mtumishiwaleo
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 1,477
- 1,725
Tatizo linalokusumbua ni wivu tu kuona watumishi wa Mungu wanaishi maisha mazuri,huko ladhi kuona waganga wa Kienyeji wako na maisha mazuri lakini sio watumishi wa Mungu,Soma bible huielewe acha maneno ya kijiweni,hakuna mahubiri feki hiyo unayoita feki kunawanaobarikiwa kwayo, ndio maana pamoja na kuwasema vibaya bado kanisa linaongezeka,hata wewe kama haujaenda ni suala la mda utakuwa huko.Ubarikiwe.Hii vita ni ngumu sana Kwa sababu mnaonufaika na sadaka za wanyonge mko tayari kuutetea ufisadi wenu wa kiimani Kwa vifungu vya maandiko visivyo rasmi ,watumishi feki wa Mungu leo wanaishi maisha ya anasa huku waumini wao wakiteseka bila huruma, silazimishwi kutoa na ukweli sishawishiki na mahubiri yao feki lakini haki ya kuongea ninayo na hakuna wa kunifunga mdomo, Mungu libariki kanisa la Tanzania