Bibi Titi Mohamed Festival Ikwiriri: Bibi Titi Kahutubia Mikutano Miwili Hamjui Nyerere

Bibi Titi Mohamed Festival Ikwiriri: Bibi Titi Kahutubia Mikutano Miwili Hamjui Nyerere

Mkuu alafu kuna nyimbo mpya ya young lunya na jamaa flan wa mbeya inaitwa BIBI TITI
 
Sono...
Waliokuwa hawaijui historia hii waijue.

Ulikuwa unayajua haya?

Kaniandikia msomaji wangu mmoja:

BAADA YA KUSOMA KITABU CHA ABDUL SYKES MSOMAJI ANASEMA:

Kwanza sikujua waasisi wa uhuru wa Tanganyika.

Kabla nilijua ni Julius Nyerere ndio mwanzilishi, kumbe walikuwepo kina Plantan, Kleist Sykes, Abduwahid na wadogo zake Ally na Abbas na wengine wengi na vuguvugu la uhuru tangu African Association.

2. Nimemfahamu Bibi Titi Mohamed vizuri.

3. Nimefahamu mchango wa Kambona kwa TANU.

4. Nimefahamu historia ya Kura Tatu na kujiondoa kwa Zuberi Mtemvu TANU na kuanzisha chama chake cha Congress.

5. Sikujua kama kuna mtu anaitwa Suleiman Takadir na kuondolewa kwake TANU na hatimae kufariki.

6. Sikujua kama kina Mtwa Mkwawa, Nduna Songea walikuwa Waislam.

7. Nimejua sababu ya kufa kwa EAMWS na kuanzishwa Bakwata na kisa cha Rehani Waikela.
 
Mkuu alafu kuna nyimbo mpya ya young lunya na jamaa flan wa mbeya inaitwa BIBI TITI
Sijui Basata waliruhusu vipi hii nyimbo na bila kuwaita hawa jamaa. Nyimbo na jina la huyu mama ni vitu viwili tofauti. Ni kama mzaha na dhihaka hivi au matusi kwa kifupi.

Ilawamekula buyu, wanasubiri litajwe jina la raisi ndio tuone hadi wazee wa utii bila shurti wakiwasaka.
 
Sijui Basata waliruhusu vipi hii nyimbo na bila kuwaita hawa jamaa. Nyimbo na jina la huyu mama ni vitu viwili tofauti. Ni kama mzaha na dhihaka hivi au matusi kwa kifupi.

Ilawamekula buyu, wanasubiri litajwe jina la raisi ndio tuone hadi wazee wa utii bila shurti wakiwasaka.
Watu wanachukilia vitu simple sana..
Ila ukifatilia mchango wa huyu bibi titi Mohamed unaona kabisa walizingua sana hawa wasanii
 
Watu wanachukilia vitu simple sana..
Ila ukifatilia mchango wa huyu bibi titi Mohamed unaona kabisa walizingua sana hawa wasanii
Sana Mkuu. Mi nilivyoisikia mara ya kwanza nilishangaa ila nikajausikia tena kwenye media kubwa tu nikashangaa zaidi.
 
Back
Top Bottom