Biblia, kitabu cha ajabu maishani mwangu

Nasoma sana Biblia nipo kwenye mzunguko wa nne sasa.

Nimesoma Biblia kiasi kwamba I have promised zawadi kubwa, naingojea.

Nimesoma Biblia mpaka sasa mdomoni mate yangu it's glucose likely.

I wish kama mtanielewa ninachojaribu kusema.

Bible ni kitabu kizuri, just read.
 
Angalizo:

Na wote waliojaribu kuielewa kwa pupa wameishia kuongea peke yao barabarani, biblia inahitaji utulivu kuielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…