Bible Mysteries: Q source iko wapi

Bible Mysteries: Q source iko wapi

Mathayo 2:1 inaonyesha Yesu alizaliwa kipindi cha Herode (4 BC) ila Luka 2:2-3 inaonyesha Yesu alizaliwa kipindi cha Governor Quirinius (6 AD). Ila kungetumika source moja tu mfano hyo Q source ingesaidia kuondoa discrepancy zote zilizopo na kuweka msimamo mmoja wa Injili.

Hii paragraph imebishangaza,

BC - Before Christ, kabla Yesu kuzaliwa
AD - Anno Domino, baada ya Yesu kuzaliwa

Mleta mada tujadili kwanza uhalali wa hii paragraph kabla ya kujadili mashaka uliyonayo kuhusu biblia

NB: zingatia kuweka ushahidi ama marejeo ya kwenye kitabu husika pia
 
Mkuu nimesoma diploma kabisa ya theology so have some respect kudai nimekaririshwa.

How correct are they? Si ulisema kuna tafiti zilishafanyika ika arrive kwenye one date na mjadala ukafungwa.... Unaweza weka link hapa?

Correct ni ipi. 4 BC au 6 AD?
Ahaaaa, mbona unanifanya nicheke?

Tafiti zimefanyika na mpaka sasa hakuna exact date inayojulikana lini Jesus Christ alizaliwa.

Ndio maana mpaka sasa jibu sahihi ni yapata miaka 2000+ iliyopita.

Ila assumptions ni 4 BC mpaka 6 AD. Hapa ndipo kuna simulizi za Herod na Austus Ceasar.

Kuna mpya toka kwa Zitto Snr?
 
Wote wametaja kipindi ssa mmoja kataja tukio la miaka 10 baadae mwingine kataja tukio lililotokea miaka 10 iliopita kwamba ndani ya hizo wiki/mwezi/mwaka Yesu alizaliwa.

So mmoja lazma ndio anaongea ukweli unless ungesema watafsiri ndio walikosea but as it stands matukio mawilu tofauti yanatajwa kma ndio Yesu alizaliwa.

Ssa tupe mwaka mmoja unaodhani Yesu alizaliwa..... Kumbuka tuko 2021 AD
Watafasiri hawajakosea. Fuatilia utapata ukweli.
 
Mathayo 2:1 inaonyesha Yesu alizaliwa kipindi cha Herode (4 BC) ila Luka 2:2-3 inaonyesha Yesu alizaliwa kipindi cha Governor Quirinius (6 AD). Ila kungetumika source moja tu mfano hyo Q source ingesaidia kuondoa discrepancy zote zilizopo na kuweka msimamo mmoja wa Injili.

Hii paragraph imebishangaza,

BC - Before Christ, kabla Yesu kuzaliwa
AD - Anno Domino, baada ya Yesu kuzaliwa

Mleta mada tujadili kwanza uhalali wa hii paragraph kabla ya kujadili mashaka uliyonayo kuhusu biblia

NB: zingatia kuweka ushahidi ama marejeo ya kwenye kitabu husika pia
Mkuu dating ya Yesu kuzaliwa imewekewa point say Miaka 2021 iliyopita.

Sasa kukatokea nadharia mbili kwamba ule mwaka unaodaiwa Yesu alizaliwa according to Luka ni wakati wa Sensa ya Quirinius ambayo ilitokea miaka 6 zaidi ya ule mwaka unaodaiwa alizaliwa ko ndio maana inakuwa 6 AD

Same applies tu 4 BC kwamba mwaka uliokua proposed na Dionysis unapunguzwa kwa miaka 4 ili uendane na wakati ambapo Herode alikua bado yupo hai kma mathayo inavyosema.

Hope imeeleweka

NB: Kwenye radiometric dating huwa wanasema +/- n Years.
 
Ahaaaa, mbona unanifanya nicheke?

Tafiti zimefanyika na mpaka sasa hakuna exact date inayojulikana lini Jesus Christ alizaliwa.

Ndio maana mpaka sasa jibu sahihi ni yapata miaka 2000+ iliyopita.

Ila assumptions ni 4 BC mpaka 6 AD. Hapa ndipo kuna simulizi za Herod na Austus Ceasar.

Kuna mpya toka kwa Zitto Snr?
Mkuu hapa mjadala sio Yesu alizaliwa mwaka gani issue ni kwanini Biblia inakinzana kipindi alichozaliwa Yesu

Je ni wakati wa sensa au wakati wa uhai wa Herode?

Embu jibu hili mjadala ufungwe
 
Mkuu hapa mjadala sio Yesu alizaliwa mwaka gani issue ni kwanini Biblia inakinzana kipindi alichozaliwa Yesu

Je ni wakati wa sensa au wakati wa uhai wa Herode?

Embu jibu hili mjadala ufungwe
Mkuu kuna mahala bible imetamka lini Yesu alizaliwa?
 
Mkuu dating ya Yesu kuzaliwa imewekewa point say Miaka 2021 iliyopita.

Sasa kukatokea nadharia mbili kwamba ule mwaka unaodaiwa Yesu alizaliwa according to Luka ni wakati wa Sensa ya Quirinius ambayo ilitokea miaka 6 zaidi ya ule mwaka unaodaiwa alizaliwa ko ndio maana inakuwa 6 AD

Same applies tu 4 BC kwamba mwaka uliokua proposed na Dionysis unapunguzwa kwa miaka 4 ili uendane na wakati ambapo Herode alikua bado yupo hai kma mathayo inavyosema.

Hope imeeleweka

NB: Kwenye radiometric dating huwa wanasema +/- n Years.
Swali langu linalenga hizo annotations ambazo ni BC na AD, ikiwa zinarejea kabla au baada ya yesu kuzaliwa, ni kwa vipi tena biblia iseme yesu alizaliwa mwaka fulani kabya ya yesu kuzaliwa, ama yesu alizaliwa miaka flani baada ya yesu kuzaliwa?

Sijui umenielewa bro?
 
Nimefuatilia nimegundua proposed era za Yesu kuzaliwa zinakinzana na ndio maana nimeleta mada je ipi ni sahihi? Mathew au Luka? Mind you kuna contradiction zingine hatujaanza zi debunk!!
Hakuna mahala zinakinzana. Bali mnachanganya mambo. Hakuna exact date lini Yesu alizaliwa. Assumptions ni kati ya 4 BC na 6 AD.
 
Swali langu linalenga hizo annotations ambazo ni BC na AD, ikiwa zinarejea kabla au baada ya yesu kuzaliwa, ni kwa vipi tena biblia iseme yesu alizaliwa mwaka fulani kabya ya yesu kuzaliwa, ama yesu alizaliwa miaka flani baada ya yesu kuzaliwa?

Sijui umenielewa bro?
Biblia haijawahi tamka AD ama BC ila hiyo ni kalenda ya Papa Gregory ndio ambayo inadai leo ni mwaka 2021 toka Yesu azaliwe!!

Sasa ukipiga hesabu za nadharia ya Mathayo/ Luka/Flavius Josephus utagundua kwamba kuna contention kuwa ni miaka 4 nyuma ama miaka 6 zaidi ya tarehe iliyokua proposed hapo awali na kina Dionysis.
 
Nimefuatilia nimegundua proposed era za Yesu kuzaliwa zinakinzana na ndio maana nimeleta mada je ipi ni sahihi? Mathew au Luka? Mind you kuna contradiction zingine hatujaanza zi debunk!!
Hakuna mahala zinakinzana. Bali mnachanganya mambo. Hakuna exact date lini Yesu alizaliwa. Assumptions ni kati ya 4 BC na 6 AD.
Yes ndio kipindi cha Herode au Quirinius?
Mbona unazidi kuchanganya mambo?
 
Hakuna mahala zinakinzana. Bali mnachanganya mambo. Hakuna exact date lini Yesu alizaliwa. Assumptions ni kati ya 4 BC na 6 AD.

Mbona unazidi kuchanganya mambo?
Luka anasema enzi za Sensa yaani 6 AD
Mathayo anasema enzi za Herode yaani 4 BC

Embu jikite hapo kwanini wanakinzana?
 
Nashukuru kwa mchango mkuu nmekupata vizuri.

Lakini unadhani suluhisho ni lipi ili kuepuka hizi sintofahamu?

Je ni biblia kufanyiwa re-compilation (agano jipya) kupitia chanzo kimoja tu. Mfano ukinzano ukitokea basi wapitishe nadharia moja na nyingine iachwe ili kufuta discrepancy zote.

Kingine ni uwepo wa NIV/KJV je nako kuna ulazima wa kuwepo standard version moja dunia nzima ili wakristo wote watumie kuepusha transliteration za maneno zisipishane sana!!
Ni vizuri kila kitu kikaonekana kama kilivyo. Ni nani huyo atakuwa na mamlaka ya kutengeneza standard moja. Kwenye dini kuna level mbili ule ufahamu wa kawaida ambao unajenga imani na utafiki wa kisomi ambao ni kazi ya wanazuoni. Kwa mfano; ili mtu aokolewe anahitaji kujiridhisha kwamba ni kweli Yesu alizaliwa, na kwamba ni kweli alitenda miujiza, na kwamba aliteswa, alikufa na kufufuka sawasawa na maandiko (unabii wa agano la kale). La mwisho lenye uzito mkubwa kuliko yote ni je kweli Yesu yu hai leo na anaweza kufanya yote ambayo injili (habari njema) inasema atamfanyia muumini? Kwa muumini wa kawaida anahitaji majibu ya maswali hayo iwe ni ndio.
Mungu amekusudia kuwaokoa wanadamu kwa kutii kuletwako na imani na si utafiti. Kwa hiyo utafiti unafanyika kwa sababu kadhaa; moja ni ubishi na kutokuamini, mbili ni wanazuoni wanapitaka kujibu maswali yanayojitokeza, tatu inaweza kuwa hali tu ya kutaka kujua (inqusitive attitude).
Kwenye lile la kwanza na la puli kunakuwa na nadharia kadhaa zinazojaribu kujazia vile ambavyo havijaelezwa kwenye maandiko. Maana maandiko hayajaandikwa ili sisi tuelewe na tuweze kuelezea kila kitu (maana hiyo itafanya sisi tuwe na uwezo wa ubongo kama wa Mungu). Hivi vimeandikwa ili sisi tuamini kwamba Yesu ni Kristo na kwa kufanya hivyo tuweze kuokolewa.
Basi kuna ishara nyingine nyingi alizozifanya Yesu mbele ya wanafunzi wake, zisizoandikwa katika kitabu hiki. Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mwe na uzima kwa jina lake.
Yn 20:30‭-‬31 SUV
 
Mkuu hapa mjadala sio Yesu alizaliwa mwaka gani issue ni kwanini Biblia inakinzana kipindi alichozaliwa Yesu

Je ni wakati wa sensa au wakati wa uhai wa Herode?

Embu jibu hili mjadala ufungwe
Kaka Zitto junior, Biblia haikinzani kwenye hilo. ili kupata majibu nitaanza na kitu rahihisi kabisa; Injili ya Luka na kitabu cha Matendo vyote vimeandikwa na Luka, sasa tuangalie mistari miwili moja ni hiyo Luka 1:1" In those days Caesar Augustus issued a decree that a census should be taken of the entire Roman world. 2(This was the first census that took place while Quirinius was governor of Syria.)" na mwingine ni Matendo 5:37, hapa Luka anaeleza jinsi kuhani mkuu alivyowaeleza wakuu wa Sanhedrin kwamba vitu ambavyo sio vya kimungu vinakufaga kifo cha kawaida, kama ilivyokuwa kwa huyo jamaa Yuda Mgalilaya ambayo ilifanyika wakati wa sensa. ukihitaji kupata ufafanuzi wa kuwepo kwa sensa mbili na kwanini Kirenio awe 'gavana' mara mbili soma andiko la kizuoni: Brindle, Wayne, "The Census and Quirinius: Luke 2:2" (1984). SOR Faculty Publications and Presentations. 73. The Census and Quirinius: Luke 2:2.

Kwa kifupi kwa wale ambao watashindwa kuisoma paper yote ni kwamba Kirenio (Quirinius) alikuwa Jemedari hodari aliyeweza kuzima uasi Jimbo la Asia hivyo alikuwa anashughulikia masuala ya kijeshi na usalama chini ya Gavana wa Syria aliyekuwepo, ambaye baadaye alimbadili na yeye kupewa hicho cheo 6-8 AD. Na kwa nini iRome ifanye sensa wakati mtawala ni Herode; rahisi tu: mwishoni wa utawala wa Herode mkuu, alifanya vitu vya kumkasirisha sana Kaisari, ambaye aliamuru sensa hiyo ifanyike, lakini haikufanyika kwa askari wa Rumi kutumika ila Herode mwenyewe chini ya shikizo la Rumi alifanya.
 
Habari za jioni wana JF, ni muda mrefu kidogo sijaweka mada humu ila leo tupate wasaa kidogo tukumbushane mambo machache kuhusu Bible.

NB: Angalizo hii mada ni purely objective tusiiweke kidini na kuanza kashfa, matusi na kejeli kwa imani fulani. Natamani iwe hoja juu ya hoja ili wote tujifunze.
View attachment 1703065

Utangulizi
Kumekua na contradiction sana kwenye vitabu vya gospel hata kwa vitu vidogo tu mfano tarehe ya Yesu kuzaliwa na kufa ama Story ya wale wafungwa pembeni ya Yesu msalabani n.k. Na huu mkinzano unawapa fursa watu kuiona Biblia kama nadharia tu au hadithi za kufikirika (Myhtology) na sababu kuu ni taarifa kadhaa kukinzana.

Kutokuwepo kwa vyanzo halisi vya injili nayo imekua changamoto na inafikia wakati watu wanahoji uhalisia wa matukio ya kipindi cha Yesu. Yaani yalikua verified wapi ama version ipi ya vitabu vya injili ni credible zaidi. Ili kusolve haya yote wanatheolojia walijaribu kujikita katika kutafuta vyanzo vya vitabu vya injili.

Q Source
Msimamo uliopo kwenye ulimwengu wa kitheolojia na imani ni kwamba kitabu cha kwanza kuandikwa ni Marko maana ushahidi ni kwamba Mathayo na Luka wamenakiri masuala mengi kutoka injili ya Marko. LAKINI kuna maandiko yaliyopo katika Mathayo na Luka ILA hayapo kwenye injili ya Marko. Hiko chanzo cha pili kikapewa nickname ya Q yaani Quelle source.
View attachment 1703067
Chanzo hiki kina nadharia mbili kwanza; ni simulizi za moja kwa moja walizosikia hao waandishi wa Mathayo na Luka kutoka kwa Yesu na wanafunzi wake. Nadharia ya Pili ni kwamba ni maandiko yaliyoandikwa yakiwa na yamenakiriwa original kabisa kutoka kwa Yesu ama wanafunzi wake.

Kupitia nadharia ya pili swali linakuja.... Je Q source iliandikwa na nani?

Q source kwanini isingekua kitabu kabisa kwenye Biblia?

Je kilifichwa ili kuondoa ukweli wa taarifa fulani?

Kuondoa Sintofahamu

Ikumbukwe kma Q source ni original script yenye uhalisia zaidi. Ingesaidia kuondoa sintofahamu hasa kwa kukinzana kwenye masuala kadhaa ya kibiblia mfano nitoe

Mathayo 2:1 inaonyesha Yesu alizaliwa kipindi cha Herode (4 BC) ila Luka 2:2-3 inaonyesha Yesu alizaliwa kipindi cha Governor Quirinius (6 AD). Ila kungetumika source moja tu mfano hyo Q source ingesaidia kuondoa discrepancy zote zilizopo na kuweka msimamo mmoja wa Injili.

Mat 12:39 Akajibu, akawaambia, Kizazi kibaya na cha zinaa chatafuta ishara, wala hakitapewa ishara, ila ishara ya nabii Yona

Marko 8:12
12 Akaugua rohoni mwake, akasema, Mbona kizazi hiki chatafuta ishara? Amin, nawaambieni, Hakitapewa ishara kizazi hiki.

Mfano hapa je mtu wa kizazi kile ataamini kipi? Yesu alitoa ishara ama hakutoa yoyote? Je haiwezi mchanganya mtu kiimani?
View attachment 1703066
Hitimisho
Nimeleta mada ili tujadili hapa je Q source ipo? Na kama Ipo Iko wapi? Je ingeweza kusaidia kuondoa ukinzano? Je ukinzano huu wa injili hauondoi credibility ya Biblia kma kitabu kitakatifu (maana tunaamini imeandikwa kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu)

Karibuni kwa mjadala
Corona inaua chukua tahadhari
 
Back
Top Bottom