Biblia, kitabu cha ajabu maishani mwangu

Biblia, kitabu cha ajabu maishani mwangu

Nasoma sana Biblia nipo kwenye mzunguko wa nne sasa.

Nimesoma Biblia kiasi kwamba I have promised zawadi kubwa, naingojea.

Nimesoma Biblia mpaka sasa mdomoni mate yangu it's glucose likely.

I wish kama mtanielewa ninachojaribu kusema.

Bible ni kitabu kizuri, just read.
 

Je, ungependa kuielewa Biblia vizuri zaidi?​

Je, utatenga muda maalum kila juma kwa ajili ya kujifunza Biblia? Kwa kutambua kwamba Biblia ni barua ya Mungu inayokueleza mapenzi yake, je, unakusudia kuishi sawasawa na neno lake kama asemavyo katika Biblia?
Angalizo:

Na wote waliojaribu kuielewa kwa pupa wameishia kuongea peke yao barabarani, biblia inahitaji utulivu kuielewa
 
Back
Top Bottom