Bible's verses contradictions

Bible's verses contradictions

Hujalielewa tu swali langi lakini lina msingi mkubwa sana na linakupeleka kwenye majibu...

Usidhani majibu pekee tu ndiyo hukosewa bali hata maswali hukosewa vile vile....

Halafu mbona umeuliza "maswali yangu hayo mawili",kwani wewe ndiye mtoa mada?
mtoa mada ni mimi,contradiction kwa ufahamu wangu ni kuongea jambo kuwa ni hivi lakini baadae unatoa maana nyingine tofauti na ya awali...
kama nimekosea kuielezea kwa kiswahili nirekebishe lakini lengo langu ni kusema kuwa maandiko ya kwenye biblia yanajipinga yenyewe
 
Hakuna aliyeumbwa kwanza wala mwisho, hiyo ya uumbaji ni hadithi tu, mbona wanyama na binadamu walikuwepo mamilioni ya miaka kabla ya stori hii ya juzi juzi tu. Binadamu baada ya kuwa na akili na uelewa wameendelea kuitafuta asili yao bila mafanikio
mimi nimeuliza kwa mujibu wa biblia,..anyways,nimekuelewa
 
Napenda sana kuchangia na kujadili hayo mambo hapa jamvini lakini siku hizi nakua mzito kwa sababu wachangiaji wengi wanaochangia humu tayari wana msimamo wao nyuma ya hoja wanazotoa.

Wachache wapo hapa kujifunza, wachache wanaheshimu jina la jamvi "intelligence", wanashindwa kuwa na busara ndogo tu kuwa jukwaa hili lina tofauti na jukwaa na dini au siasa, mada kama hizi mara nyingi huishia kutupiana vijembe, kuoneshana ubabe wa elimu zao

Kwa sasa acha nibaki msomaji tu
 
Napenda sana kuchangia na kujadili hayo mambo hapa jamvini lakini siku hizi nakua mzito kwa sababu wachangiaji wengi wanaochangia humu tayari wana msimamo wao nyuma ya hoja wanazotoa.

Wachache wapo hapa kujifunza, wachache wanaheshimu jina la jamvi "intelligence", wanashindwa kuwa na busara ndogo tu kuwa jukwaa hili lina tofauti na jukwaa na dini au siasa, mada kama hizi mara nyingi huishia kutupiana vijembe, kuoneshana ubabe wa elimu zao

Kwa sasa acha nibaki msomaji tu
Kama Mimi vile.... Mambo haya mapana ni heri nikashabikia mambo ya ccm na chadema
 
Hujalielewa tu swali langi lakini lina msingi mkubwa sana na linakupeleka kwenye majibu...

Usidhani majibu pekee tu ndiyo hukosewa bali hata maswali hukosewa vile vile....

Halafu mbona umeuliza "maswali yangu hayo mawili",kwani wewe ndiye mtoa mada?
sio lazima kuwa mtoa mada ili kukusahihisha ingekuwa hivyo nyuzi nyingi zingekosa uchangiaji
 
mtoa mada ni mimi,contradiction kwa ufahamu wangu ni kuongea jambo kuwa ni hivi lakini baadae unatoa maana nyingine tofauti na ya awali...
kama nimekosea kuielezea kwa kiswahili nirekebishe lakini lengo langu ni kusema kuwa maandiko ya kwenye biblia yanajipinga yenyewe
Sawa,acha niende na maana yako hii hii,sasa naanza na moja baada ya lingine....

Hapa chini ni moja ya maandiko unayodaiwewe kuwa yanajipinga,unaweza kunieleza hapo hayo maandiko uliyonukuu yanajipinga namna gani?
1. Genesis chapter 1
God created adam and eve

Genesis chapter 2
God created adam and then eve later
Haya maandiko yako ni sawa na mtu aseme 'Nimetengeneza nyumba na gari" halafu sehemu nyingine mtu yule yule aseme "Nilitengeneza nyumba kisha baadaye nikatengeneza gari",huyu mtu anakuwa anajipinga namna ipi?
 
yeremia 3:12

Enenda, ukatangaze maneno haya kuelekea upande wa kaskazini, ukaseme Rudi ee israel mwenye kuasi asema bwana sitalutazama kwa hasira maana mimi ni mwenye rehema asema bwana sitashika hasira hata milele.


yeremia 17:4

Nawe naam wewe nafsi yako utaachana na urithi wako niliokupa nami nitakulazimisha kuwatumikia adui zako katika nchi usiyoijua maana nimewasha moto katatika hasira yangu utakaowaka milele.


> soma taratibu kwa upande wa kiswahili isije ikawa lugha ndo tatizo.



unachofanya vitu viwili vyenye maana sawa. ukifanya dhambi ukafariki bila kutubu Mungu anasema utaenda jehanamu utachomwa milele bila kusamehewa. ((hanahuruma))

vili vile ukifanya dhambi ukatubu atakusamehewa na utaenda peponi/mbinguni/paradiso kwasababu yeye ni mwenye ((huruma))

israeli aliasi yuda alifanya hiana aliabudu miungu mingine na wakawa wagumu kutubu Mungu akasema nirudien mimi mi mume wenu""

'::::God does not keep anger forever::::: endapo mtatubu


wakagoma kurudi kwenye njia iliyo sahihi
((yuda dhambi yake iliandikwa kwa kalamu ya chuma:::

God does keep anger forever
 
sio lazima kuwa mtoa mada ili kukusahihisha ingekuwa hivyo nyuzi nyingi zingekosa uchangiaji
Tatizo siyo wewe kunisahihisha bali ni wewe kuonekana kama ni mtoa mada na ndiyo maana nimekuuliza....

Sijakuzuia kunisahihisha mkuu...
 
Mwanzo yote hajakosewa wala vontradiction isipokuwa ni aina ya uandishi uliotumia Mwanzo 1 ni uandishi mfuatano ili hali mwanzo ni Flashback style
 
Mwanzo 32:30 na Hesabu 14:14 Hazisemi mungu alionekana na watu Mwanzo ina sema mtu lkn kwa kutumia kwako neno god uko sawa ila God ndiye hajaonekana na mtu lkn pia Hesabu 14:14 Qanasema Mungu anaonekana si waliomuona ni Wamisri WATASEMA hivyo hayo ni MAWAZO yao . Leo yungewauliza Wamisri nani amewaambia kuwa Waisrael Wamemuona Mungu naked eyes?
 
Yeremia 3:12 inasema Mungu hashiki hasira kwa mwanadamu milele Yeremia 17: Haisemi Hasira milele bali MOTO milele HAZIPIGANI
 
Mathew na Luke wote wako sawa wala hawapingani ila kila mmoja hanahadithi ukweli maana Mailaka alimtokea Mary akamtokea na Joseph pia hivyo mmoja anatoa ripoti upande wa Mary na mwingine tukio la malaika na Joseph
 
Sawa,acha niende na maana yako hii hii,sasa naanza na moja baada ya lingine....

Hapa chini ni moja ya maandiko unayodaiwewe kuwa yanajipinga,unaweza kunieleza hapo hayo maandiko uliyonukuu yanajipinga namna gani?

Haya maandiko yako ni sawa na mtu aseme 'Nimetengeneza nyumba na gari" halafu sehemu nyingine mtu yule yule aseme "Nilitengeneza nyumba kisha baadaye nikatengeneza gari",huyu mtu anakuwa anajipinga namna ipi?
mwenzangu kama huoni contradiction mimi naiona,nikisema nimeanza kuumba yai halafu nikaumba kuku,halafu kesho nikakwambia nilianza kuumba kuku halafu nikaumba yai utaamini kauli zangu!!!!!?
 
mwenzangu kama huoni contradiction mimi naiona,nikisema nimeanza kuumba yai halafu nikaumba kuku,halafu kesho nikakwambia nilianza kuumba kuku halafu nikaumba yai utaamini kauli zangu!!!!!?
Ulichokiandika kwenye post yako ya kwanza hakifanani na hiki....

Ulichokiandika kwenye post yako ya kwanza ni sawa na useme "uliumba kuku na yai" kisha uje useme baadaye kuwa "uliumba kuku kisha baadaye ukaumba yai"....


Pia,sijasema hakuna contradiction au ipo,nimekuambia unioneshe ilipo....

Mbona jambo rahisi sana hilo?
 
Ulichokiandika kwenye post yako ya kwanza hakifanani na hiki....

Ulichokiandika kwenye post yako ya kwanza ni sawa na useme "uliumba kuku na yai" kisha uje useme baadaye kuwa "uliumba kuku kisha baadaye ukaumba yai"....


Pia,sijasema hakuna contradiction au ipo,nimekuambia unioneshe ilipo....

Mbona jambo rahisi sana hilo?
mkuu contradiction is what came first,..ni muhimu sababu tunaambiwa eva alitoka ubavuni mwa adam,lakini ghafla unaambiwa eva aliumbwa kabla ya adam...mimi naona contradiction
 
mkuu contradiction is what came first,..ni muhimu sababu tunaambiwa eva alitoka ubavuni mwa adam,lakini ghafla unaambiwa eva aliumbwa kabla ya adam...mimi naona contradiction
Huwa napenda sana mjadala unaoeleweka,hapa tunaelekea kusikoeleweka....

Ulichokiandika kwenye thread yako sicho unachoendelea kuandika hapa,hii ni dalili ya kutokuwa makini....

Lakini unaongeza maswali zaidi ya kupunguza.Ni wapi pameandikwa Eve aliumbwa kabla ya Adam?

Ukiwa unajibu hilo swali kumbuka swali la msingi la kuonesha contradiction kwenye hoja yako ya kwanza tu kuhusu kuumbwa kwa Adam na Eve hujaweza kuionesha ni ipi....
 
Back
Top Bottom