FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Hayo ni maneno ya msaidizi wangu wa nyumbani aka hg.
Nikamuuliza kwanini?
"Aaah bibi si nilimchagua Lowassa".
Kwanini?
"Niliona kama kaonewa na CCM".
Sasa nikusameh kwanini na hiyo ni haki yako kumchagua unaemuona anafaa?
"Bibi sasa nimejionea kwa macho yangu kuwa Magufuli ni bora sana zaidi ya Lowassa na sasa nimeamini CCM hawajamuonea".
Kwanini?
"Bibi wewe wacha tu, nilivyomuona anaongea kwa uchungu Muhimbili nikajuwa huyu kweli anatujali, babu Lowassa hata alivyokuwa akiongea haoneshi kama anajali au hajali.
"Bibi naweza kwenda kufuta kura yangu nimpe Magufuli?"
Mie nikaangua kicheko nikaanza kumuimbia; "CCM mbele kwa mbele".
Hayo ni kwa uchache yaliyojiri leo jioni nyumbani kwangu.
Nikamuuliza kwanini?
"Aaah bibi si nilimchagua Lowassa".
Kwanini?
"Niliona kama kaonewa na CCM".
Sasa nikusameh kwanini na hiyo ni haki yako kumchagua unaemuona anafaa?
"Bibi sasa nimejionea kwa macho yangu kuwa Magufuli ni bora sana zaidi ya Lowassa na sasa nimeamini CCM hawajamuonea".
Kwanini?
"Bibi wewe wacha tu, nilivyomuona anaongea kwa uchungu Muhimbili nikajuwa huyu kweli anatujali, babu Lowassa hata alivyokuwa akiongea haoneshi kama anajali au hajali.
"Bibi naweza kwenda kufuta kura yangu nimpe Magufuli?"
Mie nikaangua kicheko nikaanza kumuimbia; "CCM mbele kwa mbele".
Hayo ni kwa uchache yaliyojiri leo jioni nyumbani kwangu.