Bible Mysteries: Q source iko wapi

viewpoint nzuri ,sana lakini sio vidosari vidogovidogo ni dosari kubwa hiyo.
 
Hili swali la msingi sana, lingejibiwa vizuri kama tungekuwa na wanahistoria wabobezi humu ndani.
 
Umeingia kulinganisha Biblia na vitabu vya watu wengine badala ya kumjibu muuliza swali
 
Uzuri wa hapa hulazimishwi kujadili unaweza kupita kimya kimya, nyuzi ziko nyingi sana.
Halafu vitabu vyote vya dini tofauti sio sawa ni tofauti sana, kusema vyote huwa na dosari ndogo ndogo haina maana yoyote.
 
Uzuri wa hapa hulazimishwi kujadili unaweza kupita kimya kimya, nyuzi ziko nyingi sana.
Halafu vitabu vyote vya dini tofauti sio sawa ni tofauti sana, kusema vyote huwa na dosari ndogo ndogo haina maana yoyote.
It touch beliefs sasa kukosoa kosoa imani za waaminio jambo fulani ok....😛😛
 
Kwenye jamii zilizostaaribika kwa kiwango cha juu mijadala ya kukosoa na kuonyesha jinsi gani imani fulani haina mashiko ni jambo la kawaida sana. Inasaidia pia kuepusha utapeli wa kiimani na majanga kama ya kibwetere au Kinjekitile.
It touch beliefs sasa kukosoa kosoa imani za waaminio jambo fulani ok....😛😛
 
Mada ni juu ya Biblia. Unasema mada ni purely objective tusiiweke kidini. Unawezaje kuzungumzia Biblia bila kuzungumzia dini ya Kikristo?
 
Kwenye jamii zilizostaaribika kwa kiwango cha juu mijadala ya kukosoa na kuonyesha jinsi gani imani fulani haina mashiko ni jambo la kawaida sana. Inasaidia pia kuepusha utapeli wa kiimani na majanga kama ya kibwetere au Kinjekitile.

1000 Mistakes in the Qur’an​

FROM BOOK “1000 MISTAKES IN THE QURAN”
Tafuta kitabu hiki ukisome
 
Mada ni juu ya Biblia. Unasema mada ni purely objective tusiiweke kidini. Unawezaje kuzungumzia Biblia bila kuzungumzia dini ya Kikristo?
Udini ni pale unaposhambulia mada au mtoa mada kwa ubishano wa kidini (kulinganisha na dini nyingine); mfano kuna mtu hapo juu kanizodoa kwamba ''mtume'' wangu alikua hajui kusoma wala kuandika!!

Yaani kukashifiana kidini badala ya kujenga hoja ndio ambacho napinga
 
zitto junior ukiisoma Biblia kwa kuongozwa na roho wa Mungu hautaona contradiction yoyote kwa sababu utaisoma kwa ufahamu kutoka juu, lakini ukiisoma kwa hiki unachokiita objectivity pekee utapotea, kama wengi walivyopotea.

Kwa mfano hicho unachokisema kama ni contradiction kati ya mathayo 2:1 na Luka 2:2-3 hakipo hivyo,

Angalia.
Mathayo 2:1 "Yesu alipozaliwa katika Bethlehemu ya Uyahudi zamani za mfalme Herode..."

ni Kwamba Herode alikuwa ni Mfalme wa wayahudi kama walivyokuwapo wengine huko nyuma kama kina Daudi, Suleiman etc alikuwa anatawala hayo maeneo tunayaita Israel + leo

Na
Luka 2:1 "Siku zile Amri ilitoka kwa Kaisari Augusto ya kwamba iandikwe orodha ya watu wote wa ulimwengu, Orodha hii ndiyo ya kwanza iliyoandikwa hapo kirenio alipokuwa liwali wa shamu. watu wote wanaenda kuandikwa, kila mtu mjini kwao

Hapa anazungumziwa Kaisari Augusto aliyekuwa Mfalme wa Roma. ambaye wakati huo alikuwa anatawala ulimwengu mzima.

sasa hapo contradiction ni nini?
 
Hivi hao walioadika biblia walikuwa wanafunzi WA yesu?.na walikuwa wote na yesu?
 
Kabla hatujaenda mbali mm nilitaka kujuzwa kwann biblia ina copy rights ( haki miliki) je hiyo pesa ya copy rights huwa analipwa nan?

Nawasilisha!
Nafikiri ipo kampuni special ambayo inaaminika toka kipindi icho kupublish bible so imejiwekea na kautaratibu. Not fair.
 
Original source is Original, Roho Mtakatifu ni MKWELI na Msafi hawezi acha Ujumbe Mahususi upotoshwe au uharibike.
Nashukuru kwa hoja yako Ingawa official dating ya kuzaliwa Yesu sio conclusive mpaka leo yaani its either 4 BC au 6 AD ikimaanisha hakuna straight fact to prove one date is indeed right.
So tunachojiuliza sensa ilifanyika kipindi cha Quirinius ambapo alikua anaitawala Judaeah directly bila kupitia kwa Herode/mwakilishi yeyote. So far sensa ilifanyika 6 AD je Herodius alikuwepo?

So tuachane na 1 AD tujikite kwenye sensa ya 6AD ndio mzizi wa contradiction

2. Kuhusu fact kupotoshwa nmetoa mfano hapo juu kwamba wezi wawili wamezungumziwa tofauti na hizo gospels. Mmoja anadai Wezi wote walimkejeli Yesu pale msalabani, ilihali mwingine anadai Mmoja alimkiri Yesu na mwingine alimkejeli. Fact kma hii kupindishwa huoni inaharibu mafundisho kwamba Yesu at a breaking point bado alikua na huruma/msamaha kwa mwanadamu?

Natanguliza shukrani
 
Mkuu wakati Herodius yuko hai haikuwahi fanyika sensa ila Quirinius akiwa Governor wa Syria (inadaiwa cheo cha Herode kilifutwa by then na Walikua wanatawaliwa moja kwa moja) ndipo sensa ilifanyika.

Ssa swali ni kwamba Yesu alizaliwa kipindi cha utawala wa Herodius (indirect rule) au Quirinius (Direct rule) mind you sensa ilifanyika kipindi cha direct rule ambapo Herodius aliyekuepo alishakufa!!?

Hpa ndio mtihani ulipo
 
Okay, hii ni issue ya calenda sasa, kumbuka Biblia haitumii kalenda iliyotumika kuandika historia unazofanyia reference mkuu.
 
Tupe ushahidii wa kibiblia ukionyesha Herodius unayemsema alikuwa ameshakufa wakati sensa inafanyakika. Na alifariki miaka mingapi huko nyuma kabla ya sensa.

Je, uwekaji kumbukumbu kwenye historia kwa kutumia matukio unakiwa uwe exactly? Namaanisha kuweka tarehe kwa kutumia matukio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…