digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Mkuu Biblical language,men inamaanisha Binadamu,sawa sawa na lugha ya Mahakamani,jeshini ni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa MEN inawakilisha watu/wanadamu, sio wanaume [male] kama unavyotafsiri.Tuishi nao kwa akili hawa viumbe ni waongo. Kati ya maneno kumi wanayoongea neno la ukweli ni moja tu au yote yanaweza kua ya uongo. Bibilia yenyewe imewanyooshea mikono inasema wazi wazi kua wanaume wote ni waongo.
Miongoni mwa mistari hiyo ni Psalms 116:11 na Romans 3:4
View attachment 3116593View attachment 3116595View attachment 3116596
Zaburi 116:11Tuishi nao kwa akili hawa viumbe ni waongo. Kati ya maneno kumi wanayoongea neno la ukweli ni moja tu au yote yanaweza kua ya uongo. Bibilia yenyewe imewanyooshea mikono inasema wazi wazi kua wanaume wote ni waongo.
Miongoni mwa mistari hiyo ni Psalms 116:11 na Romans 3:4
View attachment 3116593View attachment 3116595View attachment 3116596
Utakuwa umetafasri ndivyo sivyo. Biblia Inasema "men" ikimaanisha "wanadamu". Huo mstari uliouchagua Kiswahili chake kinasema "Mimi nalisema kwa haraka yangu, wanadamu wote ni waongo"Tuishi nao kwa akili hawa viumbe ni waongo. Kati ya maneno kumi wanayoongea neno la ukweli ni moja tu au yote yanaweza kua ya uongo. Bibilia yenyewe imewanyooshea mikono inasema wazi wazi kua wanaume wote ni waongo.
Miongoni mwa mistari hiyo ni Psalms 116:11 na Romans 3:4
View attachment 3116593View attachment 3116595View attachment 3116596
Tumesema sawa sawia pamoja mkuu!Zaburi 116:11
[11]Mimi nalisema kwa haraka yangu,
Wanadamu wote ni waongo.
I said in my haste, All men are liars. Hivyo neno men hapi limetumika kurejerea wanadamu wote. Na wanawake wanaongoza kwa uongo
Wapi kataja Imani kwenye andiko lake?DeepPond, DeepPond,DeepPond
Nimekuita mara tatu kuamini(IMANI) ni personal issues
JUMAPILI NJEMA MTUMISHI
Sio kweliStory zote zilizoandikwa kwny Biblia na Quran Ni uzushi wa Watu wa kale kuwapumbaza wenzao.
Akasome na Mika 7:5 kuongezea jambo"Men" inatumika mara nyingi kama jumuisho la wanadamu wote.
Sio vibaya ukasoma kuhusu utapeli wa wanawake pia:
Although ni watu special sana, ila kuna kitu hakiko sawa kuhusu wanawake
🙎Species inayoweza kumuelewa mwanamke ni mwanamke mwenzake, ndio maana wanachukiana. 🙅 Ukitaka kupoteza demu, wewe kuwa nice boy uone, then uki react kama bad boy kutokana na ukaidi wao unaitwa muonevu. 🙎 Uwajibikaji wa makosa kwa mwanamke ni kama maji na mafuta. Siku zote kwao anaekosea ni...www.jamiiforums.com