Soma au Sikiliza neno la Mungu katika simu yako ya mkononi kwa kutumia app ya Biblia Takatifu na Sauti.
1. Biblia hii inakuwezesha kusoma au kusikiliza sauti bila intaneti. (HAITUMII BANDO)
2. Unapata neno la kila siku katika simu yako hata kama huna intaneti.
3. Unaweza ukatafuta neno lolote katika Biblia na itakupatia majibu neno hilo limeonekana mara ngapi katika Agano Jipya na la Kale.
4. Unaweza ukahifadhi mistari unayotaka kuipata baadae kwa urahisi kwa kitumia alamisho (Bookmarks) au kuiwkea rangi mbali mbali.
5. Ni app nzuri sana yenye tathmini ya 4.9 kati ya 5 kutokana na maoni ya watumiaji katika play store
6. Na mengine mengi........
Pakua app hii BURE. Ingia play store na tafuta 'Biblia Takatifu na Sauti' chagua ile iliyotengenezwa na Robert Londo.
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Biblia hii inakuwezesha kusoma au kusikiliza sauti bila intaneti. (HAITUMII BANDO)
2. Unapata neno la kila siku katika simu yako hata kama huna intaneti.
3. Unaweza ukatafuta neno lolote katika Biblia na itakupatia majibu neno hilo limeonekana mara ngapi katika Agano Jipya na la Kale.
4. Unaweza ukahifadhi mistari unayotaka kuipata baadae kwa urahisi kwa kitumia alamisho (Bookmarks) au kuiwkea rangi mbali mbali.
5. Ni app nzuri sana yenye tathmini ya 4.9 kati ya 5 kutokana na maoni ya watumiaji katika play store
6. Na mengine mengi........
Pakua app hii BURE. Ingia play store na tafuta 'Biblia Takatifu na Sauti' chagua ile iliyotengenezwa na Robert Londo.
Sent using Jamii Forums mobile app