Do you know the meaning of rape?Haya yote hawajawahi nipata. Nasimama upande wa sheria ni ngumu ku prove kwamba ni yeye aliba dr alipima? Alipima nini? Sperms akakuta ni za mlalamikiwa?
Kama amefqnya hilo kosa apewe adhabu yeyote, mimi nilikuwa nawaza upande wa pili hii kitu ni ngumu kui prove.ukiachana na bibi kuaema ni yeye ushahidi mwingine ni ngumu.
Kuna ushahidi mwingine kumbe zaidi ya huo hapo ni sawa, wakati mwingine tunajudge kutumia upande mmoja. Labda kulikuwa na vielelezo vingine au eyewitnesses walikuwepo pia.Hiio hajasingiziwa mkuu huyo Mangi kala mzigo wa Bibi pasina shaka yoyote kila kitu kipo wazi it was proved beyond reasonable doubt hata akikata rufaa bado atakutwa na hatia tu, tatizo udomo zege ulimtawala madomo zege ni janga la taifa, mtu hajui kumtongoza mwanamke akamwelewa anaishia kubaka kinguvu tu jambo ambalo sio sahihi acha avune alichokipanda
Umeelewa au nianze upya?
Nyege hazijawahi kumuacha domo zege salamaKuna ushahidi mwingine kumbe zaidi ya huo hapo ni sawa, wakati mwingine tunajudge kutumia upande mmoja. Labda kulikuwa na vielelezo vingine au eyewitnesses walikuwepo pia.
Udomo zege kweli unawaponza wengi, wasipobaka wazee, viwete, watoto, vichaa wanawaingilia wanyama.
Yes! if there is no consent / agreement = rapeDo you know the meaning of rape?
Basi km ulikua hujui kumpiga mwanamke ngwala au kumgusa tu kwa dhumuni la kuashiria mnasaba wowote wa kingono au kumfanyia ishara zozote za kingono bila idhini yake tayari ushabaka mvua 30 zinakuhusu akifungua mashtaka zidi yako sio lazima umuingizie uume kwenye sehemu zake nyeti eti ndio umebakaYes! if there is no consent / agreement = rape
Hili nalijua miaka 10 iliyopita,wewe bado ukiwa f2B. Ongelea uzi ulivyoandikwa na sio hisia zako. Tofauti na hapo wanaume wote mungekuwa behind the bars kwa kubaka, si mnagusaga wanawake bila idhini? Na ishara za ngono si mnafanya? Hii topic iishie hapa😁Basi km ulikua hujui kumpiga mwanamke ngwala au kumgusa tu kwa dhumuni la kuashiria mnasaba wowote wa kingono au kumfanyia ishara zozote za kingono bila idhini yake tayari ushabaka mvua 30 zinakuhusu akifungua mashtaka zidi yako sio lazima umuingizie uume kwenye sehemu zake nyeti eti ndio umebaka
Ushaelewa au nianze upya?
Ndio nimekufafanuliwa wewe mwanamke ujijue umeshawahi kubakwa mara ngapi ila haukuamua kufungua mashtaka km alivyofanya Bibi maana nilikuuliza umewahi kubakwa ukawa unagwayagwaya unapuyanga yaweza ikawa hata leo hii umetoka kubakwa vya kutosha mda sio mrefu au naongopa?Hili nalijua miaka 10 iliyopita,wewe bado ukiwa f2B. Ongelea uzi ulivyoandikwa na sio hisia zako. Tofauti na hapo wanaume wote mungekuwa behind the bars kwa kubaka, si mnagusaga wanawake bila idhini? Na ishara za ngono si mnafanya? Hii topic iishie hapa😁
Una kichwa mbovu aisee sijawahi bakwa wala sina any sexual harassment..nachangia mada, ninajua upande wa sheria hii mada ina mtizamo tofauti. usinilazimishe unacho kiaamini na mimi nikiamini.Ndio nimekufafanuliwa wewe mwanamke ujijue umeshawahi kubakwa mara ngapi ila haukuamua kufungua mashtaka km alivyofanya Bibi maana nilikuuliza umewahi kubakwa ukawa unagwayagwaya unapuyanga yaweza ikawa hata leo hii umetoka kubakwa vya kutosha mda sio mrefu au naongopa?
Itoshe kusema ushaelewa lecture basi km ni hivyo case closed
MCHAGGA NA MAPAJA????????????????
INAFIKIRISHA SANA HIII[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
LABDA AWE AMECHANGANYA DAMU NA MNYAKYUSA[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] OTHERWISE NI UOOOOOOONGO KAMA UOOOOOONGO MWINGINE[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]