Biblia ndio kitabu pekee chenye uwezo wa kukupa afya ya akili?

Biblia ndio kitabu pekee chenye uwezo wa kukupa afya ya akili?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Asilimia kubwa ya watu duniani ni wagonjwa kiakili kwa kujua au kutokujua.

Bahati mbaya watu hawa ambao wengi ni Maprofessionals, Maprof, Wasanii, wachungaji feki (gospelpreneurs), Wanasiasa na wafanya maamuzi ya dunia ndio wanaoaminiwa sana na watu. Hii imepelekea mlipuko mkubwa wa janga la afya ya akili duniani.

Katika utafiti wangu nimegundua Usomaji wa Biblia hasa ukijikita kwenye ahadi za Mungu utakufanya uwe na akili mwanana na iliyonawiri kwa afya njema.

Kumbuka ili shetani amdanganye adam na eva alianza kwa kuwaaribu akili kupitia ideas zake. Hata leo anatumia silaha zake hizohizo kongwe kukuhujumu.

2 Wakorintho 11:3
Lakini nachelea; kama yule nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila yake, asije akawaharibu fikira zenu, mkauacha unyofu na usafi kwa Kristo.

Ushauri wangu kwako.
Anza dozi ya kurudisha afya yako ya akili kupitia maandiko. Hakikisha kila siku unaahadi tatu za Mungu. Moja soma asubuhi, nyingine mchana na nyingine usiku.

Fanya hivi utanishukuru.

Ni hayo tu.
 
Asilimia kubwa ya watu duniani ni wagonjwa kiakili kwa kujua au kutokujua.

Bahati mbaya watu hawa ambao wengi ni Maprofessionals, Maprof, Wasanii, wachungaji feki (gospelpreneurs), Wanasiasa na wafanya maamuzi ya dunia ndio wanaoaminiwa sana na watu. Hii imepelekea mlipuko mkubwa wa janga la afya ya akili duniani.

Katika utafiti wangu nimegundua Usomaji wa Biblia hasa ukijikita kwenye ahadi za Mungu utakufanya uwe na akili mwanana na iliyonawiri kwa afya njema.

Kumbuka ili shetani amdanganye adam na eva alianza kwa kuwaaribu akili kupitia ideas zake. Hata leo anatumia silaha zake hizohizo kongwe kukuhujumu.

2 Wakorintho 11:3
Lakini nachelea; kama yule nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila yake, asije akawaharibu fikira zenu, mkauacha unyofu na usafi kwa Kristo.

Ushauri wangu kwako.
Anza dozi ya kurudisha afya yako ya akili kupitia maandiko. Hakikisha kila siku unaahadi tatu za Mungu. Moja soma asubuhi, nyingine mchana na nyingine usiku.

Fanya hivi utanishukuru.

Ni hayo tu.

Niwatakie siku ya kwanza ya juma njema
🙏🙏🙏
 
NAMI nilichogundua ni kitabu Cha pekee chenye kukuchanganya akili.

Yhn 14:9

Mtu ye yote ambaye ameniona mimi, amemwona Baba.

Yohana 5:37
Naye Baba aliyenituma amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona.
 
NAMI nilichogundua ni kitabu Cha pekee chenye kukuchanganya akili.

Yhn 14:9

Mtu ye yote ambaye ameniona mimi, amemwona Baba.

Yohana 5:37
Naye Baba aliyenituma amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona.
Ukipenda kuchanganyikiwa na kujichanganya.
Itakuchanganya hadi utembee uchi.
 
Nabado utazidi kuchanganyikiwa zaidi
20231208_210327.jpg
 
NAMI nilichogundua ni kitabu Cha pekee chenye kukuchanganya akili.

Yhn 14:9

Mtu ye yote ambaye ameniona mimi, amemwona Baba.

Yohana 5:37
Naye Baba aliyenituma amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona.
Bora hiyo kuliko kufundishwa kuchinja viumbe hai wenzao
 
NAMI nilichogundua ni kitabu Cha pekee chenye kukuchanganya akili.

Yhn 14:9

Mtu ye yote ambaye ameniona mimi, amemwona Baba.

Yohana 5:37
Naye Baba aliyenituma amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona.
hapa kilichozungumziwa ni imani (kumwona), kutokuamini (kutomwona)
 
Back
Top Bottom