Bibi aliyetunza bikra yake kwa miaka 123

Chanda chema huvikwa peteπŸ‘
 

Hakuna binadamu amewahi fikisha miaka 125 kwa uhakika. Tatizo la Waafrica hawajui umri wao hasa wazee
 
She must be abnormal at some circumstances, huyo lazima atakuwa Ana kasoro fulani kwenye mwili wake ambazo hataki kuzielezea na ndo zimemfanya awe hivyo mpaka leo hii.

Btw, tutajuaje Kama kweli Ni bikra???
Nenda kajaribu kumpelekea moto tuone kama ni bikra au la
 
Imesaidia nini huyo bibi kutunza bikra yake miaka yote hiyo?
Imemsaidia kuepuka zinaa ambayo ni chukizo kwa Mungu. Hekalu lake liko safi kabisa bwana Yesu anaweza akakaa ndani yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…