Mungu wao aitwaye AllahHapa ndio tayari umethibitisha uwepo wa Mungu Israel ??sasa tusubiri na upande wa pili watupie mji wa maka na amdina kuthibitisha wa Mungu wao🤔🤔
Acha shobo na kukurupuka dogo. Wapi kasema na kuthibitisha uwepo wa Mungu wa Israel?Hapa ndio tayari umethibitisha uwepo wa Mungu Israel ??sasa tusubiri na upande wa pili watupie mji wa maka na amdina kuthibitisha wa Mungu wao🤔🤔
Hakuna Mungu wala wewe hauna uwezo wa kuthibitisha chochote zaidi ya porojo na makasiriko tu mkuu🤔🤔🤔Acha shobo na kukurupuka dogo. Wapi kasema na kuthibitisha uwepo wa Mungu wa Israel?
Pumbavu. Huwa mnaboa sana.
Leta dondoo kama hii hapa kuhusu Mji wa Ninawi ,Hadi Leo upo na haijajengwa sawa sawa na maneno ya manabii kwenye bibliaUmeandika maelezo marefu pumba tupu.
Umeandika maelezo marefu pumba tupu.
Ushauri tu kwakoHakuna Mungu wala wewe hauna uwezo wa kuthibitisha chochote zaidi ya porojo na makasiriko tu mkuu🤔🤔🤔
Leta mfano kama huu na ushahidiUmeandika maelezo marefu pumba tupu.
Mkuu tayari nimeshakujua 😅😅😅 ila bado haujajibu hoja hapo unachokifanya nikunishambulia binafsi tu😅😅😅😅😅Ushauri tu kwako
Jitahidini kuheshimu imani za watu. Pia msiwe mnawakwaza wengine kwa kuingiza mabishano yasiyo na maana. Mleta uzi kaleta habati za Mji wa Yerusalemu we unaleta udwanzi. JF kuna majukwaa na nyuzi nyingi, someni na wekeni nyuzi zenu zinazopinga uwepo wa Mungu na sio kila uzi kuleta ujuaji.
😀😃😃😃Hapa ndio tayari umethibitisha uwepo wa Mungu Israel ??sasa tusubiri na upande wa pili watupie mji wa maka na amdina kuthibitisha wa Mungu wao🤔🤔
Biblia ipi? Zipo biblia nyingi.Biblia sio kitabu cha kutungwa wala cha kuokotezwa kama vitabu vingine. Ni Kitabu cha maisha halisi ya wanadamu waliokuwa na mahusiano na Mungu. The Bible is scientifically proven book!
Ila jamaa amekuambia kweli na kwa nia njema mkuu.Mkuu tayari nimeshakujua 😅😅😅 ila bado haujajibu hoja hapo unachokifanya nikunishambulia binafsi tu😅😅😅😅😅
Hii Maka ya Leo sio Yenyewe- jamaa walihamisha mji wao MtakatifuHapa ndio tayari umethibitisha uwepo wa Mungu Israel ??sasa tusubiri na upande wa pili watupie mji wa maka na amdina kuthibitisha wa Mungu wao🤔🤔
Biblia yenyeweLeta dondoo kama hii hapa kuhusu Mji wa Ninawi ,Hadi Leo upo na haijajengwa sawa sawa na maneno ya manabii kwenye biblia
Soma hapa ujionee ,kuliko kupaniki ,waislamu kwanini hamtaki kutoka nje ya box muone mlibyodanganywa?
Unabii wa kuangamizwa kwa Ninawi ulitolewa hasa katika vitabu vya Nabii Nahumu na Sefania katika Biblia. Nabii Nahumu alitabiri kwamba Ninawi, mji mkuu wa Dola ya Ashuru, ungeangamizwa kwa ghadhabu ya Mungu kutokana na dhambi zake, ikiwa ni pamoja na udhalimu, ukatili, na ibada ya sanamu (Nahumu 3:1-7).
Kulingana na Biblia:
1. Kuangamizwa kwa Ninawi: Nahumu 1:8-9 na 3:19 inasema Mungu angeleta "gharika" dhidi ya Ninawi na kwamba maangamizi yake yasingekuwa na tiba. Hii ilitokea mnamo mwaka wa 612 KK wakati Dola ya Ashuru iliposhambuliwa na majeshi ya Babeli na Wamedi. Walitumia nguvu na moto kuharibu mji.
2. Kutojengwa Tena: Nahumu 3:7 inasema, "Kila mtu atakayeona maangamizi yako atakukimbia, na kusema, 'Ninawi imeangamia! Nani atamwonea huruma?'" Ninawi haikuwahi kujengwa tena baada ya kuharibiwa.
Ushahidi wa Akiolojia:
1. Ugunduzi wa Magofu ya Ninawi: Magofu ya Ninawi yaligunduliwa mnamo karne ya 19 (miaka ya 1840) karibu na mji wa Mosul, Iraq. Wanaakiolojia kama Austen Henry Layard waligundua mabaki ya mji huu, ikiwa ni pamoja na mabaki ya kuta, majengo, na maandiko ya kiashuru yaliyoandikwa kwenye vibao vya udongo.
2. Uthibitisho wa Maangamizi: Uchunguzi wa akiolojia umeonyesha tabaka za mabaki ya moto, zikiwa ni ushahidi wa kuharibiwa kwa Ninawi kama Biblia ilivyosema. Hii inathibitisha kuwa mji ulianguka ghafla kwa shambulio kubwa.
3. Kutokujengwa Tena: Tangu kuangamizwa kwake, Ninawi haijawahi kujengwa tena kama mji mkuu wa dola. Magofu yake yanabaki kuwa kumbukumbu ya unabii wa Nahumu.
Kwa hiyo, kwa kutumia Biblia na ushahidi wa akiolojia, tunaona kuwa unabii wa kuangamizwa kwa Ninawi ulitimia kikamilifu, na mji huo haujajengwa tena hadi leo.
View attachment 3159595
Biblia ya MwanzaBiblia ipi? Zipo biblia nyingi.
Kwa miaka niliyoishi umejua nia njema kwangu ni ipi? Au hiyo nia njema ndio uthibitisho wa uwepo wa Mungu?Ila jamaa amekuambia kweli na kwa nia njema mkuu.
Amina.Tunaingoja Yerusalemu mpya huko mbinguni
Hakika Yesu ni mwaminifu sana
Ila ubishi wako sio wa kitaaluma ila kimihemkoUshahidi wa uwepo wa Mungu?
Mzee acha porojo ,ndio maana dini yenu inakosa uhalali kwa mtu mwenye tafakari , wengi wanaosoma vzr historia na Quran wanakuja kugundua ni utapeli tu, sasa badala ujibu hoja wewe unaudhalilisha uislamu unaonekana ni dini ya kuunganisha,dini inayotegemea uongo kujijengaBiblia yenyewe
Biblia ya Mwanza
Biashara matangazo, hata Afrika kuna sehemu nyingi interesting na zenye historia kubwa kuanzia Misri mpaka kusini mwa jangwa la Sahara.Mwaka ujao nitajitahidi nifike pale Israel nikajionee jinsi Mji wa Daudi na Ushahidi wa Kihistoria na Kibiblia, gharama za kuingia kufanya ziara ni shekeli 45-60 sawa na 30,000-40,000 ya kitanzania .
Hebu tuone kidogo kuhusu huu unaoitwa Mji wa Daudi Kiaikolojia na Kibiblia,
Mji wa Daudi ni eneo la kale linalojulikana kuwa kitovu cha Yerusalemu cha enzi za kifalme cha Nabii Daudi. Kiaikolojia, eneo hili liko nje kidogo ya ukuta wa Mji wa Zamani wa Yerusalemu, kusini mwa Mlima Moria.
View attachment 3159479
Biblia:
Mji huu ulikuwa makao ya kifalme baada ya Daudi kuuteka kutoka kwa Wayebusi (2 Samweli 5:6-10).
Ulikuwa kitovu cha ibada na utawala, Daudi akiwa ndiye mfalme wa kwanza wa Israeli aliyeufanya Yerusalemu kuwa mji mkuu wa taifa.
View attachment 3159486
Ushahidi wa Kiaikolojia:
Uchimbuzi umeonyesha mabaki ya ukuta mkubwa wa ngome wa Karne ya 10 K.K., unaoendana na wakati wa utawala wa Daudi.
View attachment 3159480
Pia, miundo ya kihistoria kama Nyumba ya Maofisa imepatikana, ikionyesha mji ulio na mamlaka makubwa.
---
2. Maeneo Muhimu ya Mji wa Daudi
Gihon Spring: Kisima hiki kilichopo Mji wa Daudi kilikuwa chanzo muhimu cha maji kwa wakazi wa Yerusalemu (1 Wafalme 1:33).
Handaki la Hezekia: Mojawapo ya miundo muhimu iliyojengwa na Mfalme Hezekia.
Biblia: 2 Wafalme 20:20 inasema, "Naye Hezekia alifanya bawa la maji, na handaki, na kuleta maji ndani ya mji."
Ushahidi: Handaki hili lenye urefu wa mita 533 linaunganisha Kisima cha Gihon na Bwawa la Siloamu, ambalo pia limetajwa katika Yohana 9:7.
Eneo la Bwawa la Siloamu: Mahali Yesu alimtuma kipofu kwenda kuosha macho yake na akaponywa (Yohana 9:1-7).
View attachment 3159481
---
3. Handaki la Hezekia - Ushahidi wa Kibiblia
Maelezo ya Kihistoria: Handaki hili lilijengwa wakati wa tishio la Waashuru (2 Wafalme 18:13-19:37). Maji ya Kisima cha Gihon yaliingizwa ndani ya mji ili wakazi wawe na maji ya kutosha wakati wa vita.
Ushahidi wa Kiaikolojia: Maandishi ya Siloamu yaliyochimbwa kwenye handaki yanaeleza jinsi mafundi walivyokutana kutoka pande zote mbili walipokuwa wakichimba, yakithibitisha Biblia.
View attachment 3159483
---
4. Jinsi Biblia Inavyothibitika
Ushahidi wa kihistoria unaopatikana katika Mji wa Daudi unathibitisha ukweli wa maandiko ya Biblia.
Majengo ya kifalme na mahandaki yanayoendana na maandiko ya Daudi na Hezekia yamepatikana.
Maandishi ya Siloamu yanafanana na simulizi la 2 Wafalme 20:20.
Mabaki ya Bwawa la Siloamu yanathibitisha simulizi la Injili.
View attachment 3159484
---
Mji wa Daudi si tu sehemu ya historia ya Israeli bali pia ni thibitisho la Biblia kama chanzo cha ukweli wa kihistoria na kiimani. Eneo hili linaendelea kuthibitisha uaminifu wa Biblia kupitia uchimbuzi wa kisayansi.
Mwaka huu tu nimesoma zaidi ya vitabu 80 ,mkuu thibitisha uwepo wa Mungu🤔Ila ubishi wako sio wa kitaaluma ila kimihemko
Unaonekana husomi vitabu
Natamani sana kufika israel ipo siku nitafika hapo ukweli ukienda israel imani yako itakua sana maana utasoma biblia na kuona kwa macho.Mwaka ujao nitajitahidi nifike pale Israel nikajionee jinsi Mji wa Daudi na Ushahidi wa Kihistoria na Kibiblia, gharama za kuingia kufanya ziara ni shekeli 45-60 sawa na 30,000-40,000 ya kitanzania .
Hebu tuone kidogo kuhusu huu unaoitwa Mji wa Daudi Kiaikolojia na Kibiblia,
Mji wa Daudi ni eneo la kale linalojulikana kuwa kitovu cha Yerusalemu cha enzi za kifalme cha Nabii Daudi. Kiaikolojia, eneo hili liko nje kidogo ya ukuta wa Mji wa Zamani wa Yerusalemu, kusini mwa Mlima Moria.
View attachment 3159479
Biblia:
Mji huu ulikuwa makao ya kifalme baada ya Daudi kuuteka kutoka kwa Wayebusi (2 Samweli 5:6-10).
Ulikuwa kitovu cha ibada na utawala, Daudi akiwa ndiye mfalme wa kwanza wa Israeli aliyeufanya Yerusalemu kuwa mji mkuu wa taifa.
View attachment 3159486
Ushahidi wa Kiaikolojia:
Uchimbuzi umeonyesha mabaki ya ukuta mkubwa wa ngome wa Karne ya 10 K.K., unaoendana na wakati wa utawala wa Daudi.
View attachment 3159480
Pia, miundo ya kihistoria kama Nyumba ya Maofisa imepatikana, ikionyesha mji ulio na mamlaka makubwa.
---
2. Maeneo Muhimu ya Mji wa Daudi
Gihon Spring: Kisima hiki kilichopo Mji wa Daudi kilikuwa chanzo muhimu cha maji kwa wakazi wa Yerusalemu (1 Wafalme 1:33).
Handaki la Hezekia: Mojawapo ya miundo muhimu iliyojengwa na Mfalme Hezekia.
Biblia: 2 Wafalme 20:20 inasema, "Naye Hezekia alifanya bawa la maji, na handaki, na kuleta maji ndani ya mji."
Ushahidi: Handaki hili lenye urefu wa mita 533 linaunganisha Kisima cha Gihon na Bwawa la Siloamu, ambalo pia limetajwa katika Yohana 9:7.
Eneo la Bwawa la Siloamu: Mahali Yesu alimtuma kipofu kwenda kuosha macho yake na akaponywa (Yohana 9:1-7).
View attachment 3159481
---
3. Handaki la Hezekia - Ushahidi wa Kibiblia
Maelezo ya Kihistoria: Handaki hili lilijengwa wakati wa tishio la Waashuru (2 Wafalme 18:13-19:37). Maji ya Kisima cha Gihon yaliingizwa ndani ya mji ili wakazi wawe na maji ya kutosha wakati wa vita.
Ushahidi wa Kiaikolojia: Maandishi ya Siloamu yaliyochimbwa kwenye handaki yanaeleza jinsi mafundi walivyokutana kutoka pande zote mbili walipokuwa wakichimba, yakithibitisha Biblia.
View attachment 3159483
---
4. Jinsi Biblia Inavyothibitika
Ushahidi wa kihistoria unaopatikana katika Mji wa Daudi unathibitisha ukweli wa maandiko ya Biblia.
Majengo ya kifalme na mahandaki yanayoendana na maandiko ya Daudi na Hezekia yamepatikana.
Maandishi ya Siloamu yanafanana na simulizi la 2 Wafalme 20:20.
Mabaki ya Bwawa la Siloamu yanathibitisha simulizi la Injili.
View attachment 3159484
---
Mji wa Daudi si tu sehemu ya historia ya Israeli bali pia ni thibitisho la Biblia kama chanzo cha ukweli wa kihistoria na kiimani. Eneo hili linaendelea kuthibitisha uaminifu wa Biblia kupitia uchimbuzi wa kisayansi.