Je, ungependa kuielewa Biblia vizuri zaidi?
Je, utatenga muda maalum kila juma kwa ajili ya kujifunza Biblia? Kwa kutambua kwamba Biblia ni barua ya Mungu inayokueleza mapenzi yake, je, unakusudia kuishi sawasawa na neno lake kama asemavyo katika Biblia?