Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
babu yupo au hayupo??Habari za usiku wanajf, bibi yangu miaka 87 anapoteza kumbukumbu, anaongea mwenyewe, pia vitu vimetokea zamani anasema vimetokea jana. Atumie dawa ghani
Hayo ni matatizo ya uzee mana hata bibi yangu mm nae ananibishiaga mambo ambayo kaongea mwenyewe. Geriatrics sijajua kama ni tasnia kubwa kibongo bongo, mpeleke psychiatryHabari za usiku wanajf, bibi yangu miaka 87 anapoteza kumbukumbu, anaongea mwenyewe, pia vitu vimetokea zamani anasema vimetokea jana. Atumie dawa ghani
Hakuna dawa ya moja kwa moja ambayo mtu anaweza kutumia bila ushauri wa daktari, lakini baadhi ya dawa zinazoweza kusaidia kudhibiti dalili za kupoteza kumbukumbu (kama vile donepezil, rivastigmine, au memantine).Habari za usiku wanajf, bibi yangu miaka 87 anapoteza kumbukumbu, anaongea mwenyewe, pia vitu vimetokea zamani anasema vimetokea jana. Atumie dawa ghani
Unamaanisha hata mimi nitakufa?Hata wazee wakizungu wanalelewa tu na wanapewa dawa kama wakiumwa
Ila msimshangae ni kawaida kwa binadamu tukizeeka ingawa sio wote
Wengi hufa na fahamu zao kabisa
Msaidieni sana
Hospitali ni muhimu watampimaSi kuna maradhi ya Dementia na Alzheimers nayaonaga kwa wazungu walioenda age kimtindo ama? Huyo ni umri tu, madawa mkimpa mtakua mnamjazia sumu tu ila kama mnapendelea mumpeleke huko sipitali mkajue shida ni nini.
Mpeni ganja. Mfanyieni mboga ale na chakula na anywe supu yake.Habari za usiku wanajf,
Bibi yangu miaka 87 anapoteza kumbukumbu, anaongea mwenyewe.
Pia vitu vimetokea zamani anasema vimetokea jana.
Atumie dawa gani
Katika umri huo ni sahihi kabisaHabari za usiku wanajf,
Bibi yangu miaka 87 anapoteza kumbukumbu, anaongea mwenyewe.
Pia vitu vimetokea zamani anasema vimetokea jana.
Atumie dawa gani
120Wastani wa umri wa binadamu kuishi ni miaka mingapi?
Unajua vzr maana ya wastani?
ultaka niandike 70 si ndio,,hapo vipUnajua vzr maana ya wastani?