Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,265
Shetani kajificha kwenye vizazi, wadada tuombe mungu ili mnafunga ndoa na ijibu kabla hujawa na msongo wa mawazo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kweli kweliI hope mtoto atakuwa ni wa ndoa!
<br />
<br />
Saa zingine tunayataka wenyewe......kukamata ujauzito kabla ya ndoa na mtu huyo huyo utashangaa eti atafanyiwa kicheni pati na send-off na bridal shower prior the big wedding in a white gown.....damn!! tumepoteeza kabisa maadili.
Zaa kwanza then ubariki hiyo ndoa wala sio kufunga tena maana mpaka mmeshapata mtoto ni zaidi ya uchumba