Bible's verses contradictions

Bible's verses contradictions

Mkuu

Naomba nikushauri jambo..

Naomba uwe makini na maneno unayotumia hapa maana naona unatumia maneno ambayo hayastahili.hapo juu umeandika "ninajua aliyetunga King James version",hii ina maana kwamba unamaanisha mtunzi wa hiyo version,sasa sijui kama unaelewa maana ya mtunzi.....

Labda rekebisha hapo mkuu.....
iko hivi,wayahudi walikuwa na maandiko yao katika lugha yao,mfalme aliamuru yale maandiko yatafsiriwe kwa kiingereza akiwatumia akina shakespear,tatizo aliingiza mambo yake na mengine aliyaweka pembeni..mkuu huku hatutaelewana kabisa,for me the whole bible is a fraud,uzushi mtupu...hatutaelewana huku sababu nina maushahidi mengi tu
 
Sawa...

Tatizo ni lipi hapo sasa mkuu?

Wewe hapo unaweza kusema kwamba "Ulitengeneza paa la nyumba na samani za ndani" halafu baadaye ukaja kuelezea kwa kina namna ulivyotengeneza paa la nyumba halafu baadaye ukatengeneza samani za nyumba yako...

Kauli yako ya kwanza haimaanishi ulitengeneza vyote kwa wakati mmoja mkuu bali ulitoa "samari' namna ulivyotenda mambo hayo lakini baadaye ukaja kuelezea kwa upana zaidi....
hapo mkuu kuna mashaka sana,kwa nini uweke tafisri yako wakati andiko linajieleza wazi hapo
 
iko hivi,wayahudi walikuwa na maandiko yao katika lugha yao,mfalme aliamuru yale maandiko yatafsiriwe kwa kiingereza akiwatumia akina shakespear,tatizo aliingiza mambo yake na mengine aliyaweka pembeni..mkuu huku hatutaelewana kabisa,for me the whole bible is a fraud,uzushi mtupu...hatutaelewana huku sababu nina maushahidi mengi tu
Nikueleze tu kuwa hiki unachokiandika hapa ninakielewa sana tena kwa kina,siyo kipya kwangu isipokuwa ninachotaka ukifanye kwenye hii thread yako ni kwenda taratibu ili upangilie hoja zako vizuri ili tuzijadili kuliko kuanza kujadili makosa madogo madogo kama hayo ya matumizi ya maneno kqwenye thread yako na post zako vile vile.....

Lakini kingine ni kwamba naona kama unatumia kasi kubwa sana kuandika na matokeo yake unaandika vitu vingine ambavyo havipo kwenye Biblia kama maneno yako ya kudai kuwa biblia imeandika alianza kuumbwa Eve kisha Adam....

Ndiyo maana kabla sijaanza kujibu dhana yako hii kuhusiana na mfalm James nataka uweke sawa kwanza madai yako....

Baada ya hayo,unaweza kuonesha ni mambo gani mfalme James aliyaongeza kama yake binafsi kwenye maandiko ya Biblia na ushahidi wake?

Ukimaliza hili,baadaye tutakuja hapo kwenye huo uzushi unaodai upo kwenye Biblia.....
 
Nikueleze tu kuwa hiki unachokiandika hapa ninakielewa sana tena kwa kina,siyo kipya kwangu isipokuwa ninachotaka ukifanye kwenye hii thread yako ni kwenda taratibu ili upangilie hoja zako vizuri ili tuzijadili kuliko kuanza kujadili makosa madogo madogo kama hayo ya matumizi ya maneno kqwenye thread yako na post zako vile vile.....

Lakini kingine ni kwamba naona kama unatumia kasi kubwa sana kuandika na matokeo yake unaandika vitu vingine ambavyo havipo kwenye Biblia kama maneno yako ya kudai kuwa biblia imeandika alianza kuumbwa Eve kisha Adam....

Ndiyo maana kabla sijaanza kujibu dhana yako hii kuhusiana na mfalm James nataka uweke sawa kwanza madai yako....

Baada ya hayo,unaweza kuonesha ni mambo gani mfalme James aliyaongeza kama yake binafsi kwenye maandiko ya Biblia na ushahidi wake?

Ukimaliza hili,baadaye tutakuja hapo kwenye huo uzushi unaodai upo kwenye Biblia.....
naomba tafuta uzi wangu humu "je biblia na ukristo ni plagiarism:"?..tafadhali utafute,nilijibu majibu mengi sana mle..kurudia ni tire-some aisee
 
Mkuu sijatafsiri chochote bali nimefafanua tu....
sasa wewe unaiamini chaptere 1 au 2?yani mungu aliwaumba adam na eva kwa pamoja au alimuumba adam halafu eva?
 
Hata mimi naona km kuna contradiction flaan mf 2. Genesis 2:7& 2:19 Mungu alimuumba binadamu na kisha wanyama halaf Genesis 1:24-27 inasema Mungu alianza kuumba wanyama na kisha binadamu tatizo niloliona hapa wengi wanakuja na andiko linalohusu Adam&Eva as if haya mengine hayana umuhimu.
 
BIBLE’S CONTRADICTIONS

1. Genesis chapter 1
God created adam and eve together

Genesis chapter 2
God created adam and then eve later

2. Genesis 2:7 and 2:19
God created a man and then the animals

Genesis 1:24-27
God created the animals first and then a man



3. Genesis 32:30 and numbers 14:14
Men have seen god

John 1:18
No man has seen god

4. Jeremiah 3:12
God does not keep anger forever

Jeremiah 17:4
God does keep anger forever

5. Mathew 1:20
Angel appeared to joseph

Luke 1:28
Angel appeared to mary

6. Mathew 8:5
Centurion came to jesus

Luke 7:3
Centurion sent his elders

7. Mathew 4:5-8
Satan took Jesus to temple and then mountain

Luke 4:5-9
Satan took Jesus to mountain and then temple

8. Mathew 20:29
Two blind men were healed on the road

Mark 10:46-47
One blind man was healed on the road

Wafuasi wa yesu tusaidieni hapa
NOTE:Mimi sio mkristo,budha wala muislam
Hivi...hadi sasa ushapajibu jibu la maana kwenye swali lako?
 
Hapo kweli kuna utata...lakini kuhusu adam na eva nadhan hamna utata wowote ni kua tu ya kwanza kaeleza nani alianza ya pili kamaanisha kua wote waliumbwa na mungu
 
Back
Top Bottom