Bibi harusi atoroka saloon na kwenda kumuaga mpenziwe wa zamani kwa mahaba


dier,
kwa mimi njuavyo hio point no.2 inaukweli ila hizo nyingine labda nikafatilie zaidi ili nijue ila kwa upande wa uraia wote na watanzania na bwana harusi ana kazi nzuri tu yenye kipato so sio tegemezi ,pia b.harusi anakazi.
 

ndoa ilikua bado ndomani kama ukisoma hio habari vizuri utaona imeelezwa kua mkewe mtarajiwa so nakuomba usome vizuri.
 
yanahitajika maamuzi ya haraka na bwana harusi yuko katika hali ya mshtuko,mchango wako tafadhali.

Anashtuka nini sasa kwani yeye ndio alimtoa bikra?inatakiwa ashukuru kwa kulijua hilo mapem.
 
Sasa mkuu unataka ushauri upi........kama ni kweli hii habari labda mungu amejibu sala za bwana harusi kuhusu mke mwema, Pia kama jamaa akioa labda ni kweli kila mwanamke atapata mume anayemfaa.

Muhimu ni hao maharusi kusikiliza sauti za mioyoni mwao.

NB: Mbona hujibu swali la TB
 
Anashtuka nini sasa kwani yeye ndio alimtoa bikra?inatakiwa ashukuru kwa kulijua hilo mapem.

hilo nalo neno, ahsante kwa ushauri wako ,utafikishwa sehemu husika.
 
Asee hakuna haja ya
kujifikiria tupa huko
wanawake tupo chungumzima hatuna
wa kutuwowa
kwa maisha yapi haswa
ya kukubali upuuzi huo
wakt ni hatari tupu?
Hata vipomo vya ukimwi hakuna af
ntu achezee life yako
ufe hivihivi shenz
 

Dadangu ashadii nakuunga mkono. kwa kuongezea, najua bi harusi anapoenda salun haendi peke yake, anasindikizwa na ndogowe au wifiye au matron wake au wote hao, na mara nyingine wale maids wa harusi. so this story is obviously fake or imaginary.
 

pitia vizuri thread nimejitahi kua makini kwa kujibu maswali yote kwa kadri yatukio lenyewe lilivyo.
Pili, nadhan inawezekana bwa. harusi akawa amejibiwa mapema,
je wadhani b.harusi hana nafasi ya kusamehewa tena?
 
hapana jamani habar ni ya kweli, nakushauri usingoje mpaka yakukute wewe au ndugu yako ndo uamini, binadamu wana mengi,human bebaviour is very complex si rahisi kuijua.

Yani huyo mwanamke hata awe kahaba sug hawezi kufanya ujinga kama huo alafu jinsi usivyoweza kufanya connection ya matukio haiwezekani ndoa iwe inafungwa saa7 or 9 alafu bbie afumwe then bwanaharusi awe anangojea ushauri kutoka kwetu sasa kanisani mchungaji naye anamsubiri tu?
Nyie ndo mnatupikia mpaka research
 
Dadangu ashadii nakuunga mkono. kwa kuongezea, najua bi harusi anapoenda salun haendi peke yake, anasindikizwa na ndogowe au wifiye au matron wake au wote hao, na mara nyingine wale maids wa harusi. so this story is obviously fake or imaginary.

kama nlivomjibu mmoja wa wana jf ni kwamba aliomba kwenda kujisaidia na saluni haikua na toilet na kwajirani kuna gest so alienda toilet ya gest na inavoonyesha b.harusi anaijua vizuri hio saluni na mazingira yaloizunguka.
 

yani tukio limechanganya mno nakuleta gumzo yani kwatarifa zilizopo sasa ni kwamba ndoa haikufungwa tena na mume mtarajiwa haja sema chochote mpaka sasa kama kasamehe wajipange upya au ndo kamwacha bado hajatoa maamuzi yupo kimnya nyumbani kwake.
 
Asee hakuna haja ya
kujifikiria tupa huko
wanawake tupo chungumzima hatuna
wa kutuwowa
kwa maisha yapi haswa
ya kukubali upuuzi huo
wakt ni hatari tupu?
Hata vipomo vya ukimwi hakuna af
ntu achezee life yako
ufe hivihivi shenz

ndio wadada wapo wengi ambao hawaja olewa mi nadhani tatizo nikujua yupi hatakua na balaa coz kama hao walipendana sana mpaka bw.harusi akaridhika kutangaza ndoa afu ndo yakatokea hayo so atajihakikishia vipi kua akimpata mwingine atakua salama?
 
yani tukio limechanganya mno nakuleta gumzo yani kwatarifa zilizopo sasa ni kwamba ndoa haikufungwa tena na mume mtarajiwa haja sema chochote mpaka sasa kama kasamehe wajipange upya au ndo kamwacha bado hajatoa maamuzi yupo kimnya nyumbani kwake.

Ngojea tuendelee kuvumilia kucheki muvi za kanumba na ray.
 
Acha kudanganya watu harusi gani inafungwa usiku huu? Mbona bado uko jf unajibu thread?
 

Dawa iko wazi ni kuachana naye. Afanye mambo mengi ya maana. Atafute msichana ingawa amepoteza pesa zake.
 
old z gold huh.
cha mwisho mwisho jaman teh.
 
too fictional hii....
hebu sema harusi ilikuwa ifungwe kanisa lipi?
na mchungaji yupi?
ukumbi upi mmekodi kwa sherehe???????
Is is of a bad taste to make us discuss an imaginary situation...I agree with you Boss this is made out of "the mill and boom"
 
aliendaje msalani na gauni? Haiwezekani kwenda peke yake lazima asaidiwe, kawaida gauni huwa zito,na lisipokuwa zito urefu wake lingeburuzika,lazima aende na mtu.

Hizi tantalila tu!

 
Ahsanteni sana kwa michango yenu nyote mlochangia {ndo twatoka kwenye kikao cha tathmini na maamuzi kwa yaliyotokea}.
ingawaje wengi hamkutaka kuamini yalotokea mkidhani ni hadithi tu, sina namna yakuwafanya muamini hilo labda siku mkikutana na hayo ndo mtajakumbuka{ingawaje siwaombei yawakute coz inaumiza sana} kwani haya yanatokea humuhumu duniani kama ilivotokea kwa huyu ndugu yetu, ni vema mjue watu wameharibika kimaadili naamini mifano mnayo mingi katika hili, ni vema tuache masihara katika mambo yanayo hitaji msaada wb haraka kama haya.

MWISHO; pamoja na mengi yalo jadiliwa na kufanyiwa maamuzi,bwana harusi naye ameamua kumsahau{kumwacha} kabisa mpenziwe,
upande wa b.harusi kutakapo kucha tu nduguze wameamua akaishi mkoa mwingine kwa mama mdogo wake, hivyo bw.harusi apumzike apate mwelekeo mpya.
Niwashukuru tena wana jf kama, "flora msoffe, Navoyne,AshaDii,Kichomiz, Obsesd na wengineo kwa michango yenu na Mbarikiwe sana!

Kheri ya mwaka mpya!
 
Hii habari mbona imekaa kama ya kidaku? kwa uelewa wangu bibi harusi siku ya harusi wala hapati muda wa kwenda hata kununua vocha. kila kitu anafanyiwa. issue ya kutoroka na shela na gauni la harusi nimelipinga, matron alikuwa wapi na je wote waliombatana nae walikuwa wapi? au utuambie hiyo saluni iko ndani ya hiyo guest.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…