Biblia kwa Jicho Jingine

Biblia kwa Jicho Jingine

Ni kweli kabisa mkuu.
Ndio maana stori hii inasadifu kichwa chake cha habari, kwamba ni masimulizi ya Biblia kwa jicho jingine.

Nakubaliana na wewe kuwa dini nyingine nazo zina versions zao, lakini kujifunza mambo ya wengine ni jambo jema pia ili kupanua ufahamu na kuelewa yale ambayo ulikuwa huyajui.

Mimi Quran naisoma pia mkuu, lakini sijapata wasaa wa kuichambua kwa upana, ila nikipata nitaichambua pia.
Ila kama kuna mtu pia anafahamu historia ya dunia kwa jicho la Quran au dini yoyote au kitabu chochote anaweza kuileta hapa, ila cha msingi tu mjadala usianze kuwa wa kidini na kuaza sarakasi za kidini tulizozoea humu JF....
mkuu ukiendelea nitag bosi
 
Nasubir MKUU kwa hamu Sanaa
Bila Shaka utanijenga na kunitoa tongotongo


Na anzia hapa. SHIRK kwa kiswahili Ushirikina kwa jina,ni kitendo cha kujaalia pamoja na Mola mlezi msaidizi. Kwa maana yeyote anayeabidiwa kinyume na Mola mlezi yule mtendaji husemwa amefanya shirki/ushirikina. Humo wanaingia wale wote wenye kutaka msaada kupitia wanyama,miti,masanamu na mfano wake.

Msaada unao zungumziwa hapa ni ule ambao kiumbe katika uhalisia hana uwezo wa kuutoa huo msaada lakini watu wanaelekezea msaada huo kwa viumbe hai.

Ushirikina umegawanyika katika sampuli mbili.

Hapa maelezo yake yatakuja baadae.....
 
Nasikia Rose Muhando anaandika Zaburi yake. Hivyo sishangai nawe kuja na Biblia yako.!
 
Na anzia hapa. SHIRK kwa kiswahili Ushirikina kwa jina,ni kitendo cha kujaalia pamoja na Mola mlezi msaidizi. Kwa maana yeyote anayeabidiwa kinyume na Mola mlezi yule mtendaji husemwa amefanya shirki/ushirikina. Humo wanaingia wale wote wenye kutaka msaada kupitia wanyama,miti,masanamu na mfano wake.

Msaada unao zungumziwa hapa ni ule ambao kiumbe katika uhalisia hana uwezo wa kuutoa huo msaada lakini watu wanaelekezea msaada huo kwa viumbe hai.

Ushirikina umegawanyika katika sampuli mbili.

Hapa maelezo yake yatakuja baadae.....
Nakusikiliza MKUU.endelea
 
Hapo ndio tatizo lilipo mkuu kiranga, si kila jambo unasikiliza kwa ufahamu Wa kwenye ubongo.

Wewe usiyetumia ufahamu wa kwenye ubongo unatumia nini kufahamu vitu bila kuhusisha ubongo?

Yapo mambo mengi hautapata jawabu la kisayansi lakini moyoni unajua hili ndio jibu.

Jawabu lakisayansi ni lipi? Unajua Einstein's theory of Relativivy imekuwa confirmed experimentally toka 1919 na mpaka leowatu wanaihoji bado kuangalia kamaina mapungufu?

Labda nikuulize swali, unaamini kuwa mtu ana roho?

Sitakikuamini, natakakujua. Roho ni nini na unajuaje ipi si hadithi tu?

Kuna kitu chochote kinachotoka na kuondoka inapotokea mtu amefariki?

The second law of thermodynamics applies, in closed systems, with time, entropy move from low to high. High entropy eventually kill all systems.

Huhitaji roho hapo.

Nini hasa kinasababisha mtu afe?

The entropy of a biological system and its surroundings.

Unaelewakifokinaonesha Mungu hayupo, hakioneshiMungu yupo?

Mungu mwenye uwezowote, ujuzi wote na upendowote, angekuwepo, ulimwengu usingekuwa na kifo.

Kifokinatenganisha wapendanao, Mungu asingependa kuona viumbe wake wapendanao wanatenganishwa na kifo.

Mungu mwenye upendo wote angezuia kifo kisitenganishe wapendanao.

Tunaona kifo kipo. Kinatenganisha wapendanao.

Hivyo, Mungu huyo hayupo.

Bado sijaenda nje ya mada maana natamani ndugu uanze kuyatazama maisha kutoka ndani ya moyo wako. Yatosha sasa kwako kutumia tu ubongo ulio very limited.

Ndani ya moyowangu kuna damu na makutano ya mishipa, niyatazame maisha ndani ya moyowangu kivipi?

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Unaweza kuthibitisha roho ipo?

Unaweza kuthibitisha pepo ipo?
 
Ninauhakika kama wewe ulivyo na ukakika kwamba hayupo.
Unajua kila mtu ana kitu anachokipenda na asingependa akikose kama mazingira yanaruhusu.
Wako wanapenda mziki,mpira,sinema, nk.
Na huwa hawaachi kufuatilia kwa makini habari za hicho wanacho kipenda hata kama itamgarimu hali na mali.

Sasa mimi nampenda Mungu haidhuru yupo ama la, nitatumia muda, fedha, akili na hata uhai kwaajili ya Mungu , hata kama ni hadithi za uwongo naweza kusema ni hob yangu.

Kwa hio mkuu sina hoja mbele yako ila naomba usome tena sehemu ya kwanza na ya pili ya hii mada hutakosa kitu hata cha kuendelea kujengea hoja yako ya kutokuwepo kwa Mungu.
Unaelewa kwamba kupenda kitu hakufanyi hicho kitu kiwe kweli?

Unajua kupenda kuwa bilionea kama BillGates, wakatiwewe si bilionea, hakukufanyi uwe bilionea?

Unajua kwamba hata mimi napenda sana Mungu awepo, inawezekana kuliko wewe?

Unajua kwamba kama Mungu hayupo, kupenda kwangu Mungu awepo, hakumfanyiawepo?

Unajua nimethibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo, kwa "proof by contradiction"ambayo haijapingwa, lakini wewe hujaweza kuthibitisha Mungu yupokwa proof yoyote, na hivyo, hutakiwi kuandika kwamba una uhakika Mungu yupo kama mimi nilivyo na uhakika Mungu hayupo?
 
Haya maswali Mpendwa kamuulize Mungu....... Maana yupo hai hajafa ...

Japo sote tunatumia imani ila imani yako naamini Ni fake kwasababu haina msingi wowote ila kuhoji tu NDO unaweza
Mimisikubali Mungu yupo, unaniambia nimuulize Mungu yupi wakati mimi sikubalikwamba Mungu yupo?

Nikazi yako wewe unayesema Mungu yupo ujibu masali.

Na umeshindwa.

Huwezi kujibu,

Kwa sababu Mungu hayupo.

Halafu una assume nina imani ya Mungu bila hata kuuliza, sina imani ya Mungu, sitaki imani, nataka kujua.

Mungu hayupo, sitaki imani, halafu unanikebehi kwamba nina imani fake?
Unajua kufikiri wewe?
 
Question number 7 ni UTOTO Wa hali ya Juu Brother, Try to be relevant kidgo, uliza swali la kueleweka!
Kwanini ni utoto?

Ni swali linalohoji contradiction iliyo katikadhana ya Mungu muweza yote.

Zaidi, hujajibu hata moja kati ya maswali hayo yote.
 
Hapo kuelewa kama hajauliza swali bali ni swali la uongo,uwezo huo hana.

Hawa wakina Kiranga wana vituko sana aisee.
Hijajibu swali hata moja kati ya 10.

Hujawahi kuthibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha.

Kamwe hutaweza kuthibitisha.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha.
 
Hijajibu swali hata moja kati ya 10.

Hujawahi kuthibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha.

Kamwe hutaweza kuthibitisha.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha.


Poa.
 
Nitaweka source hapo chini baadaye kidogo mkuu.
Uandishi wa kamala unachukua muda sana kuhakikisha accuracy ya kila unachokiandika.
Nitaweka tu sources zangu zote baadaye kidogo, usiwe na wasi wasi.
nijibu hili swali
kuna binadamu aliyewahi kumuona mungu kwa mujibu wa biblia?
 
...haya maelezo yameegemea zaidi zile ngano za kwenye biblia ,sidhani kama Quran na vitabu vya iman zingine vina story hizi mkuu
...my point is_una uhakika gani kama hizi story za biblia ndio sahihi kumuelezea Mungu wa kweli na kuona story za tamaduni zingine kama ni za Miungu,Mizimu,Mapepo etc

......sidhani kama wasio wakristo wataelewa hizi mambo unazoeleza hapa mkuu....nafikiri hizi zilifaa zaidi kuelezea kanisani coz uhakika wake pia ni questionable kwa watu wasio amini biblia ambao ni wengi tu
wala usisumbuke na biblia
naweza kukutajia mambo mia ambayo hayana majibu na yanathibitisha kuwa sio maneno ya muumba
 
Anzisha thread yako ya kumpinga Mungu acha kuchafua thread za watu wewe..jifunze kuwa mstaarabu!!!sometime unakera sana..
Thread ya kuangalia biblia kwa jicho jingine, nikiangalia biblia kwa jicho jingine unanikataza nisiangalie biblia kwa jicho jingine unataka niangalie kwa jicholile lile?

Badilisha thread basi itokekuwa "Bibliakwa jicho jingine" iwe "Bibliakwa jicho lile lile".
 
Mimisikubali Mungu yupo, unaniambia nimuulize Mungu yupi wakati mimi sikubalikwamba Mungu yupo?

Nikazi yako wewe unayesema Mungu yupo ujibu masali.

Na umeshindwa.

Huwezi kujibu,

Kwa sababu Mungu hayupo.

Halafu una assume nina imani ya Mungu bila hata kuuliza, sina imani ya Mungu, sitaki imani, nataka kujua.

Mungu hayupo, sitaki imani, halafu unanikebehi kwamba nina imani fake?
Unajua kufikiri wewe?
Mkuuuu hata ww unaamiin hhayupo ila haujui kama hayupo?


Ivyo imani ni bora kuliko kujua.
Mimi siwez kumsaidia Mungu Majukumu Yake ww kamaHuamini uwepo wake huwez kubali Majibu yangu,
 
Mkuu sehemu ya Kwanza nimeelezea wa upana sana hio kitu hapo juu.

Ukienda ITV pale Mwenge utakuta kampuni haiitwi ITV ila ni IPP Media.
Kampuni hio kwa nje inajulikana kama ITV kama brand name iliyo maarufu, lakini kiuhalisia ni sehemu tu ya IPP Media.

Yesu ndiye Neno la Mungu na Jina Yesu halina muda mrefu kuanza kutumika, ni kama miaka 2000 tu imepita, lakini Neno alikuwepo kabla ya Jina Yesu kuanza kutumika na amefanya mambo makubwa sana kwa kuwa ndiye mtendaji mkuu wa Serikali ya Mungu.

Lakini kwa kuwa serikali ya Mungu ni ya Kifalme , Yesu au Neno huyo ndiye right hand man wa Ufalme wa Mungu au wa Serikali ya Mungu.

Yesu ni Mungu kwa cheo chake.
Yesu ni Mtendaji mkuu wa Serikali ya Mungu kwa utendaji wake.
Yesu ni mwokozi wa wanadamu huku duniani.
Lakini Yesu pia ndiye kamanda mkuu wa vikosi vyote vyma mbinguni kivita kwa kuwa wanadamu hupata mamlaka ya kuwaamuru malaika kwa kutumia Jina la Yesu, au wamepewa uwezo wa kiutendaji kwa kujificha chini ya Jina la Yesu.
Yesu pia ndiye Hekima kama kitabu cha Mithali kinavyomtaja.

Ila nikwambie tu siri moja ambayo ulikuwa huijui, inawezekana kabisa siku ukaenda Mbinguni usimkute Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu kwa utofauti wao kama tunavyoelewa huku duniani, ila Ukamkuta Yesu tu kwa kuwa hawa ni wamoja ila pia wao ni tofauti.
Yesu kristo mkuu
Maana ata Gabriel pale man city naye Yesu au Nakosea
 
Thread ya kuangaliabiblia kwa jicho jingine, nikiangalia bibliakwa jichojingine unanikataza nisiangalie biblia kwa jicho jingine unataka niangalie kwa jicholile lile?

Badilisha thread basi itokekuwa "Bibliakwa jicho jingine" iwe "Bibliakwa jicho lile lile".
We jamaa ninachofurahia hulali bila kumshukuru Mungu kwa uzima aliokupa.
 
Back
Top Bottom