Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Aisee wapumzike kwa amani, usafiri binafsi kwa kwenda mkoa mmoja mpaka mwingine ni hatari, na tena mkiwa familia,, hamna uzoefu wa barabara ni vema ukakodi dereva au tumia usafiri wa umma ni salama na nafuu sana pamoja na kuwa ajali zipo ila ina nafuu walau uhakika wa kupona baadhi ya wanafamilia upo,