Jamani wana jamvi kuna hili limetokea ,bibi harusi amefumaniwa gest ndani ya room tena akiwa amevua shela{gauni la harusi} baada ya kutoroka saloon akiwa anarembwa kwa ajili ya harusi na kwenda kumuaga mpenziwe wa zamani kwa mahaba,
kwa bahati mbaya au nzuri mmoja wahudumu wa gest husika alikua anamjua bi harusi huyo kwani na yeye alitarajia kuhudhuria hio harusi ndipo akatoa taarifa kwa ndugu wa bi harusi kwa kua hakufurahishwa na hilo, kwa hio watu wachache upande wa bi harusi na mmewe mtarajiwa ndo wamejua hilo tukio,mme yuko njia panda kwani maandalizi yote yalishakamilika na hata ndugu wa mbali washafika kwajili ya harusi.
Tumshauri bwana harusi afanyeje au achukue uamuzi gani kuhusu harusi?
kwa bahati mbaya au nzuri mmoja wahudumu wa gest husika alikua anamjua bi harusi huyo kwani na yeye alitarajia kuhudhuria hio harusi ndipo akatoa taarifa kwa ndugu wa bi harusi kwa kua hakufurahishwa na hilo, kwa hio watu wachache upande wa bi harusi na mmewe mtarajiwa ndo wamejua hilo tukio,mme yuko njia panda kwani maandalizi yote yalishakamilika na hata ndugu wa mbali washafika kwajili ya harusi.
Tumshauri bwana harusi afanyeje au achukue uamuzi gani kuhusu harusi?