 70,000 mpaka Dodoma kutoka pale kwenda Arusha ni pua na mdomo magari mengi mwanzo ilikua mpaka Arusha ni bei hiyo hiyo ila wamefuta safari ya kupeleka mizigo Mbeya mpaka Arusha...hiyo kazi ukiifanya kwa muda mrefu utapata kitu ukiweza unaweza kwenda kuuzia hapo hapo Arusha maeneo ya maduka ya Ndovu ukiwa na kiasi kidogo...faida utaipata kwenye kukimbia kwako sasa hivi zipo bus za usiku unauza mchana usiku safari kwenda Mbeya Ileje huko...
 
Nenda Isongole ipo ileje pale wanauza mazao mengi kutoka Malawi na hasa mnada wao upo Ijumaa kama ntakua sijasahau unaweza kuchukua Karanga pale na kwenda kuuza mpakani na Kenya wowote watanunua ukiweza unapeleka Nairobi na pia hapo Isongole nyuma kidogo panaitwa Ikumbilo nadhani pana Njia ya kwenda Malawi ukivuka kule wanauza hizo karanga kwa bei ya kutupa hasa hiki kipindi cha msimu sasa hivi kule hakuna sana mahindi maana mvua hawajapata kama Tanzania kwa hiyo unaweza kutoa maharage na Karanga na bei ya karanga Arusha kuelekea Nairobi ipo juu sana sema inatakiwa uzijue karanga zenyewe hasa zile nyekundu kubwa na ziwe safi naamini ukifanya kwa muda fulani utapata uzoefu ila usinunulie Karanga mbozi huko nenda Ileje...

Bado changamoto ni uuzaji kupata hiyo connection ila nitajitahidi kadri ya uwezo wangu
 
Nashukuru sana mkuu ubarikiwe sana
Usifanye biashara haramu mpakani TRA wakikukamata utadhani umerogwa kumbe wewe mwenyewe ulikua na tamaa na ulikua hauna code zao ukiwa na hela kidogo lipa vitu vyote vya Serikali hela utapata kidogo kidogo kuliko ukikutana na TRA harafu hela yenyewe ndio hiyo hiyo wahuni wanaichukua wanakulipisha fine kubwa unarudi kijijini kusimulia mambo ya mjini...
Wanaozungusha ujanja ujanja wana hela nyingi harafu wana Connection mimi nimekulia Mbeya naijua vizuri Tunduma na Kasumulu ila nanyooka ukipinda wanakula kichwa trip ingine sio hiyo utakua unarudi nyuma kila wakati na kukata tamaa...
 
Jinsi ya kusafirisha Karanga kutoka Mkoa wa Mbeya tumia posta wao tani moja ni Tsh 70,000 mpaka Dodoma kutoka pale kwenda Arusha ni pua na mdomo magari mengi mwanzo ilikua mpaka Arusha ni bei hiyo hiyo ila wamefuta safari ya kupeleka mizigo Mbeya mpaka Arusha...hiyo kazi ukiifanya kwa muda mrefu utapata kitu ukiweza unaweza kwenda kuuzia hapo hapo Arusha maeneo ya maduka ya Ndovu ukiwa na kiasi kidogo...faida utaipata kwenye kukimbia kwako sasa hivi zipo bus za usiku unauza mchana usiku safari kwenda Mbeya Ileje huko...

Kuhusu usafirishaji hapa kweli ni changamoto sana najaribu kutafuta njia nzuri inayo punguza costs lkn hii njia ya posta naona iko vizuri
 
Kuhusu usafirishaji hapa kweli ni changamoto sana najaribu kutafuta njia nzuri inayo punguza costs lkn hii njia ya posta naona iko vizuri
Hautasumbuka hapo Uyole, Mbeya wapo pia wasafirishaji wa Fusso ila uweke alama vizuri za mzigo wako na Mafiati hapo unachukua tani moja ambayo ni 1000 Kg kule wanauza kwa debe utapima utajua ununue kiasi gani Karanga Nyekundu kwa kaskazini ni kama madawa yao ya kulevya hata bei tofauti ni kubwa sana nakwambia kitu nilichokifanya sio kwamba nimehadithiwa...jinsi ya kuuza unaenda madukani moja kwa moja sio kwa madarali unawapa bei wanakwambia uwape Kg ngapi ila usimkopeshe mtu uza mali yako kwa kulipana na kuacha Mali sio uanze kuwadai na huku ni mgeni itakua tatizo kama haujapata mteja sahihi..
 
Mipakani nimefanya kazi za vibarua kama kuli lkn pia nilikuwa napewa kazi za kusimamia ufaulishaji wa mizigo kwenye hii sector ya mazao,, sasa mm nataka nifanye biashara hiyo hiyo ya mazao
Ukienda ile barabara ya Sumbawanga humo njiani kuna vijiji kama Momba unaweza kwenda kujumua mazao mpunga, mahindi, maharage n.k ukaenda ukauza Tunduma, ukayasafirisha maeneo mengine kama Dar au ukayavusha boda

Mwezi wa Januari mwaka huu Malawi walikuwa wana uhitaji mkubwa sana wa chakula hasa mahindi. Jaribu kucheki kama bado soko lipo
 
Wakubwa ni habari za wakati huu...

Naombeni ufafanuzi wa biashara au fursa za biashara zilizopo maeneo ya mipakani mwenye utaaramu au amewahi kufanya biashara yoyote maeneo ya mipakani tafadhali tuelimishane kama kuna tahadhari zozote au kuna points muhimu za kuzifahamu naomba tufamishane.

Mimi binafsi napenda sana kufanya biashara ya bidhaa ambayo sikai nayo kwa muda mrefu yani napenda kufaulisha bidhaa maeneo ya mipakani lakini nashindwa namna ya kutengeneza mtandao mzuri kwa kifupi nashindwa sehemu ya kuanzia, nimefanya kazi kama kibarua ndipo nilipo pata A.B.C.. lakini sasa natamani nifanye biashara yangu lakini huko mipakani, aliyenielewa vyema naomba anisaidie tafadhali [emoji120]
Boda ya mipango hiyo
 
Daktari shida ya hapa utoe code udakwe ndugu? Japo pia hazitolewi maana wengi ni wazuri mdomoni kusikiliza ila hawaingii infront kuzipambania fursa.

Mkuu hizo fursa nimejaribu kuzisaka lkn mafanikio ni madg san ndio maana nimeomba support huku JF hata ya mawazo sababu nafahamu huku ni sehemu sahihi sana kwa kupata A.B.C..D za maisha
 
Ukienda ile barabara ya Sumbawanga humo njiani kuna vijiji kama Momba unaweza kwenda kujumua mazao mpunga, mahindi, maharage n.k ukaenda ukauza Tunduma, ukayasafirisha maeneo mengine kama Dar au ukayavusha boda

Mwezi wa Januari mwaka huu Malawi walikuwa wana uhitaji mkubwa sana wa chakula hasa mahindi. Jaribu kucheki kama bado soko lipo

Nashukuru sana kiongozi ushauri wako nitaufanyia kazi hata kule momba nimefika hadi kule kilyamatundu niliweza kuona fursa ya biashara ya ng'ombe inavo kwenda ilinipa shida kuanza hiyo kazi nilipewa vitisho kuhusu protocols za serikali hadi kufanikisha hilo but nitajaribu hiyo ya mpunga
 
Ukienda ile barabara ya Sumbawanga humo njiani kuna vijiji kama Momba unaweza kwenda kujumua mazao mpunga, mahindi, maharage n.k ukaenda ukauza Tunduma, ukayasafirisha maeneo mengine kama Dar au ukayavusha boda

Mwezi wa Januari mwaka huu Malawi walikuwa wana uhitaji mkubwa sana wa chakula hasa mahindi. Jaribu kucheki kama bado soko lipo

Nashukuru sana kiongozi ushauri wako nitaufanyia kazi hata kule momba nimefika hadi kule kilyamatundu niliweza kuona fursa ya biashara ya ng'ombe inavo kwenda ilinipa shida kuanza hiyo kazi nilipewa vitisho kuhusu protocols za serikali hadi kufanikisha hilo but nitajaribu hiyo ya
 
Biashara gani unataka kufanya? N

Kwa kifupi sipendi biashara ya kukaa eneo moja na kuanza kuuza napenda kufanya biashara ya mazao ya kuchukua sehemu na kupeleka sehemu yan kuuza kwa jumla,, japo ni biashara ambayo inahitaji utafiti sana kulingana na soko ndio maana natamani nipate mawazo toka kwenu wadau
 
Hautasumbuka hapo Uyole, Mbeya wapo pia wasafirishaji wa Fusso ila uweke alama vizuri za mzigo wako na Mafiati hapo unachukua tani moja ambayo ni 1000 Kg kule wanauza kwa debe utapima utajua ununue kiasi gani Karanga Nyekundu kwa kaskazini ni kama madawa yao ya kulevya hata bei tofauti ni kubwa sana nakwambia kitu nilichokifanya sio kwamba nimehadithiwa...jinsi ya kuuza unaenda madukani moja kwa moja sio kwa madarali unawapa bei wanakwambia uwape Kg ngapi ila usimkopeshe mtu uza mali yako kwa kulipana na kuacha Mali sio uanze kuwadai na huku ni mgeni itakua tatizo kama haujapata mteja sahihi..

Nashukuru mkuu soon nitaanza process kwa huu mwangaza wako kuna mzee mmoja yeye alikuwa anazipeleka pale Dodoma cjui kama soko lake ni zuri,,
 
Back
Top Bottom