Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Ahahaha daahHata Kama nikiwa masikini wa kukosa hata chakula, sita wahi kuua viumbe nilivyo tengeneza mwenyewe.
Yaan kile kidonge kina mkaba mtoto kule tumboni hadi anakufaP2 ni sawa na kumnyonga mtoto? Kivipi?
ππππ Naskia si unaweza kukisagaWanawake wana kazi kinyama
Raha mmepata wote lakini kidonge anatakiwa kumeza yeye ππ
safi sana, either ulee au uache single mother ajipambanieWakuu huyu bidada simwelewi kabisa tulikutana kurahaika.
Sasa nimemkabidhi P2 avimeze tumalize kesi. Naona bidada katia mguu chini hataki kumeza wakati kakidonge kenyewe ni kadogodogo tu tena kamoja tu.
Simwelewi kabisa huyu bidada anataka kitokee nini.
Mmmh nimeshangaa kunyongwa tena πWanaelewa basi! Wanajiandikiaga tu
ππππ Naskia si unaweza kukisaga
Yaan kile kidonge kina mkaba mtoto kule tumboni hadi anakufa
ππππππ
Au ni ngumu mkuu πππIDK kwa kweli π
Ndo huko juu nashangaa hiyo jamaa inayosema et p2 inamnyinga mtoto..Sasa mimba ishakuwa mimba mtu anatumia P2 tena π
Au ni ngumu mkuu πππ
Ndo huko juu nashangaa hiyo jamaa inayosema et p2 inamnyinga mtoto..
ππππππππ
Yaan kama kungekua na p3 kwa wanaume mi ningetymia tuu dadek
Huyo anataka akuzalieWakuu huyu bidada simwelewi kabisa tulikutana kurahaika.
Sasa nimemkabidhi P2 avimeze tumalize kesi. Naona bidada katia mguu chini hataki kumeza wakati kakidonge kenyewe ni kadogodogo tu tena kamoja tu.
Simwelewi kabisa huyu bidada anataka kitokee nini.
IDK ndo ilinichanganya nikajua ni chemical zinazohusika kutengeneza vidonge yaan Iodine,diclophenativlina na Potassium per manganese...Kama nilivyojibu hapo juu IDK
Sijawahi kutumia hivyo vidonge
ππππππ Taifa inabidi kukataza vijana kushinda vijiweniLabda Intelligent businessman hajui kazi ya P2 ni kuzuia mimba
πππππππππ Taifa inabidi kukataza vijana kushinda vijiweni
πππIDK ndo ilinichanganya nikajua ni chemical zinazohusika kutengeneza vidonge yaan Iodine,diclophenativlina na Potassium per manganese...
Ila nishakupata mkuu
Sa P2 ya nini wakati mwenzio lengi ni kukubambikia mimba aliyonayo?Wakuu huyu bidada simwelewi kabisa tulikutana kurahaika.
Sasa nimemkabidhi P2 avimeze tumalize kesi. Naona bidada katia mguu chini hataki kumeza wakati kakidonge kenyewe ni kadogodogo tu tena kamoja tu.
Simwelewi kabisa huyu bidada anataka kitokee nini.
Usiogpe ni mambo madogo hayo ya phamatical medicineπππ
Loh!!