Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanda chema huvikwa pete👏Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 123, Theresia Nyirakajumba, kutoka Nchini Rwanda, amesema toka azaliwe hajawahi kuguswa na mwanaume yeyote, na sasa yupo na tumaini kuwa atampata mwanaume sahihi na ambaye atakuwa tayari kuwa naye maishani.
Ni kweli kuwa kwa sasa wanawake wenye bikra wanahesabika? Kwanini?
Upwiru wa miaka 123 sio mchezo,au ndo kusema ana disorder flan!!🤔 maana kuna wale watu ambao hawako attracted to any sex yan wanaishi tu,Unakuta mtu ana mwaka kabisa hajaonja kitu.
Wale wazee ninawaomba mtafute maconnection huyu bibi mumtoe huo ubikra haraka iwezekanavyo.View attachment 2646658
#eastafrica Radio
yako umeitunza kwa miaka mingapi na unategemea itoke liniWeee😂😂
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 123, Theresia Nyirakajumba, kutoka Nchini Rwanda, amesema toka azaliwe hajawahi kuguswa na mwanaume yeyote, na sasa yupo na tumaini kuwa atampata mwanaume sahihi na ambaye atakuwa tayari kuwa naye maishani.
Ni kweli kuwa kwa sasa wanawake wenye bikra wanahesabika? Kwanini?
Upwiru wa miaka 123 sio mchezo,au ndo kusema ana disorder flan!!🤔 maana kuna wale watu ambao hawako attracted to any sex yan wanaishi tu,Unakuta mtu ana mwaka kabisa hajaonja kitu.
Wale wazee ninawaomba mtafute maconnection huyu bibi mumtoe huo ubikra haraka iwezekanavyo.View attachment 2646658
#eastafrica Radio
hahaha😃😃😂😂😂Hawa wa kisasa balehe inawakuta hawana bikra
Ipi hiyo🤣🤣🤣yako umeitunza kwa miaka mingapi na unategemea itoke lini
Ipi hiyo
🤣🤣hiyo hiyoo kwani kuna ingine tena 😅😅😅
Nenda kajaribu kumpelekea moto tuone kama ni bikra au laShe must be abnormal at some circumstances, huyo lazima atakuwa Ana kasoro fulani kwenye mwili wake ambazo hataki kuzielezea na ndo zimemfanya awe hivyo mpaka leo hii.
Btw, tutajuaje Kama kweli Ni bikra???
mbona kama sikuamini 😂kwahiyo bibi anataka kutuambia nini sisi mabikra😌😊
kwanini huniamini 😃😃mbona kama sikuamini 😂
Imesaidia nini huyo bibi kutunza bikra yake miaka yote hiyo?Mabinti wa sikuhizi hawawezi kutunza bikra hata week!!
Imemsaidia kuepuka zinaa ambayo ni chukizo kwa Mungu. Hekalu lake liko safi kabisa bwana Yesu anaweza akakaa ndani yake!Imesaidia nini huyo bibi kutunza bikra yake miaka yote hiyo?
Motoni unakaa VIP[emoji16]Kachoka hivyo gegedo moja si atazimia?