Hizi kanuni niliwahi apply kwa binto mmoja hivi. Nilikutana nae first time nikamuelewa,nikamcheck kwa simu ila kila nikitaka kutupia ndoano anapoteza maboya.
Mchezo ulikua huo huo kwa kipindi lirefu mpaka nikakata tamaa, ila nikawa nikichat nae namletea utani tu juu kwa juu kisha napotezea.
Sasa baada ya muda kidogo kuna day nikamuuliza mbona unanipotezea tu kila siku ilhali mi najitaji kuwa na wewe. Dah hilo jibu sasa!
Najibiwa we si una mke nikajibu sina mke wewe nfio uwe mke wangu. Akajibu ngoja tuone.
Basda ya wiki nikamuambia ebu njoo untembelee kwangu, jibu mazingira yapoje. Mara paap binti huyu hapa, na nikala mzigo bila wasiwasi.
😂😂😂
Very simple procedure wala hautakiwi kutunisha misuli ya mwili na wala hutakiwi kuumiza kichwa, nenda nae taratibu na uwe mpole narudia uwe mpole siku moja mwenyewe ataelewa nini unachomwambia mda huo nyimbo yako ishafika mbali na kugonga Platinum ndio hapo unajilia vyako haijalishi kashaliwa na wangap focus on your
mission, vision & TARGET and most of all always don't loose the target I repeat never ever loose the target, focus on your target na amini kwamba utakula mema ya nchi
Nakumbuka kuna single mother mmoja she was so aged, well educated & brave woman, nilimuimbishaga first time akachomoa nikasema subiri nikaanza upelelezi wangu wa chini chibi, spying on her mara nikawa late night spy kwa sana nijue hivi huyu anapenda nini, sasa pindi tuna chitchat nikaja gundua kua anapenda sana mambo ya Biashara nikasema ngoja nikajibebeshege nondo za Biashara ma-business plan na mambo mengi kibao ya Biashara mara paap nikawa
motivational speaker nikayaweka kichwani yale yote yahusuyo Biashara nikaanza kumhamasisha kuhusu Biashara, tukawa tukimeet mazungumzo yetu ni kuhusu Biashara alafu mwishoni natupa ndoana napandishia kile haswa nini nataka,
Kiukweli alipoanza Biashara alianza kufanikiwa na mimi nikawa ndio mhamasishaji wake huku nam-motivate kwa kumwambia hapo fanya hivyo na hivyo huku naendelea kumuimbisha
Akachomoa mara ya kwanza mara ya pili pia akachomoa mara ya 4 ilipofika pia akachomoa baada ya mara ya 3 kunichomolea pia, mara nikaanza kuweka low profile nikafanya km naanza kumpotezea vile akajagundua kwamba naanza kua mbali nae nakumbuka aliniita mara ya 5 niende kwake nikale dinner hio siku alikua anahisi upweke na hapo ndipo nilipotunukiwa kilichomo ndani nikala vyangu nikatulia yaan namaanisha siku hio nilikula chakula cha mpishi na nikamla na mpishi mwenyewe copy that?
Ushaelewa namaanisha nini au nianze upya?