Ndo ivyo mkuu mbona uko Dunia ya kwanza kawaida tu.Kwamba huyo Quran alikuwa anafanya kazi mwaka 2012 akiwa na miaka 15?
Kama kawaida waafrika kwa kudanganya umri [emoji3][emoji3].Bibi Cheryl McGregor mwenye miaka 61, watoto 7 na wajukuu 17 anapanga kupata mtoto mwingine kwa njia mbadala ya kupandikiza (surrogacy pregnacy) na mume wake Quran McCain mwenye miaka 24.
Wawili hao wanasema wamejaribu kutafuta mtoto kwa njia ya kawaida hawajafanikiwa hivyo wanaangalia mwanamke atakayekuwa tayari kufanya hivyo waingie mkataba kwenye suala hilo.
Pia wanasema familia yao inawasapoti kwa kiasi kikubwa katika uamuzi wao huo wa kutaka kuwa na mtoto.
Chery na Quran walikutana mwaka 2012 wakati wanafanyakazi pamoja na wamepishana miaka 37.View attachment 2086051
Hii story ni chai, ktk picha hapo huyo wa kiume ni daktari kule marekani pamoja na mchumba wake (ambae kwa sasa ni marehem) alifariki akiwa ktk honeymoon... Huyo bibi alikua milionea haswa and of course age difference yao ni zaidi ya miaka 30Bibi Cheryl McGregor mwenye miaka 61, watoto 7 na wajukuu 17 anapanga kupata mtoto mwingine kwa njia mbadala ya kupandikiza (surrogacy pregnacy) na mume wake Quran McCain mwenye miaka 24.
Wawili hao wanasema wamejaribu kutafuta mtoto kwa njia ya kawaida hawajafanikiwa hivyo wanaangalia mwanamke atakayekuwa tayari kufanya hivyo waingie mkataba kwenye suala hilo.
Pia wanasema familia yao inawasapoti kwa kiasi kikubwa katika uamuzi wao huo wa kutaka kuwa na mtoto.
Chery na Quran walikutana mwaka 2012 wakati wanafanyakazi pamoja na wamepishana miaka 37.View attachment 2086051
sasa jee wenzetu huwa wanawahi sana kula maisha
yote yote mzee utakulaje maisha kama huna hela hata za urithi mzee labda ukubal kuolewa [emoji848][emoji848]
History pamoja na Sura ya huyo jamaa vinajieleza.wewe ndiye unamuongezea sasa
Namvutia picha huyo bibi jinsi anavyopiga blowjob na vile hana meno[emoji39][emoji39][emoji39]Same story same thinking capacity