ushahidi ulotolewa hautoshi kabisa sio kwamba namtetea mbakaji
Wewe unasema ushahidi hautoshi nakuuliza umewahi kubakwa?
Au umewahi kubaka?
Au umewahi kubaka then ukabakwa?
Au una uzoefu wowote wa kubakwa?
Au una uzoefu wowote wa kubaka?
Au unazijua process za ubakaji?
Au unaona ni process gani ya ubakaji imeachwa?
Au ili mtu athibitike kua kabakwa ni process zipi za ubakaji zifuatwe?
Au ili mtu athibitike kua kabaka ni process zipi za ubakaji zifuatwe?
Au ni kipi kimesahaulika katika maelezo ya waleta mashtaka?
Au ni kipi kinachokushawishi kuona kwamba mshtakiwa hajabaka?
Au ni kipi ambacho kinamfanya Mangi asiwe mbakaji?
Au wewe ni mbakaji?
Au wewe ni mbakwaji?
Inaweza ikawa najadiliana na mbakaji au mbakwaji mbobevu pasina kujua
Nipe hizo process za kubaka unazozijua wewe ambazo Bibi hajazipitia kwa huyo Mangi hadi uone bibi kamsingizia
Bibi kwa maelezo yake amesema
alipigwa ngwala na mshtakiwa akaanguka chini akachojolewa nguo kisha akabakwa
Nini kimefichwa hapo?
Taja process ipi ya ubakaji imeachwa hapo inayomfanya mshitakiwa asiwe na hatia? Kupiga kelele au kupiga nduru au kupiga yowee 'nabakwaaaaaa huku' hicho ndicho unaona kimeachwa ili watu waje kumsaidia anabakwa unaona hio ndio process iliyoachwa au? Utajuaje km alimziba mdomo? Utajuaje km àlishindwa kupata uwezo wa kupiga nduru?
Lastly itoshe kusema wewe ni mtetezi wa mhalifu huyo Mangi kabaka acha kutetea wahalifu ushahidi uliotolewa umetosha kumtia hatiani pasina shaka yeyote yaan it was proved beyond reasonable doubt the guy raped the grandma
Mangi kambaka huyo bibi acha kumtetea