Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo ni Zawadi usiwe na mawazo ya Tandale kwa mtoghole ya kuwa angemjengea nyumba kwanzaHapo mjukuu ameona amefanya la maana sana
Hayo ni mawazo yako wala siyo yangu. Nani kasema huyo bb anaishi anaishi porini? Hoja yangu ni ya kiafya zaidi maana hicho kinywaji kina percent kubwa ya alcohol the lowest ni 40 perc. Sasa inafikiri maini ya bibi yatakuwa kwenye hali gn?hiyo ni Zawadi usiwe na mawazo ya Tandale kwa mtoghole ya kuwa angemjengea nyumba kwanza
NYUMBA yako ya MILELE ni kaburi
wakati upo HAI furahia vya dunia na vilivyomo
kilevi kinaondoa UJINGA ndio mana bibi hapo yuko timamuHayo ni mawazo yako wala siyo yangu. Nani kasema huyo bb anaishi anaishi porini? Hoja yangu ni ya kiafya zaidi maana hicho kinywaji kina percent kubwa ya alcohol the lowest ni 40 perc. Sasa inafikiri maini ya bibi yatakuwa kwenye hali gn?
Sasa huyu bibi ana 80+ hata hayo maini mpaka yaoze labda anywe Remmy Martin kwa siku 10 mfululizo jambo amabalo haliwezekani.Hayo ni mawazo yako wala siyo yangu. Nani kasema huyo bb anaishi anaishi porini? Hoja yangu ni ya kiafya zaidi maana hicho kinywaji kina percent kubwa ya alcohol the lowest ni 40 perc. Sasa inafikiri maini ya bibi yatakuwa kwenye hali gn?
Watakwambia sasa unataka huyo bibi maini yake yawe mazima kwani anamringishia nani wakati umri umeshamtupa mkono [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]Hayo ni mawazo yako wala siyo yangu. Nani kasema huyo bb anaishi anaishi porini? Hoja yangu ni ya kiafya zaidi maana hicho kinywaji kina percent kubwa ya alcohol the lowest ni 40 perc. Sasa inafikiri maini ya bibi yatakuwa kwenye hali gn?
Kwani amebakiza nini huyo bibi?au walikwambia akifa wanaenda kukagiliwa main? Ni wivuHayo ni mawazo yako wala siyo yangu. Nani kasema huyo bb anaishi anaishi porini? Hoja yangu ni ya kiafya zaidi maana hicho kinywaji kina percent kubwa ya alcohol the lowest ni 40 perc. Sasa inafikiri maini ya bibi yatakuwa kwenye hali gn?
Ungemalizia tu 😁😁UnyamweziDaah mjukuu anaona amefanya unyama😎
Ndio kafanya la maana, sababu yeye ndio anajua mahitaji ya bibi. Kufanya bibi afurahi ni muhimu zaidi.Hapo mjukuu ameona amefanya la maana sana